×

Makala

‘I LOVE YOU’ NYINGI ZA NINI? UKIPENDA ONESHA MATENDO!

MAPENZI yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili...

READ MORE

NI VYA ‘KIJINGA’ LAKINI VINA FAIDA PENZINI VIFANYE ,

MAPENZI ni matamu, mapenzi yana raha yake haswa ukimpata mtu anayekupenda kama ambavyo wewe unampenda. Kinyume chake, mapenzi hugeuka kuwa...

READ MORE

KANGI LUGOLA ASHTUKIWA!

DAR ES SALAAM: Waziri wa sasa wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameshtukiwa na baadhi ya wananchi kutokana...

READ MORE

YANAYOWEZA KUMFANYA MKE AKATEMBEA NA RAFIKI WA MUMEWE!

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu...

READ MORE

UNARINGIA SHEPU , UZURI, FARAGHA UNAJIMUDU?

ULIMWENGU wa sasa umejaa wanawake wazuri sana, kila unayemuangalia unaona kuna vitu f’lani Mungu kamjaalia. Unaweza kukutana na msichana ambaye...

READ MORE

HIKI NDICHO WANAWAKE WENGI WANAKOSAGA KWA WAUME ZAO

NI wiki nyingine ninapokukaribisha mpenzi msomaji wangu katika ukurasa huu mzuri. Leo ningependa tujadiliane kuhusu jambo hili ambalo kwa kiasi...

READ MORE

RAHA YA MUME ASIKUPE TABU SANA!

JUMATANO nyingine hiyo tumekutana shoga yangu! Anti Naa wa kujimwayamwaya nipo tena mjengoni shoga! Heee heeeiyaaa na watanawa maji ya...

READ MORE

Ntuyabaliwe: Ukiwa na Ndoto, ota Ndoto Kubwa Kupindukia

MIONGONI mwa vitu ambavyo Hawezi kukwepa mwanamama Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi, ni historia yake kwamba aliwahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2000,...

READ MORE

MAMA MLEMAVU AFANYIWA UKATILI!

AMA kweli watu wamekosa utu! Mama mmoja aliyetambulika kwa jina la Fatuma Hamis hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada...

READ MORE

CHIMBO LA UFUSKA LA MASTAA LAIBULIWA

KITENGO Maalum cha Kufichua Maovu cha Global Publishers (OFM) hivi karibuni kimebaini chimbo ambalo mastaa kibao wa kike Bongo wamekuwa...

READ MORE

Wawanawake Wazuri Hawafai Kuolewa?

 UNA dhana ipo hususan kwa wanaume wengi kwamba, wanawake wengi wazuri hawafai kuolewa. Wanaishibisha hoja yao kwa kutoa mifano, kwamba...

READ MORE

RIPOTI KAMILI: Vituo vya Masaji Dar Kugeuzwa Madanguro

KWA wasomaji wa gazeti la jana linalochapishwa na Kampuni ya Global Publishers la Ijumaa Wikienda, watakuwa wanaelewa nini ambacho tumeamua...

READ MORE

Unajiaminishaje Kwamba Uliyenaye Anakupenda kwa Dhati?

NI matumaini yangu muwazima na mko na hamu kubwa ya kujua kile ambacho nimewaandalia kwa siku ya leo. Kama kawaida...

READ MORE

CHAKULA MUHIMU CHA MJAMZITO

 BAADHI ya vyakula ambavyo mama anapaswa kula awapo mjamzito na vile anavyotakiwa kuviepuka katika kipindi hicho tutavijadili leo. Mjamzitto anashauriwa...

READ MORE

ZARI: Nilikutana na Diamond ‘DM’

HAKUNA ufalme unaodumu milele hapa duniani kwa sababu unaambiwa hata ile iliyokuwa ‘kapo’ matata Afrika Mashariki ya mwanamuziki wa Bongo...

READ MORE

Michelle Obama Aalivyokataa Kushindwa Mpaka Mafanikio

BAADA ya kuwatazama wanawake wa chuma na kina dada wa chuma wa hapa nyumbani katika matoleo kadhaa, leo turuke hadi...

READ MORE

Eid Mubaraka! Nakukumbusha Kufanya Haya Sikukuu Hii!

 ASSALAM aleikum! Nianze kwa kuwaambia wasomaji wangu wote popote mlipo; EID MUBARAK! Mungu awajaalie kila la heri, msherehekee sikukuu hii...

READ MORE

Uzuri wa Gari Bovu Lipate Mteremko

YAANI shoga yangu leo nimekaa zaidi ya nusu saa natafakari meseji moja tu! Shoga hata kama wanawake tumeumbiwa mateso si...

READ MORE

KWA MISINGI HII, KAMWE PENZI LAKO HALITADUMU

TUANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia siku hii njema. Kama kawaida hapa huwa tunazungumza mapenzi na maisha kwa jumla....

READ MORE

Mlio Wapenzi, Katika Hili Mnajitafutia Mwisho Mbaya!

NI matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na mishemishe zako za kila siku kama kawaida. Kwa wale waislam wenzangu...

READ MORE

Umewahi Kujiuliza kwa Nini Hupendwi

TUPO kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kuwa pamoja nasi na kututia nguvu kwa yale...

READ MORE

Wananchi Wasilishwe Vibudu; Serikali Isimamie Hilo

KITOWEO kinatumika na watu wengi mijini na vijijini, ni bidhaa inayohitaji kuwa safi na salama wakati wa utayarishaji wake kuanzia...

READ MORE

Ukiwa na sifa hizi, kila mwanaume atatamani kukuoa!

  KUOLEWA ni heshima kwa mwanamke. Heshima hiyo inaenda mbali zaidi hadi kuwagusa wazazi wa binti ambaye ataolewa. Wazazi wanatembea...

READ MORE

AMEKUNUNIA NA HATAKI KUZUNGUMZA NA WEWE? SOMA HAPA

KWA watu waliopo katika uhusiano wa kudumu, watakubaliana na mimi kwamba kuna wakati huwa inatokea mwenzi wako, na hii inawahusu...

READ MORE

Ukiona Haya Kwa Mpenzi Wako, Jua Hakutaki!

MAPENZI wakati mwingine ni kama uchizi. Mwanadamu hujikuta anapoteza uwezo wake wa kufikiri kwa sababu tu ya nguvu ya mapenzi....

READ MORE

Yanga Imkaribishe Mcongo, Yasitokee Yaliyotokea Kwa Lwandamina

KOCHA Mkuu wa Yan­ga, Mkongoman Zahera Mwinyi ni kama ame­shaanza kazi kikosini hapo. Tayari yupo Morogoro akiwa na kikosi hicho...

READ MORE

Mbinu Za Kumfurahisha Mpenzi Wako Muwapo Faragha

TENDO la ndoa (kwa wa­nandoa) si tu linatumika kuboresha uhusiano kati ya mume na mke bali pia ni dawa inay­oweza...

READ MORE

TRIO 50KW: Mtambo Mpya wa Umeme wa Jua Kutoka ABB

UMEME wa jua umekuwa ukisaidia watu wengi si viwandani, ofisini bali hadi kwenye sekta binafsi. Wiki mbili zilizopita, nilihudhuria maonesho...

READ MORE

Diamond; Umaarufu Umekulevya Sasa, Jitathmini Upya

KWA kila mtu anayemfahamu Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, msanii wa kizazi kipya ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akiipeperusha bendera ya...

READ MORE

Hatari ya Watoto Kuhusishwa Kwenye Migogoro ya Wazazi!

TUTAKE tusitake, kati ya mwanaume na mwanamke ambaye anatakiwa kuwa makini wakati wa kuchagua mwenza wa kuzaa naye ni mwanamke....

READ MORE

WINNIE MANDELA; MWANA MKE WA CHUMA

  JUMAPILI iliyopita, wakati watu mbalimbali duniani wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka, katika familia ya mpambanaji, mhamasishaji na mwandishi wa vitabu...

READ MORE

Chid Benz: Hata Mama Yangu Haniulizi Kuhusu Madawa

  JANGA la matumizi ya madawa ya kulevya hapa nchini limekuwa kubwa siku hadi siku na hata duniani kwa jumla,...

READ MORE

Mambo Yatakayokufanya Udumu Kwenye Penzi Jipya

HAKUNA muda ambao hisia za mapenzi na msisimko huwa mkubwa kama kipindi ambacho upo kwenye penzi jipya. Ukiwauliza watu wengi...

READ MORE

Zifahamu Faida za Mpapai

WATU wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake lakini lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu. Tunda...

READ MORE

Mambo Ya Kufanya Kabla Ya Kuingaliia Kwenye Ndoa

DUNIA ya sasa si kama ya zamani. Ndoa zimekuwa hazidumu kama ilivyokuwa zamani. Hii yote imetokana na mmonyoko wa maadili...

READ MORE

HATA KAMA UMEUMIZWA SANA, BADO UNAYO NAFASI YA KUPENDA TENA

HABARI yako msomaji wa kona hii! Ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaen­delea na majukumu yako ya kila siku....

READ MORE

Kuchelewa Kuzaa Kunavyosababisha Uvimbe Kwenye Kizazi

UVIMBE kwenye kizazi kitaalamu huitwa fibroids na hauhusiani na kansa, hushambulia mji wa mimba na kusababisha usumbufu mkubwa kwa akina...

READ MORE

Matukio Mabaya, Yawaongoze Kufanya Maamuzi Magumu!

NI vigumu sana kumuacha mtu umpendaye. Unapompenda mtu mara nyingi hufikirii kufanya maamuzi yoyote hasi. Akili yako kamwe haimuwazii mambo...

READ MORE

Kama Hujazungukwa Na Watu Sahihi, Mafanikio Utayasikia Tu!

NI wiki nyingine tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama...

READ MORE

PUTIN ASEMA: SIJAWAHI KUWA NA ‘SMARTPHONE’

“SINA simu ya smartphone,” ndivyo ambavyo husema Rais wa Russia, Vladimir Putin, kila anapoulizwa iwapo ana simu hizo za kisasa....

READ MORE