Browsing Category
Michezo
Mechi za Moto Zipo Hapa – Odds 1000+ kwa Meridianbet!
Ni siku nyingine tena ya wewe mteja wa Meridianbet kutusua mpunga wako na wakali wa maana kwa dau lako dogo tuu ambalo unalitaka. Pia hapa unaweza ukabashiri na machaguo zaidi ya 1000. Usisubiri kuahdithiwa hii ni zaidi ya fursa kwako.…
Samia: Vijana Mbeya Kunufaika na Ajira za Viwanda Vipya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuanzisha kongani za viwanda mkoani Mbeya ili kuongeza thamani ya mazao, kuzalisha ajira na kuinua kipato cha vijana.
Akiwa Mbeya Mjini…
MO Dewji Ajiondoa Uenyekiti Simba, Amteua Crescentius Magori
Mwaka mmoja tangu kuteuliwa kuongoza Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, bilionea na mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji (MO), ametangaza kujiondoa katika nafasi hiyo na kumteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti mpya.
Akitangaza uamuzi…
Bashiri na Meridianbet Mechi za Kufuzu WC 2026
Mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 zinaendelea leo hii ambapo mechi hizi zinakupa nafasi ya kutengeneza pesa nyingi sana. Jisajili na usuke jamvi lako hapa uweze kuibuka bingwa siku ya leo.
Mabingwa wa michuano ya Euro, Spain…
Simba Yamtambulisha Rasmi Wilson Nangu Kutoka JKT
Klabu ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC na michuano ya kimataifa kwa kutambulisha rasmi usajili wa beki wa kati Wilson Nangu akitokea klabu ya JKT Tanzania.
Nangu, ambaye pia ni…
Serikali: Simba na Yanga Zitafute Viwanja Mbadala vya Michezo
Serikali imetoa wito kwa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC, ambazo kwa sasa hutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, kuhakikisha zinakuwa na viwanja mbadala vya kuchezea michezo yao endapo zitaarifiwa kuacha kutumia…
Hawa Ndio Wanaotajwa Kushuka Daraja EPL 2025/26, Odds Zao Zimechacha
Pesa nje nje ndani ya Meridianbet siku ya leo. Leo hii unaweza ukabashiri timu ambazo zinaweza kushuka daraja msimu ujao pale Uingereza. Odds za timu hizo ni kubwa hivyo tengeneza jamvi lako la ushindi sasa.
Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja
Kiungo mshambuliaji kutoka Zambia, Clatous Chama, amemalizana na klabu ya Singida Black Stars baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea timu hiyo katika msimu wa 2025/26.
Chama, ambaye msimu uliopita (2024/25) alikuwemo…
Times FM Kutangaza Mubashara Kagame Cup, Kuanza Kesho
MSIMU mpya wa Kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM.…
Bayer Leverkusen Yamfuta kazi Erik ten Hag Baada ya Mechi Mbili
Kocha wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, ameondolewa rasmi katika benchi la ufundi la klabu ya Ujerumani Bayer Leverkusen baada ya kusimama katika michezo miwili pekee ya Bundesliga.
Ten Hag (55), alijiunga na Leverkusen…
Chelsea Yavunja Ukuta Old Trafford, Yamchukua Garnacho kwa Euro Milioni 46
Klabu ya Chelsea imethibitisha kukamilisha usajili wa winga chipukizi wa Kimataifa wa Argentina, Alejandro Garnacho, akitokea Manchester United kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 46.
Garnacho mwenye umri wa miaka 21, amesaini…
Jesus Moloko Ajiunga na AS Kigali Kwa Mwaka Mmoja
Mchezaji Jesus Ducapel Moloko aliyewahi kukipiga kunako klabu ya Yanga SC na AS Vita Club, amejiunga na AS Kigali kwa mwaka mmoja, msimu wa 2025/26.
AS Kigali ni miongoni mwa timu zinazojiandaa na msimu ujao, hasa michuano ya Ligi ya…
Morocco Mabingwa wa Afrika Mashariki CHAN 2024
HATIMAYE Pamoja CHAN 2024 imegota mwisho na mabingwa wakiwa ni Morocco baada ya kuoata ushindi katika mchezo wa fainali, Agosti 30 2025.
Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Moi, Nairobi umesoma Madagascar 2-3 Morocco.
Katika…
Simba Yamalizana Beki Nangu na Kipa Yakoub Kutoka JKT Tanzania
Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumsajili beki wa kati wa Taifa Stars na JKT Tanzania, Wilson Nangu, kwa mkataba wa miaka miwili, na hivyo kumwondoa rasmi kwenye rada za watani wao wa jadi, Yanga SC.
Nangu amekuwa mhimili muhimu wa…
Khalid Aucho Asajiliwa Singida Black Stars, Aungana Tena na Kocha Gamondi
KHALID Aucho kiungo wa zamani wa Yanga SC inatajwa kuwa amefikia makubaliano mazuri na Singida Black kuelekea msimu wa 2025/26.
Kiungo huyo ni moja ya wachezaji waliowahi kufundishwa na Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni Kocha Mkuu wa…
Msimu Mpya wa Ligi Kuu Bara Kuanzia Septemba 17, Ratiba Ipo Hapa
Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unatarajiwa kuanza rasmi Septemba 17, 2025 kwa michezo miwili ya ufunguzi.
KMC FC wataikaribisha Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, huku Coastal Union…
Kivumbi cha Europa League Kuanza Leo – Meridianbet Yaleta Nafasi ya Ushindi
Je unajua kuwa leo hii unaweza kuanza ushindi wako na Meridianbet siku ya leo kwa kubashiri mechi za kufuzu Europa siku ya leo. Mechi kibao za ushindi zipo sasa unangoja nini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.
Kivumbi…
Yanga yaboresha mkataba wa Mzize baada ya msimu wa mabao 14
Mshambuliaji Clement Mzize wa Yanga SC ameboreshewa mkataba wake ambapo mshahara wake inatajwa itakuwa ni milioni 40 kwa mwezi akiwa mchezaji mzawa namba mbili kukunja mshahara mrefu.
Namba moja ni Feisal Salum wa Azam FC ambaye…
Vodacom Tanzania Na Don Bosco Wazindua Mpango Wa Kuwainua Vijana Na Kuendeleza Mpira Wa Kikapu…
Dar es Salaam, 29 Agosti 2025, Vodacom Tanzania PLC imesaini ushirikiano na Shirika la Salesian of Don Bosco Kanda ya Tanzania na kuzindua mfululizo wa mipango inayolenga kuwawezesha vijana na kuendeleza mchezo wa mpira wa kikapu jijini Dar…
Carabao Cup Ndio Ushindi Wako na Meridianbet
Je unajua kuwa ushindi wako siku ya leo upo Meridianbet kwenye mechi za Carabao Cup?. Mechi kibao kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku timu hizo zikiwa na ODDS za kibabe. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa.
AFC Bournemouth…
Ngao ya Jamii Septemba 16: Yanga Yazidi Kupiga Hesabu Dhidi ya Simba
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC wameanza kupiga hesabu kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC.
Mchezo huo unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuwa na ushindani ndani ya dakika 90 kwa wababe hao…
Liverpool vs Newcastle: Nani Kuibuka Kidedea EPL?
Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa.
LALIGA kule Hispania…
Yanga Yazindua Jezi Mpya Msimu wa 2025/2026 – Picha zipo Hapa
Klabu ya Yanga imezindua rasmi jezi zake mpya kwa ajili ya msimu wa mashindano wa 2025/2026.
Jezi mpya zimebeba mchanganyiko wa ubunifu wa kisasa na rangi za kijadi za klabu hiyo – kijani na njano – zikionyesha utambulisho wa…
Bundesliga, Serie A, EPL na LaLiga Zote Zipo Meridianbet siku ya leo
ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet siku ya leo, tandika jamvi lako la uhakika leo kwani EPL, SERIE A, LALIGA, na zingine kibao zipo kwaajili yako. Ingia kwenye akaunti yako na utandike jamvi lako sasa.
Ligi kuu ya…
Yanga Yasajili Wachezaji Wakubwa kwa Malengo ya Msimu Mpya
Ofisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, amesema usajili wa wachezaji wakubwa ndani ya klabu hiyo ni sehemu ya mpango wa kujenga kikosi imara kuelekea msimu wa 2025/26.
Kamwe alibainisha kuwa Yanga, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara…
Kocha Fadlu Afafanua Mustakabali wa Ladack Chasambi
Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ametoa msimamo wake wazi juu ya kiungo mshambuliaji, Ladack Chasambi, akibainisha kuwa hayupo katika mipango yake ya msimu ujao.
Inaelezwa kuwa Fadlu hana mpango wa Chasambi katika nafasi ya winga,…
Stars Wapewa Motisha Milioni 200 na Rais Samia Kuelekea Robo Fainali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameikabidhi Timu ya Taifa ya Soka (Taifa Stars) kiasi cha Shilingi Milioni 200 ikiwa ni sehemu ya hamasa na motisha kwa wachezaji na benchi la ufundi kuelekea mchezo muhimu…
Yanga Yatangaza Septemba 12 Kuwa Kilele cha Wiki ya Wananchi
Yanga SC imeitangaza siku ya Ijumaa ya Septemba 12 2025 kuwa siku rasmi ya kilele cha wiki ya Wananchi. Hii ni siku maalum ambayo hutumiwa kwa ajili ya kutambulisha wachezaji na kikosi kipya mbele ya mashabiki.
Pamoja na utambulisho…
Watatu Watambulishwa Yanga Agosti, Assinki Beki Mghana Ndani
YANGA SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika wakiwa na mataji 31 kabatini wametambulisha nyota watatu ndani ya Agosti 2025.
Katika wachezaji hao usajili ambao ulitikisa ni ule wa beki Mohamed Hussen…
Azam FC Yaachana na Kipa Mohamed Mustafa
Klabu ya Azam FC imeachana rasmi na kipa wake raia wa Sudan, Mohamed Mustafa, baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili.
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Azam FC imetoa ujumbe maalumu kuthibitisha kuachana huko,…
Meridianbet Yakuwekea Jamvi la Ushindi – Suka Bet Yako Leo!
Mechi za kufuzu Europa League na Conference League zinaendelea leo na zipo nyingi hivyo kazi ni kwako kuchagua nani atakupa pesa kibao. Tandika jamvi lako siku ya leo mechi uzitakazo na uibuke bingwa hapa.
AEK Athens yeye atasafari…
Milionea Mpya Kutoka Meridianbet, Ashinda TZS 14,996,310.99/=
Katika ulimwengu wa kubashiri michezo, kila siku huleta fursa mpya za kushinda, lakini hadithi ya mshindi wa hivi karibuni wa Meridianbet imevuta hisia za wengi nchini Tanzania. Mshindi huyu amegeuza dau dogo la TZS 3,055/= kuwa ushindi…
Simba Kuzindua Jezi Mpya kwa Tukio la Hadhi ya juu Agosti 27, 2025
UONGOZI wa Simba SC umetaja siku rasmi itakayokuwa ni maalumu kwa uzinduzi wa uzi mpya wa timu hiyo kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC…
Mashindano Ya Mpira Wa Kikapu Ya Makampuni Ya Kichina Nchini Yanajenga Madaraja Ya Kibiashara
Stanbic yashiriki katika awamu ya 12 kuunga mkono uhusiano wa kina zaidi kati ya jumuiya za biashara za Kichina na Kitanzania.
Mashindano haya yanaunganisha michezo, utamaduni na mtandao wa kibiashara, yakitoa mwanga wa kipekee juu ya…
Rais wa CAF, Motsepe Ampongeza Wallace Karia kwa Kuchaguliwa Tena TFF
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia kwa kuchaguliwa tena katika nafasi hiyo.
Karia ambaye pia ni…
Siku ya Ushindi na Meridianbet – Bashiri Mechi Kali za Leo!
Je unajua kuwa siku ya leo ni siku ya ushindi kwako wewe mteja wa Meridianbet?. Kama hujajua basi hii ndio taarifa nakupatia sasa, suka jamvi lako lenye mechi uzipendazo na uweke dau lako hapa.
Meridianbet inakuambia kuwa mechi za…
Nyamlani ateuliwa tena kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais TFF
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Athuman Nyamlani, ameendelea kubaki katika nafasi hiyo baada ya kuteuliwa tena na Rais wa TFF, Wallace Karia.
Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, nafasi ya…
Rasmi Msimu Sasa Unaanza Leo na Meridianbet
Jumamosi ya kibabe imefika na wewe huu ndio wakati wako wa kupiga pesa leo huku nafasi ya wewe kuchukua mkwanja ikiwa ni nje nje kabisa. Timu kibao zipo dimbani leo kusaka ushindi na wewe saka mapene na Meridianbet.
LIGUE 1 kule…
Wallace Karia Apitishwa Tena Kuongoza TFF kwa Asilimia 100
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wamempitisha kwa kishindo Rais wa sasa, Wallace Karia, baada ya kumpigia kura za ndiyo kwa asilimia 100.
Karia alikuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais, kufuatia…
Yanga Yavuruga Sikukuu ya Rayon Sports, Yatwaa Kombe Kigali
Kigali, Rwanda – Wananchi Young Africans SC wameharibu sherehe ya Rayon Sports Day baada ya kuichapa wenyeji wao Rayon Sports mabao 3-1 katika uwanja wa Amahoro na kutwaa kombe la Rayon Day Cup 2025.
Rayon walipata goli la mapema…