ASSALAM aleikum! Nianze kwa kuwaambia wasomaji wangu wote popote mlipo; EID MUBARAK! Mungu awajaalie kila la heri, msherehekee sikukuu hii...
READ MOREYAANI shoga yangu leo nimekaa zaidi ya nusu saa natafakari meseji moja tu! Shoga hata kama wanawake tumeumbiwa mateso si...
READ MORETUANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia siku hii njema. Kama kawaida hapa huwa tunazungumza mapenzi na maisha kwa jumla....
READ MORENI matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na mishemishe zako za kila siku kama kawaida. Kwa wale waislam wenzangu...
READ MORETUPO kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kuwa pamoja nasi na kututia nguvu kwa yale...
READ MOREKITOWEO kinatumika na watu wengi mijini na vijijini, ni bidhaa inayohitaji kuwa safi na salama wakati wa utayarishaji wake kuanzia...
READ MOREKUOLEWA ni heshima kwa mwanamke. Heshima hiyo inaenda mbali zaidi hadi kuwagusa wazazi wa binti ambaye ataolewa. Wazazi wanatembea...
READ MOREKWA watu waliopo katika uhusiano wa kudumu, watakubaliana na mimi kwamba kuna wakati huwa inatokea mwenzi wako, na hii inawahusu...
READ MOREMAPENZI wakati mwingine ni kama uchizi. Mwanadamu hujikuta anapoteza uwezo wake wa kufikiri kwa sababu tu ya nguvu ya mapenzi....
READ MOREKOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongoman Zahera Mwinyi ni kama ameshaanza kazi kikosini hapo. Tayari yupo Morogoro akiwa na kikosi hicho...
READ MORETENDO la ndoa (kwa wanandoa) si tu linatumika kuboresha uhusiano kati ya mume na mke bali pia ni dawa inayoweza...
READ MOREUMEME wa jua umekuwa ukisaidia watu wengi si viwandani, ofisini bali hadi kwenye sekta binafsi. Wiki mbili zilizopita, nilihudhuria maonesho...
READ MOREKWA kila mtu anayemfahamu Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, msanii wa kizazi kipya ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akiipeperusha bendera ya...
READ MORETUTAKE tusitake, kati ya mwanaume na mwanamke ambaye anatakiwa kuwa makini wakati wa kuchagua mwenza wa kuzaa naye ni mwanamke....
READ MOREJUMAPILI iliyopita, wakati watu mbalimbali duniani wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka, katika familia ya mpambanaji, mhamasishaji na mwandishi wa vitabu...
READ MOREJANGA la matumizi ya madawa ya kulevya hapa nchini limekuwa kubwa siku hadi siku na hata duniani kwa jumla,...
READ MOREHAKUNA muda ambao hisia za mapenzi na msisimko huwa mkubwa kama kipindi ambacho upo kwenye penzi jipya. Ukiwauliza watu wengi...
READ MOREWATU wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake lakini lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu. Tunda...
READ MOREDUNIA ya sasa si kama ya zamani. Ndoa zimekuwa hazidumu kama ilivyokuwa zamani. Hii yote imetokana na mmonyoko wa maadili...
READ MOREHABARI yako msomaji wa kona hii! Ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea na majukumu yako ya kila siku....
READ MOREUVIMBE kwenye kizazi kitaalamu huitwa fibroids na hauhusiani na kansa, hushambulia mji wa mimba na kusababisha usumbufu mkubwa kwa akina...
READ MORENI vigumu sana kumuacha mtu umpendaye. Unapompenda mtu mara nyingi hufikirii kufanya maamuzi yoyote hasi. Akili yako kamwe haimuwazii mambo...
READ MORENI wiki nyingine tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama...
READ MORE“SINA simu ya smartphone,” ndivyo ambavyo husema Rais wa Russia, Vladimir Putin, kila anapoulizwa iwapo ana simu hizo za kisasa....
READ MOREUCHUNGUZI wa vinasaba (DNA) uliofanywa karibuni umeonyesha kwamba Mwingereza aliyeishi miaka ipatayo 10,000 alikuwa na ngozi nyeusi, macho ya bluu...
READ MORENIMEBAHATIKA kusoma kitabu kimoja kiitwacho The Seven Secrets kilichoandikwa na mwandishi ambaye pia ni mchungaji, John Hagee. Ndani ya kitabu...
READ MORELEO tutazungumzia vyakula hatari kwa afya zetu. Vyakula tunavyotakiwa kuvila, hatuvili na pengine upatikanaji wake ni wa shida, hivyo tunalazimika...
READ MORENI ukweli ulio wazi kwamba, maisha yanahitaji uyakabili kwa kujitoa mzimamzima bila kujaribu wala kuingia nusunusu. Ni vita inayomtaka amiri...
READ MOREKATIKA maisha ya kimapenzi yapo mengi ya kuvumilia ili kuweza kudumu na huyo uliyetokea kumpenda. Hata hivyo kuna ambayo kuyavumilia...
READ MOREWENGI wamejikuta kwenye majuto kwa kuwakabidhi watu wasiofaa mioyo yao. Wameambulia mateso makali, wamejikuta wamepoteza muda kwani wameachwa solemba wakati...
READ MOREMREMBO ambaye aliiwakilisha Tanzania katika mashindo ya Miss World 2017, Julitha Kabete amesema kuwa mpaka kuweza kupata nafasi ya...
READ MORENI matumaini yangu msomaji uko poa, nakukaribisha tena jamvini tuangalie sehemu ya pili ya mada yetu. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa...
READ MOREHABARI za leo msomaji wangu, natumaini kuwa nguvu za Mungu zinakulinda na kukupatia ushindi katika matatizo ya maisha unayokutana nayo....
READ MORETUNAENDELEA kuchambua matatizo ya moyo na namna yanavyoweza kusababisha vifo. Wiki iliyopita tulizungumzia ugonjwa wa mshtuko wa moyo, na tulieleza...
READ MORENI wiki nyingine mpenzi msomaji tunakutana tena katika Jamvi la XXLove ikiwa ni wiki ya pili ya mwezi wa kwanza...
READ MORETUMEANZA mwaka mpya wa 2018. Hili ni jambo jema na kila mmoja wetu aliyebahatika kuona mwaka huu ni vizuri kumshukuru...
READ MOREMAKALA haya maalumu lengo lake ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusu afya na tiba ili kupata ufahamu zaidi kuhusu kuimarisha afya...
READ MORENI matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wa safu hii na karibuni kujiunga nami katika makala haya maalum na tutaendelea kujadili...
READ MOREKESHO kutwa Jumatatu ndiyo Sikukuu ya Krismas, Wakristo na wasio Wakristo wataungana pamoja kusherehekea sikukuu hiyo ya kuzaliwa kwa Yesu...
READ MORETUNAISHI kwenye ulimwengu unaoenda kasi sana kiasi kwamba usipokuwa makini, unaweza kujikuta ukimpoteza mtu uliyempenda sana maishani kwa sababu tu...
READ MORE