×

Mahaba

JINSI YA KUWAEPUKA WALAGHAI WA MAPENZI

MAISHA yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Wengi hujikuta wakichanganyikiwa...

READ MORE

SIO KILA MPENZI ANAWEZA KUWA MUME, MKE

MUNGU ni mwema, Jumamosi nyingine tunakutana katika uwanja wetu wa mahaba. Hapa tunapata kujifunza, kujadiliana na kuweza kupeana ushauri wa...

READ MORE

USIMLAUMU KWA KUCHEPUKA, YAWEZEKANA WEWE NDIYO CHANZO

NI Ijumaa nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri, kujuzana na kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi.  Leo...

READ MORE

JINSI YA KUWAEPUKA WALAGHAI WA MAPENZI

MAISHA yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Wengi hujikuta wakichanganyikiwa...

READ MORE

SIMULIZI YA MAHABA: KANDAMBILI HAIPIGWI KIWI

KAMA nakuona vile shoga yangu ulivyotumbua macho kuangalia kaniki ikiwekewa dawa ya madoa! Heee heeeeiyaaaaaa! Na utashanga’ sana mwaka huu...

READ MORE

NYUMBA YA UDONGO HAIPIGWI DEKI

 HALOOOO eeeehhhh! Umezoea cheko la nyundo ngoja nikupe la msumari miye, nginjha nginjha! Nimeingia mjini tena Anti Naa kungwi wa...

READ MORE

‘UGONJWA WA KKK’ UNAVYOTESA WENGI KWENYE MAPENZI

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiwa na imani kwamba Mungu amekujaalia uzima na unaendelea vyema na...

READ MORE

MKIFANYA HAYA , LAZIMA MFURAHIE UHUSIANO

MAHUSIANO ya mwanaume na mwanamke huku-tanisha watu kutoka koo mbalimbali. Kila mtu anakuwa amelelewa tofauti kwa wazazi wake.  Tabia haziwezi kufanana....

READ MORE

UNATAKA KURUDIANA NA X WAKO? NI VIZURI UKAYAFAHAMU HAYA

NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, nakukaribisha tena jamvini tuangalie sehemu ya pili ya mada yetu. Wiki iliyopita...

READ MORE

‘MSIPOFANANA’ HAMUWEZI KUISHI, CHUNGA SANA!

NI matumaini yangu mpenzi msomaji wa safu hii, utakuwa kwenye hali nzuri na tayari kusoma kile ambacho nimekuandalia wiki hii. Mahusiano...

READ MORE

KANDAMBILI HAIPIGWI KIWI

KAMA nakuona vile shoga yangu ulivyotumbua macho kuangalia kaniki ikiwekewa dawa ya madoa! Heee heeeeiyaaaaaa! Na utashanga’ sana mwaka huu...

READ MORE

KWANINI WANAUME WENGI SIKU HIZI HAWAOI ?

NI Jumatatu nyingine ambayo Mwenyezi Mungu ametukirimia pumzi yake. Tumshukuru kwa hilo. Karibu jamvini mdau.  Mada hapo juu ni swali ambalo...

READ MORE

UMEUMIZWA PENZINI, HUJUI HATMA YAKO? JIFUNZE

 MAPENZI yanauma. Yanauma kwelikweli. Unapokuwa umewekeza nguvu, mwili na akili kwa mtu halafu ikatokea amekatisha safari ghafla huwa inauma. Inauma kwa...

READ MORE

UNATAKA KURUDIANA NA EX WAKO ? NI VIZURI UKAYAFAHAMU HAYA

NI IJUMAA nyingine tunapokutana jamvini! Shukrani za kipekee kwa Muumba wetu kwa kutuwezesha kuiona siku hii ya leo. Najua ni...

READ MORE

JINSI YA KUIPATA AMANI YA MOYO PENZINI !

UKIFANYA utafiti kwa vijana wengi kwa sasa kuhusu suala la amani ya moyo katika uhusiano wao, asilimia kubwa watakuambia hawana...

READ MORE

ZIJUE ATHARI ZA KUOA MWANAMKE MZURI ALIYEKUZIDI KIPATO !

AWALI ya yote naomba niseme kwamba, raha ya ndoa ni kumpata mtu ambaye anajua maisha na anajua mapenzi pia. Ukipata...

READ MORE

UNATEGEMEA AKUFURAHISHE LAKINI UNAISHIA KULIA ? SOMA HAPA !-2

NI wakati mwingine mzuri tunapokutana jamvini kujadili mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kujadili kuhusu mada hii...

READ MORE

DIRISHA HALIFUNGWI KWA KUFULI

SHOGA mwaka ndiyo huooo unakatika leo mwezi wa tisa keshokutwa tu mwakani, shangaashangaa mjini hapa, kama ni msimu embe ndiyo...

READ MORE

ANAYEMFANYIA HAYA MUMEWE ILI KUMTULIZA NI BOGASI

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii ambapo tunazungumzia mada mbalimbali zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi.  Namshukuru Mungu kwa...

READ MORE

KILA MMOJA ANALALAMA ‘MAANDALIZI’!

KARIBU jamvini mpenzi msomaji kwa kuwa Mungu ametujalia siha njema na tumekutana tena leo kwa mapenzi yake. Nalazimika kuileta mada...

READ MORE

WAZAZI NI KIKWAZO CHA NDOA YAKO? SOMA HAPA

  NIANZE na neno kidogo; uhusiano sahihi ni ule ambao una manufaa ya baadaye. Nikusihi rafiki, hakikisha unaishi na mtu...

READ MORE

SHIMO LA PANYA HALIZIBWI KWA MKATE

ALIYEKU-DANGANYA siku hizi maneno ya kwenye kanga yanatumika kuchamba nani? Heeeeeloooo utajibeba mwaka huu kama siyo kujiangusha, upo nyonyo? Siku...

READ MORE

HATARI YA KUKOSEKANA KWA FURAHA KWENYE PENZI LAKO!

KARIBU kwenye ulimwengu wa elimu ya mapenzi na maisha. Tukubaliane kwamba wote tunazaliwa tukiwa safi ‘watakatifu’ kabla ya kukutana na...

READ MORE

UNAACHA NYAMA NYUMBANI, UNAKIMBILIA MISHKAKI BAA !

NIPO tena nimejaa tele kama tui la nazi, ushindwe wewe tu uniungie kwa samaki au maharage! Halooo ehhhh! Mama matashtiti...

READ MORE

EPUKA USHAURI HUU NI SUMU KWENYE PENZI LAKO!

KARIBU mdau wa safu hii tuendelee kupeana ‘madini’ juu ya maisha ya mapenzi. Kama mada hii inavyojieleza, si kila unapopatwa...

READ MORE

UMUHIMU WA FARAGHA NA MAKOSA YA WANAWAKE

TENDO la ndoa lina umuhimu wake. Kwa namna moja au nyingine linakamilisha maana nzima ya mapenzi. Ni kama vile kachumbari...

READ MORE

NDOA SIYO UMEME WA LUKU!

OHH mke wangu kila nikirudi anavimba domo, kunipakulia tu shida nikisema hivi visingizio kibao! Heee heeeiyaaaa, utalalama sana mwaka huu,...

READ MORE

MADHARA YA PENZI LENYE SABABU MBOVU

KARIBUNI jamvini, mahali ambapo tunajadili changamoto na mafanikio ya uhusiano wa kimapenzi na maisha kwa jumla. Tukubaliane wadau kuwa, lengo...

READ MORE

KWENYE UHUSIANO KUNA MAZOEZI NA MECHI, UPO WAPI ?

 UNAPOBAHATIKA kuingia kwenye uhusiano bila kupitia sarakasi za kutosha mshukuru Mungu. Wengi sana wamejikuta wakiangua vilio kwa kuteswa na mapenzi....

READ MORE

MTI WA MBUYU HAUKATWI KWA SHOKA

NDIYO hivyo sema wee mpaka koo likauke na sauti isitoke kabisa elimu yangu kama maji, usipoyanywa utapikia ugali ule, hee...

READ MORE

CHUNGA SANA USIKOSEE KUOA , KUOLEWA

UHUSIANO wa kimapenzi siku zote unajengwa na imani. Wapendanao wanapaswa kuaminiana kwa asilimia mia. Waswahili wanakuambia bora ukosee njia lakini...

READ MORE

ATHARI ZA MWANAMKE KUTOFIKA KILELENI KWENYE TENDO LA NDOA

TATIZO hili la mwanamke kutofikishwa kileleni wakati wa kujamiiana huitwa ‘Female Orgasmic Disorders’ kufika kileleni tunaita ‘orgasm’ au ‘climax’. Kila...

READ MORE

NYAMA YA BUCHANI HAILALI!

MAMA wa mashangingi wote mjini nimeingia, kungwi niliyepigwa mishale mingi, haloooo ehhhh na utachina mwaka huu! Shoga upo? Kama nakuona...

READ MORE

Kamwe, Usilete Mazoea Kwenye Ndoa

VIPO vitu vingi sana ambavyo kadiri unavyovifanya, ukavizoea, vinaleta tija lakini asikwambie mtu ndoa haihitaji mazoea.   Ndoa inatakiwa kuwa...

READ MORE

IJUE SIRI YA KUIPATA NDOA HARAKA !

RAHA ya uhusiano wa mapenzi, ni kumpata mwenza sahihi na kwa wakati muafaka. Unapopishana na muda, unachelewesha maendeleo yako maana...

READ MORE

KUNA TATIZO KWA MWANAMKE KUMTONGOZA MWANAUME?

DUNIA inakwenda kwa kasi kwelikweli, yale ambayo miaka kadhaa iliyopita yalikuwa hayawezekani, hivi sasa yanawezekana.   Utandawazi umeleta mabadiliko makubwa...

READ MORE

UMRI WA UHUSIANO UHESHIMU!

UKIWA huumizwi na historia ni rahisi sana kufanya maamuzi ya ghafla. Watu wa aina hii wapo sana katika jamii yetu,...

READ MORE

JEMBE LA MJINI HALINA MAKALI

SHOGA upooooo? Ni Jumatano nyingine tunakutana tena katika kona yetu hii ya kujimwayamwaya, kujiachia na kupata elimu au siyo shoga?...

READ MORE

SILAHA MUHIMU ZA KUMFANYA AFURAHI MUWAPO FARAGHA

TENDO la ndoa (kwa wanan­doa) si tu linatumika kubore­sha uhusiano kati ya mume na mke bali pia ni dawa inay­oweza...

READ MORE

KUKU WA KIENYEJI YAKE PUMBA

KAMA nakuona unavyotikisa kichwa na kujiuliza leo Anti ameleta kuku na pumba tena? Na utatikisa kichwa na mijicho kuitoa sana...

READ MORE