×

Michezo

Mbappe na Dembele Kuiongoza Ufaransa Dhidi ya Hispania leo

Timu ya taifa ya Ufaransa inahitaji ushindi mmoja pekee ili kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026, ambapo itakutana na...

READ MORE

Vita vya Wakubwa: France na Spain Wakutana Kwenye Ukumbi wa Historia

Dunia ya soka inasimama kimya leo usiku. Dallas Stadium, Arlington-Texas, itakuwa jukwaa la mojawapo ya mechi kubwa zaidi za muongo...

READ MORE

Azam Yatozwa Faini ya Milioni 50, Makocha na Wachezaji Wafungiwa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitoza Azam FC faini ya Shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki sherehe za kukabidhiwa tuzo...

READ MORE

Nani Kunyakua Tuzo ya Mchezaji Bora Kombe la Dunia 2026? Meridianbet Yataja Vinara

Mpaka sasa ni timu 8 ambazo zimebaki kwenye michuano mikubwa Duniani ambapo kila timu inawania nafasi ya kufika Fainali ya...

READ MORE

Nusu Fainali ya Moto! Konate wa Ufaransa Afungaka Kabla ya Kukutana na Hispania Kesho

Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu...

READ MORE

Wild White Whale Yawasili Meridianbet: Pata Mizunguko 50 ya Bure Kila Siku

Meridianbet inakukaribisha kwenye promosheni ya kipekee ya Wild White Whale kwa mwezi wa Julai. Kwa kipindi hiki, wachezaji wana fursa...

READ MORE

Messi na England Wakutana Kwa Mara ya Kwanza Katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, anatarajiwa kuandika historia mpya Jumatano atakapoiongoza timu yake kuivaa England katika nusu fainali ya Kombe...

READ MORE

Soka, Burudani na Biashara: TBL Yaonyesha Nguvu ya Baa Katika Jamii

Kote nchini Tanzania, baa zina nafasi muhimu katika maisha ya kila siku ya jamii. Ni maeneo ambako marafiki hukutana, majirani...

READ MORE

Bashiri Leo, Lipwa Mapema! Early Payout ya Meridianbet Yarejea kwa Kishindo

Ushindi mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo....

READ MORE

Argentina Yatinga Nusu Fainali, Sasa Kuvaana Na Uingereza Katika Pambano La Kihistoria

Argentina leo Julai 12, 2026 imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Uswisi mabao...

READ MORE

Uingereza Yatinga Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Yifunga Norway 2-1

Timu ya Taifa ya Uingereza (England) usiku wa kuamkia leo Julai 12, 2026 imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya...

READ MORE

Man United Yaghairi Dili la José Éderson Baada ya Kushindwa Vipimo vya Afya

Dili la kiungo wa Atalanta, José Éderson, kujiunga na Manchester United limevunjika rasmi baada ya mchezaji huyo kushindwa kupita vipimo...

READ MORE

Nyota wa Kombe la Dunia Jayden Adams Afariki Ghafla

Soka la Afrika Kusini limegubikwa na majonzi kufuatia kifo cha kiungo wa Mamelodi Sundowns na timu ya taifa ya Afrika...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Safari ya Michuano ya Dunia hadi Sasa

Tangu pigo la kwanza la mpira Juni 11, 2026, michuano ya Dunia lililoandaliwa na Marekani, Kanada, na Mexico limekuwa zaidi...

READ MORE

Mwana FA Aimba na Mashabiki Katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameshiriki tamasha la kihistoria la maadhimisho ya miaka 30 ya...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Manqoba Mngqithi Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya wa...

READ MORE

Merino Aizamisha Ubelgiji Dakika za Mwisho, Hispania Yatinga Nusu Fainali Kombe la Dunia

Inglewood, California – Mchezaji wa akiba Mikel Merino aliibuka shujaa wa Hispania baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya...

READ MORE

ChardTalent: Kutoka Kushushwa Jukwaani Hadi Kuanzisha Muziki wa Kiucheshi Tanzania

Dar es Salaam – Wengi wanamfahamu ChardTalent kupitia nyimbo zake za vichekesho na video zinazovuma mitandaoni, lakini nyuma ya mafanikio...

READ MORE

Misri Yarejea Nyumbani, Yapigiwa Shangwe Airport Baada ya Kuandika Historia Kombe la Dunia

El Alamein, Misri — Mamia ya mashabiki wa soka nchini Misri wamejitokeza kwa furaha kubwa kuwapokea wachezaji wa timu yao...

READ MORE

Robo Fainali ya Moto! Hispania na Ubelgiji Kurudisha Kumbukumbu za 1986

Mechi hii inaweza kuelezwa kama mgongano wa falsafa mbili tofauti za mpira. Hispania wanacheza kwa uvumilivu na umiliki wa mpira,...

READ MORE

Ufaransa Yaiondoa Morocco, Yatinga Nusu Fainali ya Kombe la Dunia

Ndoto ya Morocco ya kurudia mafanikio ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Dunia imefikia tamati baada ya kufungwa mabao...

READ MORE

France na Morocco Kukutana Katika Robo Fainali ya Moto ya Kombe la Dunia 2026

Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani...

READ MORE

Kiungo wa Uingereza Afanyiwa Upasuaji Baada ya Kuumia Kombe la Dunia

Kiungo wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Henderson, amewapa mashabiki taarifa mpya kuhusu hali yake ya kiafya baada ya...

READ MORE

Ufaransa Kukutana na Mtihani wa Morocco Robo Fainali Kombe la Dunia

NEW YORK: Kampeni ya Ufaransa katika Kombe la Dunia imekuwa ikijaribu uwezo wao wa kushambulia, uvumilivu na utulivu wa akili,...

READ MORE

Ligi Kuu Bara 2026/27 Kuanza Agosti 16, Usajili Waanza Rasmi

Mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/2027 ukianza rasmi Agosti 16, 2026, huku...

READ MORE

Kombe la Dunia Lapamba Moto, Vigogo Kukutana Robo Fainali, Morocco Yatikisa

Hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 imekamilika rasmi usiku wa kuamkia leo baada ya timu nane kufuzu...

READ MORE

Uswisi Yaiondoa Colombia kwa Penalti, Yatinga Robo Fainali kwa Mara ya Kwanza Tangu 1954

Uswisi imeandika historia kwa kutinga robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Colombia kwa mabao 4-3 kwa...

READ MORE

Mwamuzi Awanyima Misri Ushindi wa Kihistoria Dhidi ya Argentina

Misri imeibua malalamiko makubwa dhidi ya mwamuzi wa Ufaransa, Francois Letexier, baada ya kufungwa mabao 3-2 na Argentina katika hatua...

READ MORE

Vita ya Mbinu Argentina, Egypt Mechi Hatua ya 16 Bora Leo

Wakati Argentina inaingia mechi hii wakiwa na rekodi safi dhidi ya Misri (mabao 8-0 katika mechi mbili zilizopita, za mwaka...

READ MORE

Mbappé Amshambulia Seneta wa Paraguay kwa Kauli za Kibaguzi

Kylian Mbappé amemkosoa vikali seneta wa Paraguay, Celeste Amarilla, kufuatia kauli alizozieleza mitandaoni ambazo zimeelezwa kuwa za kibaguzi baada ya...

READ MORE

Ubelgiji Yaifunga Marekani 4-1, Yatinga Robo Fainali, Kukutana na Hispania

UBELIGIJI leo Julai 7, 2026 imefuzu robo fainali Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Marekani mabao 4-1 katika mchezo...

READ MORE

Neymar Aaga Timu ya Taifa “Safari Yangu na Brazil Imefika Mwisho”

Nyota wa soka wa Brazil, Neymar Jr, ametangaza rasmi kuwa safari yake ya kuitumikia timu ya taifa ya Brazil imefikia...

READ MORE

Mjasiriamali wa Vikindu Ajishindia Tsh Milioni 268.6 za SportPesa Mid-Week Jackpot

Dar es Salaam, Tanzania, 9 Julai 2026: SportPesa Tanzania leo imemtangaza mshindi mpya wa Mid-Week Jackpot, Latifah Hamisi Mdoka ambaye...

READ MORE

Hispania Yaiondosha Ureno, Ronaldo Aaga Rasmi Kombe la Dunia kwa Machungu

Hispania imefuzu robo fainali baada ya kuichapa Portugal mabao 1-0 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa Arlington, Texas,...

READ MORE

UEFA Yalipuka: FIFA Kufuta Kadi Nyekundu ya Balogun Ni Uamuzi Usioeleweka

Shirikisho la Soka barani Ulaya, UEFA, limeikosoa vikali hatua ya Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, ya kuondoa adhabu ya kadi...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Atangaza Kustaafu Timu ya Taifa Baada ya Kombe la Dunia 2026

Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, amethibitisha kuwa Kombe la Dunia la FIFA 2026 litakuwa mashindano yake...

READ MORE

Kitawala leo Spain vs Portugal, Je, Portugal Wanaweza Kuvunja Rekodi ya Spain?

Spain wana mfumo thabiti wa umiliki na udhibiti wa mpira, huku wachezaji wao wakiwa wamekua katika falsafa moja ya kimuundo...

READ MORE

Trump Aingilia Kati, FIFA Yamruhusu Balogun Kucheza Dhidi ya Belgium

FIFA imeondoa adhabu ya kutocheza mechi moja kwa mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, baada ya Donald Trump kuripotiwa kuwasiliana na...

READ MORE

England Yaiondoa Mexico Ikiwa na Wachezaji 10, Kukiwasha na Norway Robo Fainali

Leo Jumatatu Julai 6, 2026 England imefuzu robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa...

READ MORE

Haaland Aizamisha Brazil, Norway Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026

Erling Haaland ameiongoza Norway kutinga robo fainali Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kuifunga Brazil ...

READ MORE