
Browsing Category
Michezo
Al-Ahli Tripoli yatuma ofa ya bilioni 1.9 kumchukua Feisal Salum
Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27).
Kwa…
Ruby Play Yaleta Ubunifu na Ushindi Ndani ya Meridianbet
Meridianbet inazidi kuteka mioyo ya wapenzi wa kasino mtandaoni kwa kuleta ushirikiano na Ruby Play, mtoa huduma mpya wa michezo ya sloti anayefahamika kwa ubunifu wa kisasa na burudani ya kiwango cha juu. Hii ni hatua inayoashiria…
Real Madrid, Man City, PSG Kwenye Moto wa Wikiendi Hii – Beti na Meridianbet
Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000.
Tukianza na LALIGA kule Hispania…
Tengeneza Jamvi Lako la Ushindi Leo na Meridianbet – Pesa Ndio Hii!
Je unajua kuwa kuna pesa ya kutosha kabisa leo hii ukitengeneza jamvi lako na Meridianbet?. Pesa zipo nyingi sana endapo wewe utaamua kutengeneza jamvi lako la ushindi hapa.
LIGUE 1 kule Ufaransa nayo kama kawaida ambapo Rennes…
CAF Yatangaza Tuzo za Wachezaji Bora Afrika 2025 Kufanyika Morocco
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kuwa Tuzo za CAF 2025 zitafanyika mjini Rabat, Morocco siku ya Jumatano, Novemba 19, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa ya CAF, hafla hiyo ya kifahari itaanza saa 1 jioni kwa saa za…
Beti Mechi za Leo: Ligue 1, Serie A, LaLiga na Bundesliga Zote Zipo Meridianbet!
Je unajua kuwa kuna pesa ya kutosha kabisa leo hii ukitengeneza jamvi lako na Meridianbet?. Pesa zipo nyingi sana endapo wewe utaamua kutengeneza jamvi lako la ushindi hapa.
LIGUE 1 kule Ufaransa nayo kama kawaida ambapo Rennes…
Meridianbet Yaleta Mechi za Moto za Europa leo – Bashiri Uingize Mkwanja!
Mechi nyingi za Europa leo zipo kwaajili yako. Unangoja nini?. Suka jamvi lako hapa na huenda safari ya kutimiza ndoto zako ikawa njiani. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa.
Bologna wao wataumana dhidi ya SK Brann huku…
David Beckham Apatiwa Heshima ya Medali ya Sir kwa Mchango Wake Kubwa Katika Soka na Jamii
David Beckham Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya England ametawazawa kwa kupewa Medali ya Sir kwenye Sherehe huko Berkshire.
Sir David Beckham alitunukiwa Medali hiyo kwa kutambua mchango wake bora katika soka na jamii ya…
Mabingwa wa Ulaya Wapo Dimba Leo – Beti na Meridianbet Upate Ushindi Mnono!
Kama kawaida mabingwa wa Ulaya wapo dimbani leo kusaka ushindi mnono, huku wewe ukisaka mepene na Meridianbet. Tengeneza mkeka wako wa ushindi na Meridianbet sasa uibuke bingwa.
Vijana wa Pep Guardiola, Manchester City watakuwa…
TFF Yamteua Miguel Gamondi Kuinoa Taifa Stars kuelekea AFCON 2025
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina kuwa Kaimu kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ akichukua mikoba ya Hemed Suleiman ‘Morocco’…
DFB Pokal, Serie A na Carabao Cup Moto wa Ubashiri Wawashwa Meridianbet
Je unajua kuwa ni rahisi sana kutengeneza jmvi lako la ushindi ukiwa na Meridianbet?. Ushindi wako utanoga zaidi ukiwa na wakali hawa wa ubashiri leo. Usingoje kupitwa na hili.
Ujerumani DFB POKAL kutakuwa na mechi za kukata na…
Real Betis vs Atletico Madrid: Beti ya Maamuzi Leo Meridianbet!
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa leo hii una nafasi nzuri kabisa ya kuondoka na kitita cha pesa endapo utasuka jamvi lako la ushindi hapa. Timu kibao zipo kwaajili yako leo.
Ligi kuu ya Egypt, yaani PREMIER…
Dkt. Samia aandika historia mpya soka la Tanzania, Simba, Yanga, Azam na Singida zafuzu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka rekodi ya kipekee katika historia ya michezo nchini baada ya kufanikisha timu nne za Tanzania kufuzu hatua ya makundi ya mashindano ya kimataifa barani Afrika.…
Pata Matokeo, Bonasi na Michezo ya Kasino yote Katika Portal ya Meridianbet
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo…
Yanga Yamtangaza Pedro Gonçalves Kuwa Kocha Mkuu Mpya – Video
Klabu ya Yanga imetangaza rasmi kumteua Pedro Gonçalves, raia wa Ureno, kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Roman Folz aliyemaliza muda wake klabuni hapo.
Pedro Gonçalves, mwenye umri wa miaka 49, ni kocha mwenye…
Pata Matokeo, Bonasi na Michezo ya Kasino yote Katika Portal ya Meridianbet!
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo…
Leo Ni Siku ya Kuzaliwa kwa Wayne Rooney
Leo amezaliwa nyota hatari zaidi kuwahi kutokea katika kikosi Cha Manchester United na timu ya taifa ya England WAYNE MARK ROONEY!
Wayne Mark Rooney alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1985 mjini Croxteth, Liverpool, Uingereza. Akiwa mtoto,…
Rais Samia Atoa Zawadi ya Milioni 5 kwa Mabingwa wa Soka la Maveterani Tanzania
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekabidhi kiasi cha shilingi milioni tano (5,000,000/=) kwa timu ya Umoja wa Maveterani wa Soka Tanzania (UMSOTA) kama zawadi…
Álvarez Aamua Kuachana na Atlético, Barca Yaongoza Kinyang’anyiro
Mshambuliaji wa Argentina, Julián Álvarez, ameripotiwa kukubali kuondoka Atlético Madrid mwaka 2026 ili kusaka maendeleo zaidi katika taaluma yake ya soka.
Taarifa zinasema Atlético imeporomoka katika mwaka mmoja uliopita, na Álvarez…
Mechi za Moto Ulaya! Beti na Meridianbet Ujipatie Mkwanja Mrefu Leo!
Mzigo mkubwa upo kwa wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo wewe kama mteja una nafasi ya kuondoka na kitita cha maana kabisa. Aston Villa, Nice, Fenerbahce na wengine wapo uwanjani kuhakikisha hawakuachi watupu.
Vilevile Celta Vigo…
Mshambuliaji wa Chelsea, Hakim Ziyech, Atua Wydad Casablanca
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech, amefikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa masuala ya usajili, Fabrizio Romano, Ziyech…
Tengeneza Pesa Leo! Mechi Kali za Ligi ya Mabingwa Zazidi Kukolea Meridianbet
Hatimaye sasa ni nafasi nzuri ya wewe kabisa kutengeneza pesa leo kwenye mechi hizi kali za Ligi ya Mabingwa. Timu kibao zitashuka dimbani kuchuana vikali kabisa kujua nani ni nani. Tengeneza pesa leo sasa.
Eintracht Frankfurt uso…
Yanga Yaondoa Viingilio Mchezo Dhidi ya Silver Strikers, Mashabiki Kuingia Bure – Video
Klabu ya Yanga imetangaza kuwa mchezo wao wa mkondo wa pili wa hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Silver Strikers FC ya Malawi utakuwa bila kiingilio kwa majukwaa yote, isipokuwa VIP A na VIP B…
Vita ya Mabingwa Imerudi Tena, Unangoja Nini Saka Pesa na Meridianbet
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
!-->!-->-->!-->…
Jurgen Klopp afichua sababu za kukataa kuifundisha Manchester United
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amefichua sababu zilizomfanya kukataa ofa ya kujiunga na Manchester United kabla ya kuchukua mikoba ya Liverpool mwaka 2015.
Akizungumza katika mahojiano maalum, Klopp alisema…
Morocco yaandika historia, yashinda Kombe la Dunia la Vijana kwa mara ya kwanza
Timu ya vijana ya chini ya miaka 20 ya Morocco iliandika historia Jumapili baada ya kushinda taji lake la kwanza la Kombe la Dunia kwa vijana wa chini ya miaka 20 “FIFA U-20 World Cup” kwa kuifunga Argentina mabao 2–0 kwenye fainali.…
Bundesliga, LaLiga, EPL, Serie A na Ligue 1 – Zote Zipo Meridianbet!
Nafasi ya kutimiza ndoto zako na Meridianbet ni leo sasa mabpo ligi kutoka Mataifa mbalimbali ikiwemo Uingereza, Italia, Ujerumani na mengine. Mechi za Mataifa hayo zina ODDS KUBWA sana hivyo bashiri sasa.
Ligi kuu ya Ufaransa LIGUE…
Fiston Mayele Aipa Pyramids Ubingwa wa CAF Super Cup
Mastaa wa Pyramids FC wameanza msimu kwa kishindo baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la CAF Super Cup 2025, wakishinda kwa bao 1–0 dhidi ya RS Berkane ya Morocco.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 75 na Fiston Kalala Mayele,…
Yanga Yamtimua Kocha Romain Folz Baada ya Kichapo Malawi – Video
Klabu ya Young Africans Sc imetangaza kuvunja mkataba wa Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz ikiwa masaa kadhaa baada ya klabu hiyo kupokea kichapo cha 1-0 dhidi ya Silver Striker Fc ya Malawi kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza…
Yanga Yaangusha Pointi Ugenini Dhidi ya Silver Strikers
Klabu ya Young Africans SC imeanza hatua ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2025/26) kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya wenyeji Silver Strikers ya Malawi.
Mchezo huo wa mkondo wa kwanza umepigwa katika…
Burudani ya EPL Yarejea Tena! Meridianbet Waja na Odds Kali Zaidi Leo
Burudani ya EPL imerudi tena leo kwa michezo mizito kutoka viwanja vya England. Meridianbet inakuletea odds kali zaidi na machaguo ya kipekee kwa kila pambano. Huu ndiyo wakati wa kubashiri na kushinda ukiwa na meridianbet, wakali wa…
Mechi za Moto, Odds za Faida – Meridianbet Yabeba Burudani leo
Mashabiki wa soka, leo ni usiku wa burudani ya hali ya juu kutoka viwanja vya Ulaya. Na wale wabashiri hamjaachwa nyuma, Meridianbet imeweka odds za kuvutia na chaguo mbalimbali kwa kila mchezaji mwenye kiu ya ushindi. Usikose nafasi…
Simba yatambulisha kocha mpya kuwanoa Camara, Yakoub
Simba SC imemtambulisha kocha mpya ambaye atakuwa anawanoa makipa watimu hiyo kwa msimu wa 2025/26 kwenye mechi za ushindani.
Anaitwa Vitomir Vutov ametambulishwa rasmi kuwa kocha wa timu hiyo yenye maskani yake Kariakoo mtaa wa…
Dembele Alia na Mshahara Mdogo Baada ya Kushinda Ballon d’Or
Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, ameiomba klabu yake kumpa mkataba mpya na ongezeko la mshahara linalolingana na hadhi yake mpya kama mshindi wa Ballon d’Or 2025.
Kwa sasa Dembele analipwa takribani euro milioni 18…
Selemani Kidunda Apata Cheti cha Ukocha wa Ngumi ya Kimataifa
Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania, Selemani Kidunda, ameongeza hadhi nyingine katika taaluma yake ya michezo baada ya kuhitimu rasmi kozi ya ukocha wa mchezo wa ngumi.
Kidunda sasa ni kocha wa kimataifa wa ngumi mwenye…
Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa, Senegal na Ivory Coast Ndani!
Sadio Mané ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuibuka shujaa kwa Senegal, akifunga magoli mawili muhimu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Mauritania, uliowapeleka “Lions of Teranga” moja kwa moja kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026.…
Jishindia Samsung A26 Mpya Ukiwa Mtumiaji wa Meridianbet
Wakati uliosubiriwa kwa hamu ndiyo huu umewadia sasa. Meridianbet inaleta fursa ya kipekee kwa wapenzi wa michezo ya mpira wa miguu. Kuanzia 01 Oktoba hadi 30 Oktoba 2025, kila mchezaji anayejisajili na meridianbet ana nafasi ya…
Fursa za Ushindi Kubwa Leo! Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia Zatisha Meridianbet
Kama kawaida, mechi za kufuzu Kombe la Dunia kwa sasa zimeweza kubeba fursa kubwa zaidi za kutengeneza pesa. Leo ni siku nyingine yenye michezo mikali kila kona ya Ulaya, na Meridianbet wamehakikisha haukosi kitu. Wamekuwekea machaguo…
Yanga Yamtambulisha Mabed Kama Kocha Msaidizi Mpya
Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi Patrick Mabed kuwa Kocha msaidizi wa timu ya Yanga akiungana na kocha mkuu Romain Folz pamoja na msaidizi wake Mano Rodriguez
Mabedi amewahi kuwa Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Malawi kuanzia 2023…
Mashindano Ya Kufuzu Kombe La Dunia Afrika Yapamba Moto – Meridianbet Yawapa Mabashiri Fursa Kubwa…
Mashindano ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia yamechukua sura mpya leo barani Afrika, huku mataifa kadhaa yakirudi uwanjani kusaka pointi muhimu kuelekea fainali za mwaka 2026 zitakazofanyika Marekani, Kanada na Mexico. Vilevile…