×

Makala

Jinsi Ya Kumpata Mwenza Katika Dunia Iliyojaa Wajeruhiwa

ULIMWENGU wa sasa, wapendanao wengi wanaishi kwa machale. Ni staili ile ya mguu pande, mguu sawa. Kwamba ukimzingua, anakuzingua. Mwaga...

READ MORE

Mbinu Sahihi Kwa Anayetaka Kuolewa!

Maisha yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Matokeo yake wengi...

READ MORE

Tabia 5 Zinazokufanya Usikubalike Katika Jamii!

KUNA watu ambao wamejikuta hawakubaliki kwenye jamii zao. Jambo hilo ni baya na husababisha tatizo kubwa la kisaikolojia kwa mhusika....

READ MORE

Kuna Wakati Mapenzi Yanafika Mwisho, Usilazimishe!

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na...

READ MORE

Haolewi? Hujui Sababu? SOMA HAPA!

  KUOLEWA au kutoolewa ni majaaliwa ya Mungu lakini zipo sababu ambazo zinaweza kumfanya mwanamke akawa anatanga na njia kila...

READ MORE

Mapenzi Huwa Yanafika Mwisho, Kubaliana Na Ukweli

 NIANZE kwa kumshukuru Maulana kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na...

READ MORE

WAOGOPE WANAWAKE WA AINA HII !

KATIKA kuangalia tabia za wanawake, ni vyema ukawa chonjo kwani ukiingia chaka wanaweza kuyafanya maisha yako ya uhusiano kuwa balaa....

READ MORE

Unavyoweza Kutumia Simu Kuboresha Penzi

TUNAISHI katika dunia ya utandawazi ambapo sasa karibu kila mtu anamiliki simu, hata wale wenye uwezo wa chini kabisa. Ukijaribu...

READ MORE

Matumizi yako yanavyoweza kukukwamisha!

WAPO watu ambao kila siku wanalalamika maisha kwao ni magumu, kila kitu hakiendi n.k. Lakini pia kuna wale ambao ni…

READ MORE

Jinsi Ya Kumfanya Mwenza Wako Afurahie Penzi Lenu

NI IJUMAA nyingine ambayo Mwenyezi Mungu ametukirimia na mimi ninawakaribisha hapa jamvini, mahali ambapo tunajadili mapenzi na maisha kwa jumla....

READ MORE

Unampenda Halafu Hakuelewi!

ASIKWAMBIE mtu, maumivu ya kumpenda mtu halafu yeye akawa hakuelewi huwa yanauma sana. Unateseka kisaikolojia, unafanya kila unalotakiwa kufanya ili...

READ MORE

Jinsi Ya Kumtambua Tapeli Wa Mapenzi

KWENYE ulimwengu wa mahaba, wengi wanaumizwa. Wengi hufikia hatua ya kukata tamaa na kusema hawatapenda tena. Hawaoni umuhimu, wameambulia karaha...

READ MORE

Jinsi ya Kumtambua Mwanaume wa Kukuoa!

WANAWAKE wengi wanateseka penzini kwa kutowatambua vizuri wanaume wenye mapenzi ya dhati. Wengi hujikuta kwenye maumivu makali kwa sababu ya...

READ MORE

Jinsi ya Kuepuka Penzi la Machale Machale

ULIMWENGU wa sasa, wapendanao wengi wanaishi kwa machale. Ni staili ile ya mguu pande, mguu sawa. Kwamba ukimzingua, anakuzingua. Mwaga...

READ MORE

Ukiwa na Sifa Hizi Lazima Uolewe!

MOJA kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume...

READ MORE

Unategemea Akufurahishe Lakini Unaishia Kulia? Soma Hapa!

UHUSIANO wa kimapenzi una changamoto nyingi sana, idadi ya wanaolizwa na mapenzi inazidi kuongezeka kila kukicha, visa vya mapenzi vya...

READ MORE

Tabia 8 Za Wapenzi Wenye Pendo La Dhati

MAPENZI ni hisia. Unapompata mtu akakupenda kwa dhati, ni vigumu sana kuyatambua mateso ya wengine wanayopitia kwenye mahusiano yao. Wapendanao...

READ MORE

Mbinu Tano Za Kumvuta Msichana Mikononi Mwako Kwa Urahisi

MAPENZI ni sanaa ambayo kwa hakika haitaki hasira hata kidogo. Ubunifu, utulivu wa akili na utundu binafsi ni kati ya...

READ MORE

Kwanini Mapenzi Ndani ya Ndoa Zetu Yanapungua?

 HIVI mpenzi wako anapokuambia anakupenda, unafikiri nini zaidi kichwani mwako? Hapo ndipo kwenye msingi mzima wa mada yetu ya wiki...

READ MORE

Wafahamu Marais Afrika Waliouawa kwa Kupigwa Risasi Wakiwa Madarakani

Matukio ya kuuawa kwa viongozi wa juu wa nchi duniani yamekuwa yakipingua kasi katika miongo ya hivi karibuni, lakini hata...

READ MORE

Mambo Ya Kufanya Kwa Wanaotaka Kuingia Kwenye Ndoa!

WAUNGWANA mnaoishi kwenye maisha ya mahusiano nafurahi kukutana na nyinyi tena kwenye darasa hili zuri. Hapa ndipo tunapoelekezana, tunafundishana, tunapeana...

READ MORE

Cleopatra Malkia Anayesadikika Kuwa Mwanamke Mzuri Zaidi Kuwahi Kutokea Duniani

MALKIA Cleopatra ni maarufu zaidi kati ya malkia wote waliowahi kutawala Misri. Cleopatra alizaliwa Alexandria mwaka wa 69 K.K (kabla...

READ MORE

Yanga 3-1 TP Mazembe… Wananchi Wakiamua Hawashindwi, Ngoma Ilipigwa Namna Hii

WEKA ngoma ngumu Wananchi wanaicheza bila hofu kwa kuwa wapo nyumbani na burudani unapata bila tabu kwani Wananchi wakiamua hawashindwa....

READ MORE

Simba Queens ‘The Galacticos’… Ndani Ntiti, nje Ntiti Yatawala ligi ya Wanawake

KWA miaka takribani minne sasa, kwenye soka la Wanawake Tanzania, kuna klabu moja tu ambayo imejiweka kwenye ukurasa wake wa...

READ MORE

Madhara Ya Kuwaachia Ndugu Waishikilie Ndoa Yako Yapo Hapa

UHUSIANO wiwote unajengwa na upendo, uaminifu na msamaha. Kila mtu anapaswa kumpenda mwenzake, kumthamini na kumjali. Hii haishii hapo, ukishampenda...

READ MORE

Azam FC V Yanga… Ilikuwa Ajenda Ya Siri Kwenye Kufungua Zawadi

ILE ajenda ya siri iliyokuwa ikisubiriwa kwenye kufungua zawadi za Christmas kati ya Azam FC na Yanga, iligota ukingoni baada ya...

READ MORE

Fahamu Tabia 9 za Mafanikio Zitakazo Kuhamasisha Kuwa Milionea

WATU wengi wamenaswa kwenye mbio za panya huku wakijaribu kugundua njia halisi ya mafanikio. Lakini vipi nikikuambia si lazima iwe...

READ MORE

Zion Clark: Mwanaume Asiye Na Miguu Aliyeweka Rekodi Ya Kutembea Kwa Kasi Zaidi Duniani

Zion Clark   Watu wengi huamini kwamba mtoto akizaliwa na ulemavu, basi hawezi kuwa na uwezo wowote wa kufanya mambo...

READ MORE

Ijue Nguvu ya Tabasamu Katika Maisha Yako

WANASAIKOLOJIA wa zamani na wa sasa wanakubali kwamba kuna zaidi ya aina 15 za tabasamu, zote zikitoa ujumbe tofauti. Mara...

READ MORE

Fahamu Zaidi Uzuri na Sifa za Watu Wenye Macho Makubwa

  KATIKA uumbaji wa mungu aliumba binadamu wenye sifa mbalimbali. Je ulishawahi kujua watu wenye macho makubwa wana sifa zipi...

READ MORE

Kuzaa Watoto Wengi Kwageuka Kuwa Mtaji Kwa Baadhi ya Nchi Duniani

KATIKA hali inayoweza kukushangaza Rais wa Urusi alitoa agizo wiki hii akiboresha tuzo inayoitwa “Mothers of Veterans”, ambayo ilianzishwa mwaka 1944...

READ MORE

HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 4

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: Nikiwa sielewi hili wala lile, nilimuona mmoja kati yao akirudi pale kwenye pikipiki, nikamuona...

READ MORE

HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 3

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: Nikiwa sielewi hili wala lile, nilimuona mmoja kati yao akirudi pale kwenye pikipiki, nikamuona...

READ MORE

The Darkest Hours (Saa Za Giza Totoro)- 2, Uchungu Uliponizidia, Niliinuka na Kuzunguka Nyuma ya Nyumba Yetu..

ILIPOISHIA: Uchungu uliponizidia, niliinuka na kuzunguka nyuma ya nyumba yetu, mahali kulipokuwa na makaburi mawili, moja la marehemu baba na...

READ MORE

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

  Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimesema fungua! Fungua kwa...

READ MORE

Winga wa Yanga Mwenye Spidi Dickson Ambundo Kasepa na Dakika 256

WINGA mmoja hivi mwenye spidi awapo uwanjani na ni mzawa ambaye aliweza kuwa shujaa mbele ya Polisi Tanzania alipoweza kufunga...

READ MORE

Mayele na Kagere Wote Wazee wa Kuetetema na Wachawi wa Dakika za Majeruhi

UNAIKUMBUKA ile mechi aliyokaa Ramadhan Kabwili langoni kwa mara ya kwanza akiwa langoni? Ilikuwa ni Februari 16, 2019 ni Kagere...

READ MORE

Mastaa Hawa Usishangae Kuwaona Wakikiwasha Bongo Msimu Ujao

  LIGI Kuu Bara msimu huu wa 2021/22 unazidi kupamba moto ukielekea ukingoni ambapo tayari baadhi ya timu tayari zimefanikiwa...

READ MORE

Bilionea Abramovich Atorosha Boti Za Kifahari, Ndege Binafsi

BILIONEA wa Urusi, Roman Abramovich ambaye pia alikuwa mmiliki wa Klabu ya Chelsea ya Uingereza, ametorosha boti zake mbili za...

READ MORE

Kupanda Na Kushuka Kwa Mchechu

JANA Machi 14, 2022 Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...

READ MORE