×

Michezo

Mabingwa PSV Kuanza Safari ya Taji Jipya, West Ham Nao Kwenye Vita

Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti...

READ MORE

Mnyama Kunguruma Leo! Simba Kufanya Utambulisho wa Kikosi Kipya Uwanja wa Uhuru

Leo Agosti 8, 2026 ni siku kubwa kwa mashabiki wa Simba SC, huku klabu hiyo ikiandaa tamasha lake la Simba...

READ MORE

Barcelona Yamvamia Rodri, Real Madrid Yajitoa, City Yakataa Ofa ya Bilioni 137

Barcelona imewasilisha ofa ya kwanza ya pauni milioni 38.5 (TSh bilioni 137)  kwa Manchester City kwa ajili ya kiungo wa...

READ MORE

Carabao Cup Yafungua Pazia, Vita Kuu Ya Wolves na Port Vale Yaanza

Je unajua kuwa leo hii ni siku yako ya kutimiza zile ndoto zako za muda mrefu?. Tengeneza mkeka wako wenye...

READ MORE

Simba Yapewa Onyo, Mighty Wanderers Si Timu ya Kawaida, Hizi Ndizo Takwimu Zake

Mighty Wanderers ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Malawi (Super League) na ndio wapinzani wa Simba SC katika hatua...

READ MORE

Mashabiki Afrika Wasubiri Burudani Mpya: CANAL+ Yapata Haki za UEFA Hadi 2031

CANAL+ imetangaza kupata haki miliki za kuonesha mashindano yote ya klabu za wanaume ya UEFA katika nchi za Afrika Kusini...

READ MORE

Azam FC Yapewa Mpinzani CAFCC, Singida Black Stars Yakutana na Al Ghazala SC

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC), Azam FC, wamepangwa kukutana na mshindi kati ya Djibouti...

READ MORE

Yanga Yazindua Jezi Mpya za Msimu wa 2026/27, Wanayanga Wavamia Jangwani – Video

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imezindua rasmi jezi zake mpya zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni...

READ MORE

Hradec Králové dhidi ya Beşiktaş Mchezo wa Kufuzu Europa League

Mchezo huu utaanza saa 19:00 kwa muda wa huko Czechia, ambao ni sawa na saa 20:00 kwa muda wa Afrika...

READ MORE

Infantino Aomba Radhi, Aendelea Kuaminiwa Licha ya Ukosoaji wa UEFA

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ameomba radhi kufuatia makosa yaliyotokea katika mchakato wa kuwasilisha mpango wa kuruhusu wawekezaji binafsi kuwekeza...

READ MORE

Viongozi wa Soka Afrika Wamuunga Mkono Infantino Baada ya Mgogoro wa FIFA

Cape Town, Afrika Kusini – Wakati Rais wa FIFA, Gianni Infantino, akikabiliwa na shinikizo kubwa kuhusu uongozi wake, viongozi kadhaa...

READ MORE

Namba 6 Yazua Taharuki! Simba na Yanga Wacheza Mchezo wa Siri Kumhusu Fei Toto

Tetesi zinazomhusisha kiungo wa Azam FC, Feisal Salum “Fei Toto”, na usajili wa Yanga au Simba zimeendelea kutawala mijadala ya...

READ MORE

Barker Afunguka Baada ya Simba Kutua Nchini, Atuma Ujumbe kwa Mashabiki – Video

Kikosi cha Simba SC, leo Agosti 5, 2026, kimerejea nchini kikitokea Kigali, Rwanda, kilikoshiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup pamoja...

READ MORE

Azam FC Yazindua Jezi Mpya Msimu 2026/27 Tayari kwa Vita Ligi Kuu

Klabu ya Azam FC leo Agosti 5, 2026, imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni...

READ MORE

Depú Akaribia Kuachana na Yanga? Petro de Luanda Yajitokeza

DAR ES SALAAM: Klabu ya Yanga SC imemweka sokoni mshambuliaji wake wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu...

READ MORE

Arsenal, Chelsea na Derby ya Milan Kuwasha Moto leo Jumatano – Odds Kubwa Zipo Meridianbet

Jumatano ya leo ni rahisi sana kuondoka na mkwaja wa maana ukibashiri kwenye mechi kirafiki zinazoendelea. Chelsea, Arsenal, PSG na...

READ MORE

Infantino Aitisha Mkutano wa Dharura wa FIFA Morocco leo

RABAT, Morocco: Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, anatarajiwa kuongoza mkutano wa dharura na viongozi waandamizi wa...

READ MORE

Salah Kutua Uturuki leo Kukamilisha Uhamisho Trabzonspor Baada ya Kuondoka Liverpool

ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza...

READ MORE

Wenger: Kufutwa kwa Mpango wa Uwekezaji wa FIFA Kulikuwa Muhimu

Mkuu wa Maendeleo ya Soka Duniani wa FIFA, Arsène Wenger, amesema uamuzi wa kufuta mpango wa kuruhusu wawekezaji binafsi kununua...

READ MORE

Yanga Yashuka Bukombe Kwa Kishindo, Dkt. Biteko Apewa Heshima Maalum – Picha

Klabu ya Yanga imeandika historia mpya baada ya kupeleka tamasha lake la Wiki ya Mwananchi 2026 nje ya Mkoa wa...

READ MORE

Farouk Komara Ni Mwananchi! Yanga Yakamilisha Usajili wa Beki wa Ivory Coast

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Oumar Farouk Komara, kuwa mchezaji mpya wa kikosi hicho...

READ MORE

Simba Yaizima Al Merrikh Kwa Mabao 2-0 Mchezo wa Kirafiki Kigali

Klabu ya Simba SC imeendeleza maandalizi yake kuelekea msimu wa 2026/27 kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya...

READ MORE

Shalulile: Kuondoka Mamelodi ni kama Ronaldo Alivyoondoka Real Madrid – Video

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Peter Shalulile, amesema uamuzi wake wa kuondoka Mamelodi Sundowns na kujiunga na mabingwa hao wa Tanzania...

READ MORE

Meridianbet Yazindua Mashindano ya Spin for Glory, Washindi 20 Kugawana TSh Milioni 3

Mashabiki wa kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya Meridianbet kuzindua mashindano ya kusisimua ya Spin for...

READ MORE

UEFA Kuchukua Hatua Dhidi ya Mpango wa FIFA wa Kuuza Hisa za Kombe la Dunia

Shirikisho la Soka barani Ulaya (UEFA) limetishia kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mpango uliokuwa ukipendekezwa na Rais wa FIFA,...

READ MORE

Fenerbahçe Yavunja Benki Kumsajili Rashford, Baada ya Kuachwa na Barcelona

Klabu ya Fenerbahçe S.K. imeonyesha nia kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa England Marcus Rashford katika moja ya usajili unaoweza kuwa...

READ MORE

Mangungu: Mimi na Mo Dewji Tulipitisha Majina ya Wajumbe Wapya

Mwenyekiti wa Simba Sports Club, Murtaza Mangungu, amesema uteuzi wa baadhi ya wajumbe wapya wa uongozi wa klabu hiyo ulifanyika...

READ MORE

Video: Hersi Awataka Wanachama wa Yanga Kuvunja Makundi Baada ya Uchaguzi, Watano Wachaguliwa

Wanachama wa Yanga wamewachagua wajumbe watano wapya wa Kamati ya Utendaji katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Ukumbi...

READ MORE

Mangungu: Mabadiliko Simba Lazima Yafuate Sheria, Sio Maamuzi ya Watu

Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu leo Agosti 3, 2026 amesema alifanya jitihada za kuitisha mkutano wa dharura kufuatia maelekezo aliyoyapokea...

READ MORE

Simba Yatikiswa! Magori Akataa Kutambua Mkutano wa Bunju

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, amesema kikao kilichofanyika Bunju, Dar es Salaam, Agosti 2, 2026,...

READ MORE

Video: Yanga Wamchagua Tena Hersi Said, Arafat Haji Abaki Makamu wa Rais

Wanachama wa Yanga leo Agosti 2, 2026 wamewapitisha Eng. Hersi Said kuwa Rais na Arafat Haji kuwa Makamu wa Rais...

READ MORE

Mwanamichezo Maarufu wa Kupanda Milima Nirmal Purja Afariki Dunia

Mwanamichezo maarufu wa kupanda milima kutoka Nepal, Nirmal “Nimsdai” Purja, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 43 baada ya...

READ MORE

Kila Mzunguko Kukusogezea Zawadi ya TZS 6,000,000 Ya Expanse Mega Cash Race

Mashabiki wa kasino mtandaoni wamepata sababu mpya ya kuwasha moto wa ushindani baada ya Meridianbet kuzindua promosheni mpya ya Expanse...

READ MORE

Yanga Yamtambulisha Fred Ngoma, Namba 6 Mpya Jangwani, Rekodi Zake Balaa!

Fred Duval Ngoma anatua Yanga akiwa na wasifu unaoonyesha uzoefu wa soka la ushindani barani Afrika. Kiungo huyo mkabaji mwenye...

READ MORE

Pigo kwa Infantino! FIFA Yafuta Mpango Tata wa Kuuza Hisa za Mashindano

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amepata pigo kubwa kisiasa baada ya mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ya kusimamia...

READ MORE

Welbeck Ajiunga na Chelsea, Asaini Mkataba wa Miaka Miwili

Chelsea imetangaza kumsajili mshambuliaji mwenye uzoefu, Danny Welbeck, kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Brighton & Hove Albion F.C.. Welbeck...

READ MORE

Hapatoshi Man United, Atletico Madrid Mechi ya Kirafiki

Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, uwanja wa Strawberry Arena jijini Solna, Stockholm nchini Uswidi, utakuwa jukwaa la mkutano kati ya...

READ MORE

FIFA Yatoa Siku 53 kwa Wanachama Kuamua Hatima ya Hisa za Kombe la Dunia

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amezipa nchi zote wanachama 211 wa shirikisho hilo zikiwemo nchi 54 za Afrika — siku...

READ MORE

Mshauri Mkuu wa Infantino Ajiuzulu, UEFA na AFC Wapinga Mpango wa FIFA

Mshauri mwandamizi wa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, Carlos Cordeiro, amejiuzulu saa chache baada ya Shirikisho la Soka la Asia...

READ MORE

Mkongwe wa Soka la Italia Franco Baresi Afariki Akiwa na Miaka 66

Klabu ya AC Milan ilitangaza taarifa za kifo chake Ijumaa, Julai 31, 2026, huku ikieleza kuwa imepoteza mmoja wa watu...

READ MORE