×

Mahaba

Kabla ya Kuingia Kwenye Ndoa, Tumbueni Kwanza Majipu

VITABU vya dini vinatuambia, mke mwema anatoka kwa Mungu. Vinatufundisha kwamba, akili, nguvu na maarifa yetu si kitu. Ili uweze...

READ MORE

Faida/Hasara za Kurudiana na Mpenzi Wako wa Zamani

Ni Ijumaa nyingine tunapokutana jamvini! Shukrani za kipekee kwa Muumba wetu kwa kutuwezesha kuiona siku hii ya leo. Najua ni...

READ MORE

Ndoa Yako Imekuwa Adui au Rafiki wa Mafanikio?

Nimshukuru Mungu kwa kunijaalia uzima ulioniwezesha kuandaa makala haya. Ndugu zangu, leo nataka kuzungumzia suala la mafanikio na namna ndoa...

READ MORE

‘Sapraizi’ kwa wanandoa iwe tuzo kila mwaka

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wa safu hii maridhawa, leo nina furaha kwa ajili ya mada hii niliyokuja nayo hivyo nianze...

READ MORE

Huoni aibu mume kuamka kabla yako?

HABARI za leo wapenzi wasomaji wangu wa kona yenu hii ya Shangingi Mstaafu, kama ilivyo ada, ninakuja na kitu cha...

READ MORE

Shoga; mpe mumeo vyakula hivi akufurahishe

Shoga yangu, natumaini hali yako ni nzuri na unapambana na maisha, leo  nitazungumza nawe kuhusu vyakula unavyopaswa kumwandalia mumeo vitakavyomfanya...

READ MORE

Unapenda kuoa/ kuolewa ndoa ya aina gani?-2

SARA PIUS WA MUHEZA, TANGA Mimi na mume wangu, Alex Kijangwa tulifunga Ndoa ya Mimba ila kwa sababu tulipendana, tumetimiza...

READ MORE

Bora kubaki unapopajua kuliko kuhamia usipopajua

KWA neema na rehema zake Mwenyezi Mungu tunakutana tena katika safu hii ya Love and Story. Kwa wale tunaopenda kujifunza...

READ MORE

Kwa nini wanaume hawakubali kuachwa kirahisi?-2

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa. Karibu kwenye uwanja wetu huu mzuri, tujadiliane, kuelimishana na kubadilishana mawazo kuhusu...

READ MORE

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-11

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Hapana mama, niko macho.” “Mbona kama hujatoka kuamka sasa hivi wewe, isijekuwa ulitoka ndiyo umerudi?” “Hapana mama,...

READ MORE

Kuachana, kurudiana kuna umuhimu wake!

JUMAMOSI nyingine, tunakutana kwenye uwanja wetu wa kujidai. Mimi na wewe tunakutana kuweza kupeana masuala mbalimbali ya uhusiano. Kwa tuliokuwa...

READ MORE

Unajua athari za kuitana sweet na dear wakati siyo wachumba?

ASALAM alaikum wapenzi wasomaji wangu, kwa waliobomolewa nyumba poleni sana msife moyo wa kutafuta zaidi bila shaka Mungu ana kubwa...

READ MORE

Mwenza wako kutoshinda nyumbani ni tatizo

Ni Jumatatu nyingine tunakutana wanajamvi wa XXLove katika kujifunza namna ya kukabiliana, kuzielewa na kuziishi changamoto mbalimbali tunazokutana nazo kwenye...

READ MORE

Umeshajua unapendwa, unatikisa kiberiti ili iweje?

MUNGU ni mwaminifu kila wakati. Ametupa pumzi ya bure, mimi na wewe tunajidai kuuona Mwaka Mpya 2016. Yatupasa kumshukuru yeye...

READ MORE

Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-3

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu u mzima wa afya. Ni Ijumaa nyingine ninapokukaribisha katika ukurasa wetu huu mzuri. Tunaendelea...

READ MORE

Wazazi mnaowachagulia watoto wenza mnawayumbisha

Habari za mwaka mpya wapenzi wasomaji wangu? Mimi nimefika salama namshukuru Mungu. Kwa wale wagonjwa poleni, kwa walioondokewa na wapendwa...

READ MORE

Alisafiri mpokee basi ajue ulimmisi shosti

Shangingi mie nimerejea tena leo na mada mpya kabisa, unaweza kuwa umeshajifunza kwa kungwi wako lakini kwangu ndiyo kwanza nagusia,...

READ MORE

Shoga; Unapiga picha za utupu ili iweje sasa?

Awali ya yote napenda kukupongeza shoga yangu kwa kuuona Mwaka Mpya wa 2016 hivyo hatunabudi kila mmoja wetu kumshukuru Mwenyezi...

READ MORE

Mwaka 2016, malkia/ mfalme wangu ni wewe

Nina kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kuuona Mwaka 2016, ikiwa ni siku ya nne tangu mwaka huu...

READ MORE

Kwa nini mchungane kama mbuzi? jifunze!

NI Jumamosi nyingine tunakutana hapa kuweza kupeana darasa huru la mahaba. Hapa huwa tunajadili pamoja mada mbalimbali ambazo kimsingi zinaweza...

READ MORE

Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-2

Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kutoka mwaka 2015 mpaka leo hii tunapouanza...

READ MORE

Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana....

READ MORE

Mumeo aende masaji wakati ujuzi unao?

SHANGINGI leo niwape hi, nimejisikia kuchanganya na kizungu kidogo kwa sababu mada inahitaji hivyo, si unajua mambo ya masaji hayo...

READ MORE

Shoga; mumeo siyo kaka yako, usimuonee aibu!

Shoga, matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na ulisherehekea vizuri Sikukuu ya Idd na Krismasi na sasa unajiandaa kuupokea...

READ MORE

Umeumizwa, acha yapite, maisha lazima yasonge-2

Hongera sana mpenzi msomaji kwa kuifikia, kuifurahia na kuimaliza Sikukuu ya Krismasi vizuri ni jambo jema sana na la kumshukuru...

READ MORE

Wapendanao wanapaswa kuzitumiaje Krismasi na Mwaka Mpya?

Nianze kwa kuwatakia heri ya Krismasi na Mwaka Mpya wasomaji wa safu hii. Najua kabla ya mwaka huu kufika, kila...

READ MORE

Makosa wafanyayo wapezi wawapo chumbani

Uhali gani msomaji wangu! Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila...

READ MORE

Kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unachepuka?

KWANZA nianze kwa kuwasalimu wapenzi wasomaji wangu wa kona hii, assalamu alaykum na kwa wale wagonjwa ugueni pole na tuzidi...

READ MORE

Marafiki wasishike ndoa yako, utajuta!

HABARI zenu wapenzi wasomaji wa kona hii, kama mnaendelea vema nashukuru kwa hilo, leo kungwi nimekuja kuwaasa akina mama wenye...

READ MORE

Mapenzi ya mdomo sawa, lakini unajua kansa ya koo?

MAPENZI kwa njia ya mdomo yamekuwa yakizidi kuongezeka siku hadi siku na kwa kasi kubwa hasa miongoni mwa vijana. Mapenzi...

READ MORE

Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!

Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini...

READ MORE

Umeumizwa, acha yapite, maisha lazima yasonge

Kujuliana hali ni jadi yetu. Uhali gani mpenzi msomaji wangu? Ni Jumatatu nyingine murua iliyojaa mishemishe za maandalizi ya Sikukuu...

READ MORE

Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au mwanaume?-2

WIKI iliyopita tuliianza mada hii nzuri yenye elimu kuhusu mpango wa Mungu katika ndoa. Tuliishia pale Mungu alipokuwa akitoa adhabu...

READ MORE

Adhabu chungu, ya kijasiri kwa mpenzi aliyekusaliti

Ni wiki nyingine tunakutana tena kupitia safu hii ambayo kimsingi tunakumbushana na kuelimishana juu ya mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu...

READ MORE

Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!

Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa...

READ MORE

Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!

Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au...

READ MORE

Shoga; Sikukuu ukiachwa solemba uzembe wako!

Kabla sijaanza kuzungumzia mada ya leo, napenda kuwatakia afya njema wenzetu wanaoumwa, waliofiwa au walio kwenye matatizo mbalimbali, Mungu awaepushe...

READ MORE

Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au Mwanaume?

MUNGU ni mwema kila wakati. Tumshukuru yeye kwa kutupa pumzi na kuweza kutukutanisha tena katika safu hii ya Love Story....

READ MORE

Madhara ma-3 ya mwanamke kushobokea penzi la pesa!

Mpenzi msomaji wangu, ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia ukurasa huu namba moja kwa kuandika makala nzuri za mahusiano.Ni...

READ MORE

Changudoa si kwa wanawake tu hata wanaume, sijui tuwaiteje?

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu, wiki hii ndiyo ya kutekeleza lile agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE