
Browsing Category
Michezo
Sweet Holiday Chase Yafika Meridianbet, Mzunguko Mmoja, Ushindi Mkubwa
Msimu huu wa sikukuu unazidi kunoga baada ya Meridianbet kuizindua rasmi Sweet Holiday Chase, promosheni mpya inayokuja kwa kasi kama mshambuliaji wa dakika za mwisho. Hapa mchezo ni mmoja tu, kuzungusha na kushinda, ukiwa na nafasi ya…
betPawa Yakuza Motisha Mpira wa Kikapu Tanzania Kwa Sh317 Milioni Katika Locker Room Bonus
betPawa yaendeleza udhamini wa Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu, yakabidhi Sh317 milioni kwenye Locker Room Bonus
Mpira wa kikapu nchini Tanzania umeingia kwenye msimu mwingine wa ukuaji na maendeleo ya wachezaji baada ya betPawa…
Meridianbet Wafungua Njia ya Milionea kwa Dau Dogo Tu!
Je unajua kuwa sehemu pekee ya wewe kutimiza ndoto zako ni Meridianbet pekee?. Tandika jamvi lako sasa na unanze safari yako ya kufanikiwa kimaisha kwani kwa dau dogo tuu unaibuka Milionea.
Kule Italia SERIE A itaendelea ambapo Pisa…
Kundi D Laendelea Kutoa Upinzani Mkubwa, Simba Kupimana Ubavu na Stade Malien
Wababe wa Angola, Petro Atletico, wamelazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Esperance de Tunis ya Tunisia katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa kwenye Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola.
Petro walikuwa wa kwanza kuona lango…
Taarifa, Odds Kubwa na Fursa za Ushindi Zinakungoja Kwenye Meridianbet Sport Portal
Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla.…
Yanga Yakaribia Kumnasa Straika wa Cameroon Kuchukua nafasi ya Andy Boyel
YANGA wanahusishwa katika usajili wa mshambuliaji raia wa Cameroon, Taddeus Nkeng Fomakwang anayekipiga Klabu ya Carabobo FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Venezuela katika usajili wa dirisha dogo msimu huu.
Kwa mujibu wa chanzo kutoka…
CAS Yakataa Rufaa Ya Guinea – Tanzania Yathibitishwa Kwenda Afcon 2025
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imeitupa rasmi rufaa ya Guinea dhidi ya CAF na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuhusu mechi ya kufuzu AFCON 2025 iliyochezwa tarehe 19 Novemba 2024.
Guinea ilidai kuwa Tanzania ilimchezesha…
Meridianbet Yazidi Kuvunja Rekodi – Machaguo Zaidi Ya 1000 Kila Mechi
Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000.
Kule BUNDESLIGA bingwa mtetezi wa…
Al Ahly Yaingia Vitani Kumsajili Fiston Mayele, Yapanga Kumlipa Sh180 Mil kwa Mwezi
Klabu ya Al Ahly Cairo ya Misri imeingia rasmi kwenye mbio za kumsajili mshambuliaji hatari wa Pyramids FC, Fiston Mayele, katika dirisha dogo la usajili la Januari mwakani.
Taarifa kutoka Misri zinaeleza kuwa miamba hiyo ya Afrika…
Uwanja wa Mkwakwani Tanga Wafungiwa na Bodi ya Ligi
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeufungia Uwanja wa Mkwakwani, uliopo Tanga, kutokana na kutokidhi vigezo vya matumizi ya ligi kwa sasa. Uamuzi huo umefikiwa baada ya ukaguzi uliofanyika hivi karibuni kubainisha kasoro kadhaa…
TFF Yaahirisha Tuzo za Msimu 2024/25, Tarehe Mpya Yasubiriwa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuahirisha hafla ya utoaji wa Tuzo za Msimu wa 2024/2025 ambayo ilipangwa kufanyika tarehe 5 Desemba 2025.
Kwa mujibu wa taarifa ya TFF, uamuzi huo umetokana na sababu zilizo…
Dkt. Mwigulu Ahimiza Haki kwa Watanzania, Afungua Maadhimisho Ya Wiki Ya Usafiri Endelevu Ardhini
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Novemba 26, 2025 amefungua Maadhimisho ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini Mwaka 2025 yanayofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza…
Vikosi Vikubwa Barani Ulaya Vitakutana London Leo Usiku
Vikosi viwili vyenye kiwango bora zaidi barani Ulaya vitachuana usiku wa kesho jumatano tarehe 26 kwenye Ligi ya Mabingwa Ndani ya uwanja wa Emirates, London.
The Gunners, ambao wametoka kuisambaratisha Tottenham katika Derby ya…
Usiku wa Ulaya Umefika, Beti UEFA leo na ushinde zaidi na Meridianbet
Hatimaye baada ya kusubiri kwa hamu kabisa Usiku wa Ulaya umerejea kwa kishindo na safari hii ni mechi kali kabisa za kujiokotoea pesa. Weka dau lako dogo tuu na uanze safari yako ya ushindi hapa.
Mabingwa mara nyingi wa michuano…
Simba Kuondoka Alfajiri Novemba 27 Kwenda Mali kwa Mchezo wa Ligi ya Mabingwa
Klabu ya Simba inatarajiwa kuanza safari yake alfajiri ya Alhamisi, Novemba 27, kuelekea nchini Mali kwa ajili ya mchezo wao wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien.
Wekundu wa Msimbazi…
UEFA Champions League Yarudi Kwa Moto! ODDS KUBWA na Machaguo 1000+ Zimewaka Meridianbet
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, inaendelea siku ya leo ambapo timu takribani 8 zitashuka dimbani kuchuana vikali kusaka ushindi. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanakungoja wewe pekee leo.
Jumanne hii mechi kali…
Mechi Moto Leo! Odds Kubwa Meridianbet – Weka Beti Yako Ushinde Zaidi!
Ni Meridianbet pekee ndipo unaweza ukabeti mechi za ligi zote na kuibuka bingwa leo. Jumatatu ya ushindi inaanzia kwako huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakungoja wewe. Jisajili na ubeti sasa.
Uturuki SUPER LIG itaendelea pia…
Mchambuzi Farhan Afunguka Mazito Kuhusu Posti Zake kwa Yanga – Video
Mwanahabari na mchambuzi wa soka nchini, Farhan Kihamu (@jr_farhanjr), ameibua mjadala mpya mitandaoni baada ya kueleza kuwa kila anapoandika jambo la upande hasi (negative) kuhusu klabu ya Yanga, basi taarifa hiyo huwa ni ya kweli na…
Simba Yapoteza Mbele ya Petro de Luanda, Yaburuza Mkia Kundi la CAFCL
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola umemalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea kichapo cha bao 1-0 katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Simba, ambayo…
Serie A, EPL, LaLiga Moto – Meridianbet Yaachia Machaguo 1000+ leo
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi za leo hivyo bashiri sasa.
SERIE A kule Italia itaendelea ambapo AS Roma atasafiri…
Yanga Yawasha Moto Zanzibar, Yaichapa AS FAR 1-0, Prince Dube Atupia
Mabingwa wa Tanzania, Yanga wameanza kampeni zao za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya AS FAR Rabat ya Morocco, katika mchezo uliopigwa jioni ya…
Wanaowania Tuzo za TFF 2024/25 Wapo Hapa… Kutolewa Desemba 5,The Super Dome, Dar
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamisha wanaowania Tuzo za Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025, huku tukitarajia watakaoibuka washindi rasmi Desemba 5, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, Dar es Salaam.
Wikiendi ya Mamilioni! Machaguo 1000+ Ya Meridianbet Yamewaka Moto
Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000.
Kule BUNDESLIGA bingwa mtetezi wa…
Kamwe: Wanatudharau, Lakini Yanga Inakwenda Kuandika Historia Kesho
Msemaji wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe, amesema kuwa licha ya baadhi ya watu ndani ya makundi ya wapenzi wa soka kuitazama Yanga kama timu dhaifu katika mchezo wao ujao dhidi ya AS FAR Rabat, kikosi cha Yanga kimejipanga kikamilifu…
Ijumaa ya Ushindi! Bashiri Michezo Yote na Meridianbet Leo
Ijumaa ya kutimiza ndoto yako na wakali wa ubashiri Tanzania imefika ambapo kwa dau lako dogo tuuh unaweza ukabashiri mitanange yote unayoitaka na ikakuletea pesa chapu chapu. Usikose fursa hii na Meridianbet.
Ligi kuu ya Saudia,…
UDSM Yaandika Historia, Mhitimu Apata First Class Law School, Kikwete Ampongeza
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza Mhitimu wa Shahada ya Awali ya Sheria, Bi. Mary Barney Isaac Laseko, kwa kuandika historia mpya kwa kupata…
Perfromance Yanga Yaibua Maswali, Jemedali Said Acharuka – Video
Mchambuzi wa soka nchini, Jemedali Said ameeleza kuwa peformance ya Klabu ya Yanga kwa sasa ndiyo inatia shaka katika kundi ambalo wapo kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.
Video full ipo YouTube ya Global TV
Tufuatilie kupitia…
Pyramids Yatawala Afrika, Hakimi na Mzize Washinda Tuzo Kuu za CAF
Beki wa kulia wa Paris Saint-Germain na timu ya Taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika (CAF Player of the Year 2025) baada ya kuwashinda nyota wawili wakubwa—Mohamed Salah (Misri, Liverpool)…
Mbappé Awadai PSG Bilioni 700 Kwa ‘Kumtenga’, Atinga Mahakamani
Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappé anadai fidia ya Euro Milioni 263 (takriban TSh 743 Bilioni) kutoka kwa Paris Saint-Germain katika mzozo unaohusu mkataba wake.
Awali PSG ilimshtaki Mbappé, ambaye alihamia Real Madrid mwaka jana,…
Yanga Yaingia Kambi Zanzibar Yaanza Maandalizi ya Ligi ya Mabingwa
Kikosi cha Yanga SC kimeanza rasmi maandalizi yake ya kuelekea mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutua visiwani Zanzibar, ambako kitaweka kambi maalum kwa siku kadhaa.
Katika mazoezi ya siku ya kwanza, kocha mkuu…
Furahia Michezo na Kasino Kwenye Meridianbet Sports Portal Leo
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo…
TPLB Yatangaza Tuzo za Ligi Kuu Zitatolewa Disemba 5
Dar es Salaam, Tanzania — Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi kuwa Tuzo za Ligi Kuu za msimu wa 2024/2025 zitatolewa mnamo Disemba 5, 2025, katika ukumbi wa Super Dome Masaki, Jijini Dar es Salaam.
Tuzo hizo…
Simba Yathibitisha Moussa Camara Kuendelea Kukosekana kwa Wiki 10
Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa golikipa Moussa Pinpin Camara ambaye kwa sasa yupo Nchini Morocco kwa matibabu ataendelea kuwa nje ya uwanja kwa muda wa Wiki 10 huku beki Abdulrazack Hamza ambaye na yeye anasafiri kwenda Morocco…
Simba Yatangaza Viingilio vya Mechi Dhidi ya Petro Atletico ya Angola
Dar es Salaam, Tanzania — Klabu ya Simba SC imetangaza viingilio vya mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Petro Atletico ya Angola, utakaochezwa Jumapili, Novemba 23, 2025,…
Mapambano ya Kufuzu Kombe la Dunia Yafika Kileleni: Nani Ataamua Hali Leo?
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajaili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi za leo hivyo bashiri sasa.
Croatia nao watasafiri kukipiga dhidi ya Montenegro ambao…
Meridianbet Waangusha Odds Kubwa kwenye Mechi za Leo – Zaidi ya Machaguo 1000
Huku wikendi ikiendelea kuwa ya moto, wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa unaweza kumiliki gari ya ndoto yako kwa kubashiri hapa pekee kwani kuna machaguo unayoyataka.
Portugal atakipiga dhidi ya Armenia ambao…
Azam FC Yampandisha Popat Makamu wa Kwanza, Anoro Kuongoza Klabu
Klabu ya Azam Fc imemtangaza Octavi Anoro kama Mtendaji Mkuu (CEO) mpya klabuni, kwa mkataba wa miaka miwili utakaombakisha hadi 2027 akichukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa Abdulkarim Nurdin maarufu kama Popat ambaye amepandishwa cheo…
ODDS KUBWA! Mechi za Kufuzu 2026 Zimerudi Tena — Bashiri Hapa Leo!
Bashiri na Meridianbet mechi zote za kufuzu Kombe la Dunia 2026 uondoka na mshiko wa maana. Spain, Belgium, Turkiye na wengine kibao wapo kwaajili yako leo. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.
Kundi E, kutakuwa na mechi nzuri…
CANAL+ na SuperSport Kuonesha AFCON Morocco 2025
Mashabiki wa soka sasa meno yote nje baada ya CANAL+ na SuperSport kutangaza rasmi kuwa wataonesha mubashara michuano ya CAF Total Energies Morocco 2025, moja ya michuano mikubwa kabisa ya soka barani Afrika.
Kwa mujibu wa tangazo…
Yanga Yaonywa na Bodi ya Ligi Kwa Kuvunja Ratiba ya Mchezo
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imetoa Onyo Kali kwa Klabu ya Young Africans SC kutokana na kushindwa kufuata ratiba ya matukio ya mchezo (match countdown) kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar FC, uliochezwa Oktoba…