×

Mahaba

Wadada Wapewa Somo la Kupata Mpenzi wa Kuwaoa

ZAMA hizi ni kusaidia kwa kila kitu. Kama wewe ni binti ambaye unatamani na unataka ukute au upate mwanaume wa...

READ MORE

Hatari yYa Kuishi Ili Mradi Siku Zinakwenda!

WIKI hii nataka kuzungumzia suala zima la kusaka mafanikio huku nikikuuliza wewe msomaji wangu kwamba, umeamua kufanikiwa katika maisha yako...

READ MORE

Fahamu Chanzo Cha Magonjwa ya Moyo-2

Tunaendelea kuelezea magonjwa ya moyo. MAGONJWA ya moyo yameshika kasi hapa nchini kiasi cha kutishia uhai wa watu wengi. Hata...

READ MORE

Namna ya Kukabiliana na Msongo wa Mawazo (Depression)-2

Wiki iliyopita tulianza kueleza kuhusu tatizo la msongo wa mawazo na jinsi linavyowasumbua watu wengi. TULIANZA kwa kutazama dalili za...

READ MORE

Si Mliamua Wenyewe Kuoana? Basi Vumilianeni!

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa pumzi ambayo ameniwezesha kuendelea kuitumia bila malipo yoyote. Pole msomaji wangu wa XXLove ambaye unasumbuliwa...

READ MORE

Kama Unashindwa Kumdekeza, Atadekezwa na Mwenzio

KARIBU Alhamisi ny­ingine mpenzi msomaji wa Ulimwengu wa Mahaba, nikushukuru kwa maoni na ushauri wako iwe kwa SMS au kunipigia...

READ MORE

Biriani Na Sosi Ya Nyama Ya Mbuzi

LEO kwenye kona hii ya Mapishi tutaona jinsi ya kupika biriani ya nyama ya mbuzi. MAHITAJI Nyama ya mbuzi- kilo...

READ MORE

Shoga: Shtuka! Ukizubaa Utaachiwa Mkia

  HALOOO eeehhh tena ya kisoda! Anti Naa mwenyewe nimekuja tena na safari hii nipo kuwatetea wanawake wenzangu, shtuka shoga...

READ MORE

Dkt. Mwaka Aibuka na Gigy Money (Video)

BAADA ya ukimya wa muda mrefu, aliekuwa mmiliki wa Kituo cha Tiba Asili cha Fore Plan, Dk. Mwaka ameibuka live...

READ MORE

SHOGA: Kubana Ziachie Nguo na Nywele!

NAJUA kabla sijaanza na salamu utaanza kujiuliza MC Sophia leo kulikoni tuache kubana! Mara ohhh kubana tuziachie nguo na nywele,...

READ MORE

SHOGA: MTINDI HAUTENGENEZI CHAI

HEEEE heeeeiyyaaaaa shoga yangu wa ukweee upo? U hali gani Jumanne ya leo! Kama nakuona vile ulivyotoa mijicho kama mwari...

READ MORE

UNAHANGAIKA KUTAFUTA ‘WIFE MATERIAL?’ SOMA HAPA (2)

  NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, nakukaribisha tena jamvini, leo tukiwa tunaendelea na mada tuliyoianza wiki iliyopita...

READ MORE

Shoga: Punda Hafi Kwa Kipigo

SITAKI uniulize ooh MC Sophy kazidi sasa, kila siku haanzi na salamu, kuchamba tu! Weee! Aliyekwambia hii sehemu ya kuchamba...

READ MORE

UKIMSOMESHA MPENZI ILI MUOANE, TEGEMEA HAYA!

  JENGA tabia ya kumshukuru Mungu kwa kila jambo katika maisha yako, liwe baya au jema. Wakati mwingine kuna mambo...

READ MORE

Shoga Penye Kuku Wengi Hapamwagwi Mtama!

LEO sitaki uniulize, Anti Naa sijui hujaanza na salamu, sijui nimeamkaje na tena uishie hapohapo! Kuna jambo mwenzenu limenifika hapa!...

READ MORE

‘Userious’ sana unaharibu ladha ya mapenzi

MAPENZI yana raha kama pande mbili zikiwa na amani. Mwanamke awe na amani, mwanaume pia. Tofauti na hapo, penzi hugeuka...

READ MORE

SHOGA; Mechi Haichezwi Matopeni!

HEYAHEYA! Acha nicheke miye sidaiwi na mtu, kama pumzi navuta tena hewa ya bure ya nini kujibana mwenzangu, najiachia nitakavyo!...

READ MORE

Toka bomba na mchanganyiko wa lipstick

LEO kwenye safu yetu hii tutaona jinsi ya kuchanganya lipstick kuleta muonekano bomba kwenye mdomo wako cha muhimu ni kujua...

READ MORE

UKIONA MPENZI WAKO HAKUFUATILII, UJUE KUNA KINACHOENDELEA

MPENZI msomaji ungana nami katika kumshukuru Mungu kwa nafasi aliyonijalia kuweza kuandika makala haya (ukiona mpenzi wako hakufuatilii…) ya XXLove...

READ MORE

Mpenzi Wako Hakuridhishi? Mfungukie Bwana!

KWANZA nimshukuru Mungu kwa kuni­jalia afya njema. Pia nikukaribishe msomaji wangu katika jamvi lako ulipendalo la UIimwengu wa Mahaba. Leo...

READ MORE

Shoga: Mwenye Simu Hakosi Namba!

WAHENGA wanasema sahani iliyofunikwa, kilichomo kimesitirika! Basi kama hujanielewa utanielewa nikimaliza makala haya, upo? Ni Jumanne nyingine shoga yangu tunakutana...

READ MORE

Upweke ni Mbaya Ila Mapenzi Nayo ni Full Stress

Mpenzi msomaji ni Jumatatu nyingine Mungu ametujalia kukutana katika kuelimishana juu ya maisha ya uhusiano kupitia safu yetu nzuri ya...

READ MORE

Tabia Ndogondogo Zinavyoweza Kuvunja Penzi Ndoa!

LEO kwenye safu yetu hii tutaangalia tabia ndogondogo ambazo zinafanywa na wanandoa au wapenzi lakini wengi wao hawajui kuwa zinachangia...

READ MORE

Ufike Wakati Ujimudu, Useme Maisha ya Kuungaunga Basi!

  WIKI hii msomaji wangu nataka kuzungumzia tabia ya wale ambao wapowapo tu, hawafanyi chochote kuyaboresha maisha yao badala yake...

READ MORE

Mambo 5 ya Kuzingatia Siku ya Kwanza Kuonana na Mpenzi Wako

NI dhahiri kwamba mapenzi ni maisha na vita yake haijawahi kumuacha mtu salama, uwe mwanajeshi, mbunge, kinyozi, au hata komando...

READ MORE

Shoga: Maji ya Mchele Hayaonjwi!

  KAMA nakuona vile jicho kodo kisa kuangalia eti leo MC Sophy atamchamba nani? Unikome, sipo hapa kumchamba mtu miye!...

READ MORE

Kelele za Mkosaji Haziumizi Masikioo!!

SALAMU waleykumu wapenzi wa kona yangu mimi Anti Naa, kwa uwezo wa Manani nina imani wote hamjambo wazima wa afya...

READ MORE

Wachawi wamtaka Wastara akiwa bado tumboni

  ILIPOISHIA… MPENZI msomaji baada ya kuwa nami mwan­zomwisho katika simulizi ya maisha ya Asha Baraka, mmiliki wa Bendi ya...

READ MORE

Hakuna aliyekamilika, Cha Muhimu ni Kuvumiliana

UHALI gani msomaji wangu! Ni matumaini yangu kuwa uko poa kabisa. Ni ijumaa nyingine nzuri ninayokualika kwenye uwanja huu, kwa...

READ MORE

Mambo ya kufanya unapokuwa na stress

  SIKITIKO la mahaba lashinda msiba! Umewahi kusikia maneno hayo ya wahenga? Bora usimuliwe lakini usipitie kipindi cha sikitiko la...

READ MORE

Chunga Kauli Zako Siyo Kila Kitu cha Kuzungumzwa-2

  NI Ijumaa nyingine tunapokutana jamvini, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu. Wiki iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mada hii, ya kuwa makini...

READ MORE

SHOGA; Uwanja Hauhitaji Aibu

  Haya haya tena shoga yangu wa ukwee!  Kama kawa nimerudi tena kama moto wa tipa usiozimwa na magari ya...

READ MORE

Mwanao Amejiingiza Kwenye Mapenzi? Fanya Hivi!

NIMSHUKURU Mungu kwa Jumatatu nyingine murua, niwape pole wale wote ambao wanakutana na changamoto mbalimbali za maisha ya kila siku,...

READ MORE

Chunga Kauli Zako, Siyo Kila Kitu cha Kuzungumzwa!

  Ni matumaini yangu kwamba mpenzi msomaji wangu uko poa na unaendelea na majukumu yako kama kawaida. Ni wakati mwingine...

READ MORE

Tiba 7 Zinazosaidia Kutotapika

LEO nitaongelea tiba ya mtu anayetapika, huenda umekula kitu kibaya kimechafua tumbo, au umekula chakula chenye sumu au ni mama...

READ MORE

Usisahau Ubaharia Kisa Unahodha

HAYA tena Anti Naa mwenye maneno ya shombo nimekuja tena, sina tofauti na mnazi unaojiotea ufukweni ambao wakati wote upo...

READ MORE

Madhara ya Ulevi na Athari Zake Kiafya-2

Tunaendelea kuchambua madhara ya ulevi baada ya wiki iliyopita kusimulia mengi, ni vema kufuata ushauri wa kitaalamu kuhusu utumiaji wa...

READ MORE

Shoga Jembe Lako, Akulimie Nani?

SHOGA; He he he heeeeiya, acha nicheke miye MC Sophy mwana wa mashabiki, mjukuu wa maiki! Shoga hivi unajua kuna...

READ MORE

Upendo, Furaha na Amani ya Ramadhani Endelea Nayo!

NIANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa wema wake, kwa kunivusha kwenye changamoto nyingi ambazo nakutananazo. Pili nikutakie heri ya Sikukuu...

READ MORE

Njia Nne za Kulinogesha Penzi Lako

KUPITIA safu hii uipendayo, leo ninakupa njia nne zitakazolifanya penzi lako liendelee kunoga, hata kama litakuwa limeanza kufubaa utaliamsha upya....

READ MORE