
Browsing Category
Michezo
Man City Yazidi Kubanwa Yapata Sare Nyingine EPL!
Manchester City imelazimishwa sare tasa dhidi ya Sunderland kwenye Uwanja wa Stadium of Light, katika mchezo uliokuwa mkali lakini bila mabao.
Ni siku ambayo karibu michezo yote ya Ligi Kuu England imeishia bila mshindi.
Sare hiyo…
Bupandwa FC Yaibuka Mabingwa wa Bonanza la Shigongo kwa Penati 3–0
Timu ya Bupandwa FC imeibuka mshindi wa Bonanza la Shigongo la Kufunga Mwaka, baada ya kuichabanga Katwe FC kwa mikwaju ya penati 3–0, kufuatia sare ndani ya dakika za kawaida.
Bonanza hilo limefadhiliwa na Mbunge wa Jimbo la…
Leo ni siku nzuri Meridianbet Kupiga Pesa! Liverpool Wakipambana na Leeds United
Leo hii ni siku nzuri kabisa ya wewe mteja wa Meridianbet kuondoka na ubingwa hapa. Timu kibao zipo uwanjani kwaajili ya kuhakikisha hubaki patupu kabisa hivyo tengeneza jamvi lako la ushindi na wakali hawa.
Ligi daraja la kwanza…
Morocco Vs Tanzania: Mchezo wa 16 Bora Unaotarajiwa Kushangaza Mashabiki
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025, inayoendelea nchini Morocco ni kati ya michuano isiyotabirika zaidi katika historia ya hivi majuzi.
Tangu kuanzishwa kwa AFCON 1957 mashindano hayajakuwa wazi hali ya kwamba mataifa matano…
Taifa Stars Yaweka Rekodi, Kuvaana na Morocco 16 Bora AFCON 2025
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imepangwa kuvaana na Morocco katika hatua ya 16 bora ya Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), mchezo unaotarajiwa kupigwa Januari 4, 2026.
Hii ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufuzu…
AFCON, EPL na Ligi za Kimataifa Kitawaka leo, Piga Mpunga na Meridianbet
Michuano ya AFCON barani Afrika inaendelea lakini pia kuna mechi nyingine nyingi zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kusaka nafasi ya ushindi na Meridianbet sasa.
SAUDI PROFESSIONAL LEAGUE itaendelea kwa mechi kadhaa za…
United, Chelsea Wabanwa Nyumbani, Arsenal Yaizamisha Aston Villa 4–1
Ligi Kuu ya England iliendelea kwa hamasa kubwa, na matokeo ya mwisho ya mechi za jana yanaonyesha wazi kwamba msimu huu bado umejaa presha, ushindani na matokeo ya kushangaza.
Kwenye Uwanja wa Emirates, Arsenal ilionyesha ubabe wa…
Leo ni Siku ya Ushindi! Beti na Meridianbet Kisha Uondoke na Faida
Anza kutengeneza pesa zako na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridinabet kwani ODDS za kibabe zipo kwenye michuano hii mikubwa ya AFCON. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa.
Tengeneza pesa mechi za AFCON ambapo Tanzania…
Yanga Yamsajili Mshambuliaji Mwanengo kutoka TRA United
Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Emmanuel Samuel Mwanengo kutoka TRA United.
Mwanengo (22) raia wa Tanzania amesaini mkataba wa miaka miwili.
Mali Yafuzu 16 Bora AFCON 2025, Morocco Yashinda Kwenye Kundi A
Timu ya taifa ya Mali imehakikisha nafasi yake kwenye hatua ya 16 bora ya Kikombe cha Mataifa ya Afrika AFCON 2025, baada ya kushinda sare ya 0-0 dhidi ya Comoros katika mchezo wa Kundi A.
Katika mechi nyingine ya kundi hilo, Morocco…
AFCON 2025: Msimamo wa Makundi Wazidi Kuchanganya, Hakuna Kulala! Ona Hapa
Michuano ya AFCON 2025 imeendelea kuwasha moto nchini Morocco, na sasa picha ya nani anaweza kusonga mbele hatua ya 16 bora inaanza kuonekana. Baadhi ya vigogo wameonyesha ubabe, huku timu nyingine zikibaki kupigania nafasi ya mwisho ya…
AFCON 2025 Yazidi Kupamba Moto Mechi Kali Zarejea Leo
Anza kutengeneza pesa zako na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridinabet kwani ODDS za kibabe zipo kwenye michuano hii mikubwa ya AFCON. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa.
CHAMPIONSHIP kule Uingereza itaendelea pia ambapo…
Mahrez Aipeleka Algeria 16 Bora, Burkina Faso Yabaki Njia Panda!
Timu ya Taifa ya Algeria imejiwekea nafasi katika hatua ya 16 bora ya AFCON 2025 baada ya kuitungua Burkina Faso bao 1–0 katika mchezo wa Kundi E.
Bao hilo pekee lilifungwa na nahodha Riyad Mahrez kupitia mkwaju wa penalti, na kutoa…
AFCON Kundi C: Nigeria Yafuzu, Tanzania Yapata Matumaini Dhidi Ya Tunisia
Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025) imeendelea kuwa ya kusisimua, hasa kwenye Kundi C, ambako matokeo ya michezo miwili yaliyochezwa yamebadilisha taswira ya mpambano wa kusaka nafasi za kufuzu.
Nigeria (Super Eagles)…
Nani atathibitisha ubabe mapema?AFCON 2025, SERIE A na EPL leo
Michuano ya Mataifa Barani Africa (AFCON) inatarajiwa kuendelea lakini pia na ligi mbalimbali huku timu kibao zikijidhatiti kupambana kwa hali na mali ili iweze kuchukua taji hilo.
SERIE A kule Italia inatarajiwa kuendelea ambapo…
Leo Kwenye Uwanja: Ushindani Mkali wa Manchester City, Arsenal, Liverpool na AFCON
Ubingwa unaanzia na mechi kali kabisa za Mataifa yaani AFCON kwani tayari wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wameshakuwekea machaguo yako uyapendayo hivyo bashiri sasa.
Leo hii Meridianbet inakwambia kuwa unaweza ukabashiri…
Hassan Mwakinyo Amchapa Eribo kwa KO Raundi ya Pili
Bondia nyota wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameendeleza ubabe baada ya kushinda kwa knockout (KO) dhidi ya mpinzani wake kutoka Nigeria, Eribo, katika pambano lililofanyika usiku wa leo kwenye Ukumbi wa Warehouse, Masaki — Dar es Salaam.…
Man United yawachapa Newcastle, yapanda hadi nafasi ya tano
Mashetani Wekundu wa Manchester United wameibuka na ushindi wa 1–0 dhidi ya Newcastle United kwenye Uwanja wa Old Trafford, na kujihakikishia alama tatu muhimu.
Goli pekee la mchezo lilifungwa dakika ya 24 na Dorgu, likitosha kuwapa…
Taifa Stars Yajiandaa Kuikabili Uganda ‘The Cranes’ Michuano ya AFCON 2025
Kikosi cha Timu ya soka ya Taifa Taifa Stars kinachoshiriki Michuano ya AFCON 2025 huko Morocco, kimefanya Mazoezi kuelekea mechi yake ijayo kesho Desemba 27 dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’
Stars itakutana na Ndege hao…
ODDS KUBWA na Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Hapa
Je unajua kuwa kwa hapa Tanzania ni Meridianbet pekee ndipo unaweza kupata ODDS KUBWA na machaguo ambayo wewe unayapenda?. Mechi za kukupa ushindi zipo leo, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa.
Kule Uingereza, CHAMPIONSHIP…
Tunisia yaanza AFCON 2025 kwa ushindi wa kishindo, Uganda Yapigwa 3–1
Katika mchezo wa Kundi C wa Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025), Uganda ilijikuta ikifungwa na Tunisia 3–1, huku Denis Omedi akifunga bao la kufutia machozi katika dakika za nyongeza.
Tunisia ilianza vizuri mchezo huo, ikifunga mabao…
AFCON 2025: DR Congo Yaanza Kampeni kwa Ushindi Muhimu Dhidi ya Benin
Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) ‘The Leopards’ imeanza vyema kampeni yake ya AFCON 2025 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Benin katika mchezo wa Kundi D.
Bao pekee la mchezo lilifungwa…
Taifa Stars Yapambana na Nigeria Katika Mechi Ngumu ya Kundi
Anza kutengeneza pesa zako na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridinabet kwani ODDS za kibabe zipo kwenye michuano hii mikubwa ya AFCON. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa.
Piga mkwanja kwenye mechi ya DR Congo vs Benin…
AFCON 2025: Morocco Yafungua Pazia, Vigogo Waanza Vita ya Ubingwa
Mashindano ya AFCON yamekuja maalumu kwaajili yako ili uweze kujikwamua kiuchumi. Timu kibao zipo kwaajili yako leo hivyo ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi na Meridianbet.
Mashindano haya yatafanyaika kwenye…
Leo Kuna Moto Ulaya! Mechi Hizi Zitakupa Burudani Kamili
Ni Jumapili ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa.
BUNDESLIGA kule…
Mechi za Kufuatilia Wikiendi Hii Historia na Ushindani Mkali!
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa.
Tukianza na LALIGA kule Hispania kama kawaida kuna…
AFCON 2025 Morocco: CAF Yatangaza Mamilioni kwa Bingwa na Washindi Wengine
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi muundo wa zawadi za fedha kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, itakayofanyika nchini Morocco na kushirikisha mataifa 24 kutoka barani Afrika.
Kwa…
Magori Afunguka: Simba Haijayumba Kama Inavyosemwa, Kelele Zinakuzwa – Video
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC, Crescentius Magori, amevunja ukimya na kueleza sababu zilizochangia kuyumba kwa kiwango cha timu katika baadhi ya michezo ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa hali halisi haiko mbaya…
Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja Dimitar Pantev ambaye ameondolewa katika majukumu yake.
Barker ni raia wa Afrika Kusini mwenye uzoefu mkubwa wa…
Vigogo wa Ulaya na Saudia Kupambana Leo, Al Hilal, Dortmund, Inter na Wengine Uwanjani
Je unajua kuwa Wikendi ya ushindi mnono na Meridianbet imefika siku ya leo ambapo kwa dau lako dogo tuuh unaweza ukajishindi maokoto ya maana. City, Bayern, PSG na wengine kibao wapo kwaajili yako leo.
Ligi kuu ya Saudia ( Saudi…
Waziri Kombo na Prof. Kabudi Wakabidhi Bendera ya Taifa kwa Taifa Stars Cairo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi, wameitembelea Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kambini jijini Cairo…
Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi
Ni siku nyingine ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa.
Rayo Vallecano…
Je Bingwa Mtetezi Kuangukia Pua Msimu Huu?
Je msimu huu Liverpool anaweza kutetea taji lake la EPL kwa matokeo ambayo anayapata hivi karibuni?. Pesa nyingi imetumika kufanya usajili lakini bado mambo si shwari klabuni hapo. Bashiri mechi zote na Meridianbet Leo.
Ligi Kuu ya…
Khalid Aucho Afungiwa Michezo 5 na Kutozwa Faini Sh. 1,000,000
Mchezaji wa klabu ya Singida Big Stars (Singida BS), Khalid Aucho, amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kitendo kisicho cha kiuanamichezo dhidi ya Adam Adam wa klabu ya TRA United.
Kisa…
Sowah na Kante Wafungiwa Michezo 5, Mwamuzi Mwinyimkuu Apewa Adhabu
BODI ya Ligi Kuu ya Tanzania imetangaza adhabu kali kwa wachezaji wa klabu ya Simba SC, Jonathan Sowah na Allasane Kante, pamoja na mwamuzi Abdallah Mwinyimkuu, baada ya tukio la ukiukwaji wa kanuni kwenye mchezo dhidi ya Azam FC.…
Simba Yapunguza Bei ya Jezi Zote Msimu Huu wa Sikukuu!
Klabu ya Simba Sc kwa kushirikiana na JayRutty wametoa ofa ya punguzo la bei ya jezi zake katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu ya Christmas na Mwaka Mpya ambapo jezi zote za klabu hiyo sasa zitauzwa kwa Tsh 12000 tofauti na Tsh Tsh.…
Mbio za Ubingwa EPL 2025/26 Arsenal, City au Mshangao Mpya?
Huku EPL ikizidi kuwaka moto, ndipo na wewe unapata nafasi nzuri ya kupata mkwanja wako na Meridianbet leo. Mechi kibao zikiendelea kupigwa andaa jamvi lako la ushindi na ubashiri na wakali hawa siku ya leo.
Kuna zile timu…
Vumbi Kuendelea Leo: Mechi Kibao Kutikisa Ligi Kuu za Ulaya
Ni Meridianbet pekee ndipo unaweza ukabeti mechi za ligi zote na kuibuka bingwa leo. Jumatatu ya ushindi inaanzia kwako huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakungoja wewe. Jisajili na ubeti sasa.
SERIE A kutakuwa na mechi kali kati…
Jumapili ya Moto Ulaya: Milan, Inter, City na Real Madrid Vitani
Ni Meridianbet pekee ndipo unaweza ukabeti mechi za ligi zote na kuibuka bingwa leo. Jumapili ya ushindi inaanzia kwako huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakungoja wewe. Jisajili na ubeti sasa
SERIE A kule Italia kuna mechi za…
Mchambuzi Farhan Afunguka Mazito Kuhusu Posti Zake kwa Yanga – Video
Mwanahabari na mchambuzi wa soka nchini, Farhan Kihamu (@jr_farhanjr), ameibua mjadala mpya mitandaoni baada ya kueleza kuwa kila anapoandika jambo la upande hasi (negative) kuhusu klabu ya Yanga, basi taarifa hiyo huwa ni ya kweli na…