Browsing Category
Michezo
Mechi za EPL, La Liga na Serie A Kukupa Mkwanja Wa Meridianbet
Mashabiki na wapenzi wa soka kote duniani wanatarajia kupata burudani murua kushuhudia, miamba ya soka barani Ulaya wakipambana kusaka pointi muhimu. Na kwa wapenda kubashiri basi wanafurahi uwepo wa odds kubwa na machaguo mengi pale…
Simba Yataja Hasara Waliyopata kisa Kukosa Mashabiki Uwanja wa Mkapa leo
UONGOZI wa Simba SC umebainisha hasara watakazopata kutokana na kuwakosa mashabiki kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana, Septemba 28 2025 Uwanja wa Mkapa.
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na…
Pumzi za Moto Wikiendi Hii, Ligi Kuu ya Uingereza na Meridianbet
Ligi Kuu ya Uingereza inageuka kuwa uwanja wa mapigano wikiendi hii, mechi zimejaa mvutano, vita ya kupigania alama tatu na nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi. Meridianbet imeweka odds za kuvutia, sasa ni wakati wa kuchukua hatua na…
Gianni Infantino Asimama Na Amani, Ataka Ulimwengu Kuwaunganisha Watu Kupitia Kandanda
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, ametoa wito wa amani duniani, akisisitiza haja ya kulinda utu wa binadamu hasa kwa watoto na kina mama wanaoteseka kutokana na vita na migogoro.
Akizungumza katika mkutano…
Oscar Mirambo Ateuliwa Kaimu Katibu Mkuu wa TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo kuanzia Oktoba 1, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo,…
Europa League Kuinogesha Wiki, Bashiri kwa Maarifa na Ushinde
Kombe la Europa linalindima tena leo huku kila timu ikijizatiti kuhakikisha inaondoka na matokeo ili kufuzu kwa hatua zinazofuata, na kwako mbashiri, michezo mbalimbali ipo pale Meridianbet kwa ajili yako kuhakikisha nafasi za machaguo…
Pamba Jiji Yatajwa Kukwamisha Ratiba ya Mazoezi Uwanja Mkapa
Baada ya taarifa kusambaa mitandaoni ikionesha wachezaji wa Pamba Jiji wakifanya mazoezi gizani katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Serikali imesema timu hiyo ilifika uwanjani hapo pasipo kutoa taarifa rasmi ya kufanya mazoezi ya kujiandaa…
Kocha Fadlu Davids Aaga Simba kwa Machozi ya Furaha na Shukrani
Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, ameaga rasmi klabu hiyo akieleza hisia zake nzito baada ya muda wake kumalizika Msimbazi.
Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema tangu siku ya kwanza alipojiunga na Simba alihisi mapenzi makubwa…
Bashiri Leo, Shuhudia Ushindi wa Chelsea, Liverpool na Everton
Wiki mpya ya kushuhudia mbungi la kikubwa ndani ya Carabao ndio hii inaanza leo na tunashuhudia vigogo mbalimbali wa soka la Ulaya wakionyeshana misuli ya nani mbabe dhidi ya mwenzake. Ndani ya Meridianbet, fursa ya kuondoka na vibunda…
Simba Yamtangaza Hemed Suleiman ‘Morocco’ Kuwa Kocha Mkuu wa Muda
Klabu ya Simba SC imefanya uteuzi rasmi wa kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha mkuu wa muda wa timu hiyo. Hemed Morocco, ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, atachukua jukumu hili hadi klabu itakapompata kocha mpya wa…
Ballon d’Or 2025: Dembélé Awashinda Lamine Yamal na Mohamed Salah
Staa wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ameshinda Tuzo ya Ballon d’Or ya 2025, akiwashinda wachezaji maarufu kama Lamine Yamal wa Barcelona na Mohamed Salah wa Liverpool. Katika msimu wa…
Video: Simba Yatengana na Kocha Fadlu Davids Baada ya Mwaka Mmoja
Uongozi wa Klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kocha wake mkuu, Fadlu Davids, baada ya pande zote kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba.
Davids, ambaye alijiunga na wekundu hao wa Msimbazi mwaka jana, amehudumu kwa muda wa…
Majaliwa: Rais Dkt Samia Anatambua Mchango Wa Madhehebu Ya Dini Katika Kuendeleza Maarifa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuleta…
Yanga, Simba, Azam na Singida zakamilisha rekodi ya ushindi Afrika
Vilabu vya Tanzania vimeendelea kutamba kwenye michuano ya kimataifa ya Afrika baada ya Simba SC na Singida Black Stars kusajili ushindi muhimu katika michezo yao ya marudiano ya awali.
Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika…
ODDS Mpya Zimeingia – Bashiri Sasa, Jikusanyie Mpunga Mkubwa!
Jumamoi nyingine ya mwezi Septemba imefika ambapo wewe una nafasi ya kujikwapulia mpunga mkubwa. Meridianbet wanakwambia hii ndio nafasi ya wewe kuchuana na ODDS zako. Unangoja nini?. Tandika jamvi lako sasa.
Tukianza na SERIE A leo…
“Goli la Mama” Larejea – Serikali Yatambulisha Motisha Mpya kwa Timu za Tanzania
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ametuma salamu za heri kwa klabu zote za Tanzania zinazoshiriki mashindano ya kimataifa barani Afrika.
Kwa niaba ya…
José Mourinho Arudi Benfica kwa Kishindo
Klabu ya Benfica imechukua uamuzi mzito baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Qarabağ. Timu hiyo maarufu kutoka Ureno imetangaza kutengana na kocha wake mkuu na sasa imeamua kumgeukia gwiji wa soka…
Usiku wa Champions League: Odds Zimeshiba Meridianbet!
Usiku wa Ligi ya Mabingwa Ulaya unaendelea kwa mechi kali kabisa za kukupatia maokoto mengi. Nafasi ya wewe kuondoka na pesa ni kubwa kwani ODDS za leo zimeshiba vibaya mno. Unachotakiwa kufanya ni kubashiri na Meridianbet sasa.…
Kikosi cha Simba Chatua Botswana kwa Mtanange wa CAFCL
Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya wenyeji Gaborone United.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa…
Leo Ndiyo Siku Yako ya Kupiga Mkwanja na Meridianbet!
Kama kawaida mechi za kukupatia pesa ni hizi mechi za Ligi ya Mabingwa ambapo timu kibao zitashuka dimbani hapo baadae kusaka nafasi ya kupiga pesa. Meridianbet wamekuandalia machaguo mengi zaidi ya pesa. Nani ni nani siku ya leo?…
Usiku wa Mabingwa: Bashiri, Ushinde, Shinda Maokoto!
Je unajua kuwa leo hii usiku wa Ulaya unaanza?. Timu mbalimbali kutoka Mataifa mbalimbali zinachuana vikali kusaka pointi tatu muhimu. Leo hii kuna Arsenal. Real Madrid, PSV na wengine wengi. Wewe chuana na Meridianbet kupata ODDS za…
Hawa Hapa Mapilato Yanga Vs Simba leo Uwanja wa Mkapa, Kayoko Kwenye Orodha
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 16 2025 katika mchezo wa fainali.
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, Cliford Ndimbo ametaja orodha…
Betway inapanua uzoefu wa Kasino kwa Kutambulisha mfululizo wa michezo yenye upekee
Dar es salaam, Tanzania – Septemba 15: Betway, Kampuni inayoongoza Duniani kwenye michezo ya kubashiri na burudani mtandaoni, inajivunia kutambulisha ofa yake mpya: Mfululizo wa michezo ya kipekee ya kasino inayopatikana kwenye jukwaa…
Folz Awaahidi Mashabiki Raha Kesho, Kapombe Atoa Onyo
Kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika Ngao ya Jamii, mchezo unaozindua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara.
Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz, ameweka wazi kuwa…
Mechi Kali, Odds Nono – Bashiri na Meridianbet Sasa!
Je unajua kuwa Jumatatu ya leo imekuja kwaajili ya kukupatia ushindi?. Wikendi watu wengi wamejipigia pesa na Meridianbet wewe unangoja nini kufanya hivyo. Mechi za ushindi zinakungoja wewe tuu.
LALIGA 2 pia kuna mechi moja siku ya…
Betway Tunzo, Mchongo Mpya Unaowapa Wateja Sababu Zaidi Za Kucheza Na Betway
Betway, moja ya kampuni inayoongoza duniani kwenye michezo ya kubashiri, imejizatiti kuwapa wateja wake huduma mpya yenye kuvutia, kusisimua na ubunifu mkubwa ambao unaendelea kuboresha uzoefu wa mteja kwenye kubashiri. Ukizingatia…
Simbu Aandika Dhahabu ya Kwanza: Tanzania Yaingia Kwenye Historia ya Dunia
Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikikumbukwa kupitia mashujaa wake wa riadha kama Filbert Bayi, aliyewahi kuvunja rekodi ya dunia na kushinda medali ya fedha Olimpiki, na Suleiman Nyambui, aliyeng’ara kwenye mbio ndefu. Hadithi ya John…
TFF Yatangaza Viingilio Ngao ya Jamii Simba vs Yanga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, Septemba 16, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa…
Ligi Kubwa Zimerudi – ODDS Moto Moto za Meridianbet Zipo Hapa!
Ligi kubwa Duniani zinatarajiwa kuendelea siku ya leo huku nafasi ya wewe kuondoka na mpunga mrefu kabisa. Baada ya mapumziko ya Kimataifa sasa ni muda wa kunufaika kwa kusuka jamvi lako la ushindi. Tengeneza pesa siku ya leo hii kwa…
Feitoto Aongeza Mkataba Mpya Azam FC Hadi Juni 2027
Klabu ya Azam Fc imetangaza kumsainisha kiungo Faisal Salum ‘Feitoto’ nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027.
Mkataba wa awali wa nyota huyo wa zamani wa Young Africans Sc ulikuwa…
ODDS Zimeiva, Weka Dau Lako Bingwa wa FA CUP Uingereza
Huku timu kibao za Uingereza zikiendelea kutafakari nani atakuwa bingwa wa FA CUP msimu huu, tayari mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakukaribisha usuke jamvi lako la ushindi.
Arsenal wapo kwenye nafasi ya kuwa washindi…
Kocha Wa Simba Afunguka Simba Day 2025 “Msimu Huu Ni Wa Mataji”
Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, ametuma salamu nzito kwa mashabiki wa klabu hiyo akisisitiza kuwa msimu mpya wa 2025/26 ni wa ushindani wa kweli na lengo lao kubwa ni kuhakikisha wanabeba mataji makubwa.
Akizungumza katika…
Waziri Aweso Awakilisha Waziri Mkuu Katika Kilele Cha Simba Day 2025
Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, amewasili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam akimuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, kama Mgeni Rasmi katika kilele cha Wiki ya Simba (Simba…
Chino Kidd Afanya Balala Simba Day Kwa Mkapa – Picha
Msanii maarufu wa Bongofleva, Chino Kidd, ameacha gumzo kwenye jukwaa la Simba Day 2025 ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya kuteka hisia za maelfu ya mashabiki kwa performance kali iliyojaa nguvu, midundo mizito na vibe za mtaa.…
Simba Day: Upendo wa Mashabiki Wawasha Moto Mkapa
Simba Day ni tamasha maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi. Katika tamasha hilo kutakuwa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Simba SC vs Gor Mahia watakutana uwanjani.
Mashabiki wamejitokeza kwa wingi katika…
Hawa Hapa Wafungaji Bora wa Mataifa Mbalimbali Afrika
Safari ya mafanikio huanza kwa kuituma kwa kile ambacho unakifanya kwenye maisha yako ya kila siku. Hapa Afrika kuna wachezaji wengi ambao wamefanya mengi na hata kushikilia rekodi mbalimbali ikiwemo za ufungaji bora. Je unajua kuwa…
Father Atembea na Kiti cha Urais Azam FC, Popat na Kuwe Wapewa Umakamu
BODI ya klabu ya Azam Fc imefanya mabadiliko ya kimuundo na mfumo wa klabu hiyo yanayohusu nafasi za juu za utendaji katika utawala ambapo nafasi ya Mwenyekiti wa klabu imebadilika mara moja na kuwa Rais wa klabu (Club President).…
Kuwa Milionea na Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia 2026
Je unajua kuwa Jumanne ya leo unaweza ukajipatia maokoto ya maana kwenye mechi mbalimbali zinazoendelea za kufuzu Kombe la Dunia?. Tanzania, Senegal. DR Congo na wengine kibao wapo kwaajili yako. Suka jamvi lako la uhakika hapa.
Leo…
Mechi za Moto Zipo Hapa – Odds 1000+ kwa Meridianbet!
Ni siku nyingine tena ya wewe mteja wa Meridianbet kutusua mpunga wako na wakali wa maana kwa dau lako dogo tuu ambalo unalitaka. Pia hapa unaweza ukabashiri na machaguo zaidi ya 1000. Usisubiri kuahdithiwa hii ni zaidi ya fursa kwako.…
Samia: Vijana Mbeya Kunufaika na Ajira za Viwanda Vipya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuanzisha kongani za viwanda mkoani Mbeya ili kuongeza thamani ya mazao, kuzalisha ajira na kuinua kipato cha vijana.
Akiwa Mbeya Mjini…