×

Makala

VINASABA VYAONYESHA WAINGEREZA WALIKUWA WEUSI!

UCHUNGUZI  wa vinasaba (DNA) uliofanywa karibuni umeonyesha kwamba Mwingereza aliyeishi miaka ipatayo 10,000 alikuwa na ngozi nyeusi, macho ya bluu...

READ MORE

Unachodhani Hakiwezekani, Niamini Mimi, Kinawezekana!

NIMEBAHATIKA kusoma kitabu kimoja kiitwacho The Seven Secrets kilichoandikwa na mwandishi ambaye pia ni mchungaji, John Hagee. Ndani ya kitabu...

READ MORE

Madhara Ya Kula Chipsi, Mayai, Kuku Na Soda!

LEO tutazungumzia vyakula hatari kwa afya zetu. Vyakula tunavyotakiwa kuvila, hatuvili na pengine upatikanaji wake ni wa shida, hivyo tunalazimika...

READ MORE

Tabia Zimewakosesha Wengi Mafanikio, Usiwe Miongoni Mwao!

NI ukweli ulio wazi kwamba, maisha yanahitaji uyakabili kwa kujitoa mzimamzima bila kujaribu wala kuingia nusunusu. Ni vita inayomtaka amiri...

READ MORE

Changamoto Ya Kumfumania Umpendaye Na Hatari 5 Za Kumuacha

KATIKA maisha ya kimapenzi yapo mengi ya kuvumilia ili kuweza kudumu na huyo uliyetokea kumpenda. Hata hivyo kuna ambayo kuyavumilia...

READ MORE

Anayecheza Na Moyo Wako ni Sawa Na Muuaji; Utamjuaje?

WENGI wamejikuta kwenye majuto kwa kuwakabidhi watu wasiofaa mioyo yao. Wameambulia mateso makali, wamejikuta wamepoteza muda kwani wameachwa solemba wakati...

READ MORE

Julitha Kabete Kukanyaga Miss World ni Mungu tu!

  MREMBO ambaye aliiwakilisha Tanzania katika mashindo ya Miss World 2017, Julitha Kabete amesema kuwa mpaka kuweza kupata nafasi ya...

READ MORE

Unataka Kurudiana Naye? Vizuri Ukayafahamu Haya-2

NI matumaini yangu msomaji uko poa, na­kukaribisha tena jam­vini tuangalie sehemu ya pili ya mada yetu. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa...

READ MORE

Wanandoa Wenye Ajira Wanavyoweza ‘Kuwekeana Breki’ Za Kimafanikio!

HABARI za leo msomaji wangu, natumaini kuwa nguvu za Mungu zinakulinda na kukupatia ushindi katika matatizo ya maisha unayokutana nayo....

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanavyosababisha Vifo-6

TUNAENDELEA kuchambua matatizo ya moyo na namna yanavyoweza kusababisha vifo. Wiki iliyopita tulizungumzia ugonjwa wa mshtuko wa moyo, na tulieleza...

READ MORE

Linyanyue Penzi Lako Lililolegalega!

NI wiki nyingine mpenzi msomaji tunakutana tena katika Jamvi la XXLove ikiwa ni wiki ya pili ya mwezi wa kwanza...

READ MORE

Siri Ya Mafanikio Ni Kujituma Kwa Bidii

TUMEANZA mwaka mpya wa 2018. Hili ni jambo jema na kila mmoja wetu aliyebahatika kuona mwaka huu ni vizuri kumshukuru...

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanavyosababisha Vifo-5

MAKALA haya maalumu lengo lake ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusu afya na tiba ili kupata ufahamu zaidi kuhusu kuimarisha afya...

READ MORE

Matatizo ya moyo yanavyosababisha vifo-4

NI matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wa safu hii na karibuni kujiunga nami katika makala haya maalum na tutaendelea kujadili...

READ MORE

Ukimfanyia Haya Mwanaume Hakuachi Abadani!

KESHO kutwa Jumatatu ndiyo Sikukuu ya Krismas, Wakristo na wasio Wakristo wataungana pamoja kusherehekea sikukuu hiyo ya kuzaliwa kwa Yesu...

READ MORE

Fanya Haya, Hisia Za Mapenzi Ziendelee!

TUNAISHI kwenye ulimwengu unaoenda kasi sana kiasi kwamba usipokuwa makini, unaweza kujikuta ukimpoteza mtu uliyempenda sana maishani kwa sababu tu...

READ MORE

Jinsi Mwanamke Anavyoweza Kujitambua Kama Hana Uwezo wa Kupata Ujauzito-2

WIKI iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii na leo nitaimalizia. Tatizo lingine katika kizazi lipo kwenye mirija ya uzazi. Mirija ya...

READ MORE

Wastara: Nilikatwa Mguu, Nikakomaa, Nimefanikiwa

  TABATA-Bima Kwenye makutano ya njia nne, ndipo palibadilisha historia ya maisha yake. Anaitwa Wastara Juma Issa Abeid. Ndiyo, ajali...

READ MORE

Shoga: Acha Kulilia Mapenzi, Pigania Wanao!

SHOGA leo najaribu kukufungua akili wewe mwanamke mwenzangu ambaye kila siku umekuwa ukilia kwa ajili ya mapenzi, kila kukicha unaumizwa...

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanasababisha Vifo

NI matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wa safu hii. Leo tutajadili kwa kina matatizo ya moyo, ugonjwa ambao ni miongoni...

READ MORE

Hivi Ndivyo…Saluni Za Masaji Zinavyovunja Ndoa Dar Es Salaam!

MIONGONI mwa vilio vya wanandoa wengi jijini Dar, mbali na hali ngumu ya kimaisha inayosababishwa na vyuma kukaza, matatizo ya...

READ MORE

Vyakula Hatari Na Vinavyofaa Kwa Wajawazito

WATAALAMU wa afya wanasema ili mwili ukue vizuri unahitaji vyakula vya aina tofauti tofauti. Iwapo una mtoto, mwili wake unahitaji...

READ MORE

Ni Kweli Kuna Dawa za Kutibu Nguvu za Kiume? -6

BAADA ya kuwasoma wataalamu mbalimbali wa afya, yaani madaktari na wale wa lishe na kuona namna walivyochambua mada hii ya...

READ MORE

Jinsi Ya Kutengeneza Pesa Wakati ‘Vyuma Vimekaza’!- 02

WIKI iliyopita nilieleza kwa kina kwenye kipengele cha kubana matumizi kadiri uwezavyo. Kwenye makala haya ya jinsi ya kutengeneza pesa...

READ MORE

Mke wa Mugabe Anayetisha Kwa Matanuzi!

JINA la Grace Mugabe (52), kwa sasa ni maarufu barani Afrika hadi nje ya bara hilo. Hii ni kwa sababu...

READ MORE

Jokate Amfananisha Magufuli na Musa Mkombozi wa Waisrael

Kaimu Katibu Idara Ya Uhamasishaji, Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ leo ameandika ujumbe mrefu...

READ MORE

Kweli Mpende Sana Lakini Weka Akiba!

MAPENZI raha yake ni kupendana. Yananoga zaidi wapendanao wanapopendana kwa asilimia mia. Mwanaume ampende mwanamke kwa kiasi hicho, vivyo hivyo...

READ MORE

Ni Ajabu! Miaka 20 Bado Bongo Muvi Inatambaa

DUNIANI kuna maajabu mengi, kuna vitu vinavyofanywa au vilifanywa ambavyo vinashangaza mno. Mfalme Nebukadneza wa Babylon (Iraq) alimjengea bustani malkia...

READ MORE

Miaka 20 Tangu Princess Diana Azikwe, Dunia Bado Inamkumbuka

Princess Diana enzi za uhai wake. Siku ya mazishi ya Princess Diana. Siku ya mazishi ya Princess Diana. Mahali alipozikwa....

READ MORE

SHOGA: Kubana Ziachie Nguo na Nywele!

NAJUA kabla sijaanza na salamu utaanza kujiuliza MC Sophia leo kulikoni tuache kubana! Mara ohhh kubana tuziachie nguo na nywele,...

READ MORE

BUSARA ZA UHURU KENYATTA ZIMEITIKISA SAFARI YA CANAAN

    JANA huko nchini Kenya, kumetokea tukio lisilo la kawaida kwa watawala. Uhuru Kenyatta ameyaheshimu maamuzi ya mahakama yaliyofutilia...

READ MORE

KUCHELEWA KUZAA KUNAVYOSABABISHA UVIMBE KWENYE KIZAZI

    KUNA aina mbili za uvimbe kwenye kizazi unaoweza kutokea, moja huweza kutokea kwenye mlango wa kizazi na kitaalamu...

READ MORE

NJIA MBILI ZA KUSAFISHA MENO YAKO YAWE MEUPE

LEO tutaona jinsi ya kusafisha meno kwani wengine wana ya rangi ya njano kutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyokunywa....

READ MORE

FAIDA ZA UGALI WA DONA

  MARA nyingi baadhi ya watu huwahimiza watu wengine kutumia unga wa mahindi au nafaka zingine usiokobolewa bila ya kubainisha...

READ MORE

MAJI YA MOTO YALIVYO NA FAIDA MWILINI

KUNA tiba nyingi za kitabibu zilizogawanyika katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba...

READ MORE

FAHAMU AINA YA MAUMIVU YA KICHWA

  DALILI za maumivu ya kichwa zinaweza kumsaidia daktari wako ajue nini kinachosababisha maumivu hayo hatimaye kujua matibabu yako yatakuwa...

READ MORE

Wahindi Wekundu; wanaotembea bila nguo, walaji wa nyani!

KATIKA mfululizo wa makala za safu hii, tuliwaeleza kuhusu watu weusi wa Papua New Guinea ambao licha ya kukaa bila...

READ MORE

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (5)

    MATUMIZI YA LUGHA KATIKA RIWAYA YA TAKADINI Mwandishi kakitendea haki kipengele hiki. Matumizi ya lugha yameonekana katika nyanja...

READ MORE

Namba 11 ilivyoliteka tukio la Septemba 11 Marekani

DUNIA ina maajabu yake, mtu unapomwambia kuhusu mfanano uliokuwepo baina ya Rais John F. Kennedy na Abraham Lincoln, anashangaa na...

READ MORE

Fahamu umuhimu wa kula mboga mbichi (saladi)

KUNA watu wanapokwenda hotelini huagiza saladi tu. Salad ni mkusanyiko wa mboga za majani mabichi. Kinachotakiwa kujulikana ni kuwa ulaji...

READ MORE