
Browsing Category
Michezo
Yanga Watangaza Viingilio vya Mchezo wa CAFCL Dhidi ya JS Kabylie Zanzibar
Klabu ya Young Africans (Yanga SC) imetangaza rasmi viingilio vya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya JS Kabylie, utakaochezwa Februari 15, 2026 katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.
Mchezo huo unatarajiwa…
Scholes Aishauri Man United Kumsajili Cristian Romero Kutoka Tottenham
Nguli wa Manchester United Paul Scholes ameishauri klabu yake ya zamani kufanya usajili wa beki wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero, akidai kuwa mchezaji huyo hafurahii maisha ya Spurs na anaweza kuwa chaguo sahihi kwa Old Trafford.…
Simba Yathibitisha Kuondoka kwa Kibu ‘Mkandaji’
Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo, akihitimisha utumishi wake wa misimu minne na nusu akiwa na Wekundu wa Msimbazi.
Kibu ‘Mkandaji’, ambaye alijiunga na…
Leo Hii Mkwanja wa Maana Upo Meridianbet
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa.
COPPA ITALIA pia hatua ya Robo Fainali utapigwa…
Man United Yalazimishwa Sare ya 1-1 na West Ham, Bao la Mwisho Lamnusuru Sesko
Manchester United imelazimishwa kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa katika dimba la London Stadium, matokeo yaliyokatisha rekodi yao ya ushindi wa mechi nne mfululizo na kuendeleza…
Rashford Aondoka Rasmi kwenye Mipango ya United, Carrick Aweka Msimamo Wazi
Manchester United wanaonekana kuendelea na mipango yao ya muda mrefu bila kumjumuisha Marcus Rashford, huku hatma ya mshambuliaji huyo ikizidi kuelekea kwenye uuzaji wa kudumu badala ya kurejea Old Trafford.
Rashford kwa sasa anaitumikia…
Dkt. Mwigulu Aongoza Kikao Cha Kamati Ya Kitaifa Ya Afcon 2027
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka…
Usikose! Bashiri na Meridianbet Ushinde Samsung A26 Leo
Kupitia promosheni kabambe ya Bet Online, mteja anaweza kujishindia simu janja aina ya Samsung A26 na kutimiza ndoto zake. Changamkia fursa leo hii ujinyakule zawadi hii kutoka Meridianbet.
Katika msimu huu wa burudani na ushindani…
Weka Dau Meridianbet Leo – Mechi Kibao, ODDS Kubwa, Mamilioni Yanakusubiri!
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa.
SERIE A, kule Italia pia kuna mechi za kubashiri…
Leo Hii Mkwanja wa Maana Upo Meridianbet
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa.
COPPA ITALIA pia hatua ya Robo Fainali utapigwa…
Farhan Afunguka Mo Dewji Kuchafuliwa, Ishu ya Mangungu Kupigwa – Video
Mwandishi wa habari na mchambuzi mahiri wa masuala ya michezo, Farhan Kihamu, amezungumza na Global TV kufuatia sakata la baadhi ya mashabiki wa klabu ya Simba kudaiwa kutaka kumshambulia Mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu.…
Leo Ni Siku ya Kushinda! Meridianbet Yaleta Mechi Kali na Mkwanja Mnono
Je unataka Odds kubwa siku ya leo?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na uanze safari yako ya kutimiza ndoto zako hapa. Weka dau lako ulitakalo sasa na ubeti leo.
Kule Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea kwa michezo…
Panda Angani na Super Heli Premium Ufurahie Burudani Mpya ya Kasino
Meridianbet Tanzania inaendelea kuvunja mipaka ya burudani ya kasino mtandaoni kwa kukuletea Super Heli Premium, mchezo unaokuweka katikati ya tukio. Hii si bahati nasibu tu, ni mchanganyiko wa ujasiri na akili ya haraka. Kila raundi ni…
Walid Aandika Barua ya Kujiuzulu Kuifundisha Timu ya Taifa Morocco
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui, ameripotiwa kuandika barua rasmi ya kujiuzulu wadhifa wake wa kuifundisha timu hiyo ya taifa.
Taarifa zinaeleza kuwa barua hiyo tayari imewasilishwa kwa Shirikisho la Soka la…
Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa?
Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali…
Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video
Mzee Athuman Mshomari almaarufu Mzee Tifutifu, ambaye anadai kuwa ni mganga wa kienyeji, amedai kuwa yeye ndiye chanzo cha matokeo mabaya yanayoikumba Klabu ya Simba, ikiwemo kufungwa mara kwa mara na kushuka kwa kiwango cha uchezaji wa…
Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua…
Leo Viwanja Vinawaka Moto: Mechi Kubwa Ulaya na Nafasi ipo mikononi mwako
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa.
Coppa Italia pia kuna mechi ya kubeti,…
Arsenal Yatinga Fainali Kwa Jasho, Yaitupa Nje Chelsea Kwa Bao la Dakika za Mwisho
Arsenal imefanikiwa kutinga fainali ya Carabao Cup baada ya kuibwaga Chelsea kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali, na kufuzu kwa jumla ya mabao 4-2.
Ingawa mchezo huo haukuwa wa kuvutia sana kwa…
Liverpool Yatangaza Usajili wa Jeremy Jacquet, Yasubiri Kibali Kutoka FIFA
Klabu ya Liverpool FC imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati wa Ufaransa, Jeremy Jacquet, akitokea klabu ya Stade Rennais FC ya Ligue 1, katika hatua inayolenga kuimarisha safu ya ulinzi ya Majogoo wa Anfield kuelekea…
Kasino Mtandaoni, Odds Kubwa na Michezo Kibao Meridianbet leo
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa.
Ujerumani, DFB CUP hatua…
Simba Yatoa Tamko Baada ya Kukwama Kutinga Robo Fainali CAF
UONGOZI wa Simba umewaomba mashabiki kutokata tamaa wala kuivunjia adabu timu hiyo mara baada ya matumaini ya kukata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kuzimika Februari Mosi 2026.
Sare ya kufungana magoli 2-2 de Tunis inainfanya…
CAFCL: Yanga Wakamata Nafasi ya 3, Vita ya Kufuzu Kundi B Yapamba Moto
Mashindano ya TotalEnergies CAF Champions League yameendelea kushika kasi huku msimamo wa Kundi B ukiwa umebana vilivyo baada ya kumalizika kwa michezo ya raundi ya nne (Matchday 4), hali inayofanya kila mechi iliyosalia kuwa ya “kufa au…
Nguvu Mpya Stamford Bridge, Meridianbet Yakuletea Odds Kubwa za Mechi za Chelsea
Wakali wa ubashiri wanakuita ubashiri mechi zako zote hapa kwa dau unalolitaka, laini pia wakikuwambia kuwa una nafasi ya kuibuka bingwa kwenye mechi zote za Chelsea. Nafasi ni yako leo, ingia na ubashiri.
Chelsea wameonyesha hali ya…
GSM Yashinda Tenda ya Kujenga Uwanja wa Yanga
Klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga) imepiga hatua kubwa katika safari yake ya kuwa na uwanja wa kisasa, baada ya kampuni ya GSM Tanzania Limited kutangazwa rasmi kushinda zabuni ya ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo.
Hatua hiyo…
Shabiki Ampiga Ngumi Mangungu – Video
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu jioni ya leo ameingia kwenye 'kashkash' baada ya shabiki wa Simba kutaka kumshushia kichapo.
Sekeseke hilo limetokea nje ya Dimba la Benjamin Mkapa baada ya kumalizika kwa…
Simba Yachechemea Ligi ya Mabingwa Baada ya Sare ya 2 – 2
Dakika 90 za mchezo mkali wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Espérance Sportive de Tunis zimekamilika kwa sare ya mabao 2-2, katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, leo Februari 01, 2026.
Katika mchezo huo wa…
Mechi za Pesa Leo: Serie A, EPL & LaLiga Meridianbet
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi.
SERIE A itaendelea kwa michezo ya…
Why Live Bet Options Are Gaining Popularity Among Tanzanian Football Betting Fans
In recent years, online sports betting has undergone significant changes, particularly when it comes to betting on professional football matches.
One of the hottest trending betting options to emerge as a favourite among sports…
Yanga Wapata Sare na Al Ahly New Amaan Complex, Zanzibar
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga SC na Al Ahly SC umemalizika kwa sare ya bao 1-1, katika Dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.
Yanga walitangulia kupata bao la kuongoza dakika ya 41+1 kupitia Ibra…
Waziri Mkuu Afanya Royal Tour Arusha National Park
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, leo Januari 31, 2026 amefanya ziara maalum maarufu kama “Royal Tour” katika Hifadhi ya Taifa Arusha (Arusha National Park), ikiwa ni sehemu ya kuendelea kuitangaza sekta ya…
EPL, Serie A & LaLiga: Soka ya Mvuto, Piga Pesa na Meridianbet Leo
Jumamosi ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao hutangazwa hapa kila wiki.
Vilevile kule SERIE A napo kama kawaida kutakuwa na…
Jeshi la Polisi Latoa Taarifa Kuelekea Mchezo wa Yanga na Al Ahly Kesho
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC ya Tanzania na Al Ahly ya Misri, unaotarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Katika taarifa hiyo,…
CAF Yatoa Adhabu kwa Morocco na Senegal Baada ya Vurugu za Fainali
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza rasmi adhabu dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia vurugu na vitendo visivyo vya kispoti vilivyoshuhudiwa wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2026.…
Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi, baada ya kubaini kuwa haukidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.
Kwa mujibu wa TFF, miundombinu…
Rwanda Yaishtaki Uingereza kwa Kukiuka Mkataba wa Wahamiaji
Rwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya wahamiaji ambayo London imeyatelekeza yapata miaka miwili iliyopita.
Keir Starmer, Waziri…
Simba Yawataka Mashabiki Kuungana Dhidi ya Esperance ya Tunisia
Semaji wa Simba Sports Club, Ahmed Ally, ametoa wito mzito kwa Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko, akisisitiza kuwa huu ni wakati wa mshikamano na mapambano kwa ajili ya maslahi ya klabu hiyo kuelekea mchezo muhimu wa Jumapili dhidi…
Morocco Yapokonywa Fursa ya Kuandaa Fainali ya Kombe la Dunia 2030
Morocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2030, kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, yaliyohusishwa na changamoto za usalama na usimamizi wa…
Usiku wa Ulaya Umekuja na Ushindi Ndani ya Meridianbet
UEFA mechi za mwisho kwenye makundi kupigwa siku ya leo ambapo tayari wakali wa ubashiri Meridianbet wanakupa nafasi ya kuondoka na mkwanja mrefu. ODDS KUBWA zipo leo. Jisajili sasa.
Ubabe upo kwenye mechi hii ya Napoli vs Chelsea…
Meridianbet Na Yas Tanzania wakusogezea JIMIXX na Ushindi Bab Kubwaa
Kampuni inayoongoza ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeingia rasmi ushirikiano wa kipekee na kampuni ya mtandao wa simu wa Yas kupitia huduma ya Mix By Yas na kuanzisha promosheni ya kusisimua ya JIMIXX na Ushindi Bab Kubwaa…