×

Michezo

Messi Barcelona Hadi 2026

STAA wa soka wa kiwango cha Dunia wa Argentina, Lionel Messi amekubali kusalia Barcelona katika mkataba ambao utamuweka kwenye klabu...

READ MORE

Simba Yamzawadia Mgosi Ndinga Kali

UONGOZI wa Klabu ya Simba umemzawadia kocha mkuu wa timu ya wanawake ya klabu hiyo Mussa Hassan Mgosi kwa kuiongoza...

READ MORE

Ihefu FC Kuivaa Yanga Kwa Tahadhari

KOCHA wa Ihefu ya mkoani Mbeya, Zuberi Katwila amesema kuwa tayari kikosi chake kipo jijini Dar es Salaam kwa ajili...

READ MORE

Nabi Apewa Rungu Yanga, Kuvuta Majembe Mapya

UONGOZI wa Yanga umepanga kumpa uhuru wa asilimia 100 kocha wake, Nasreddine Nabi kufanya kile ambacho anaona kitakuwa sawa kwenye...

READ MORE

Niyonzima Kuagwa kwa Heshima Yanga

Kiungo wa mpira mtoto wa Gisenyi Rwanda, Haruna Niyonzima ataagwa rasmi na klabu yake ya Yanga kwenye mtanange wa Ligi...

READ MORE

Bilionea Amfanyia Kufuru Fei Toto

BILIONEA na Mdhamini wa Yanga, Gharib Mohammed, amemfanyia kufuru kiungo wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa kumzawadia gari...

READ MORE

Basi Jipya Yanga SC Kama Ulaya

ACHANA na basi jipya la Simba ambalo walilitambulisha hivi karibuni, wadhamini wa Yanga ambaoni Kampuni ya GSM, imejibu mapigo kwa...

READ MORE

Gabriel Jesus wa Man City Anukia Juventus

KLABU ya Juventus, imetajwa kuwa imeendelea kukomaa na dili la kutaka kumsajili straika wa Manchester City, Gabriel Jesus. Imeelezwa kuwa,...

READ MORE

Fiston Afungasha Kila Kitu, Asepa Yanga

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Abdoul Razack, amefungasha kila kitu kilicho chake, kisha kutimka kambini, huku akijiandaa kutimkia kwao Burundi.  ...

READ MORE

Simba Kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu Julai 18

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kwamba utakabidhiwa ubingwa wao wa nne wa Ligi Kuu Bara katika mchezo dhidi ya Namungo...

READ MORE

Boris Alaani Ubaguzi wa Rangi

WAZIRI Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amelaani ubaguzi wa rangi uliojitokeza katika mitandao ya kijamii dhidi ya wachezaji wa England...

READ MORE

Mwisho wa Nyodo Tamba, Itaba Wataka Kutwangana Live

  MOTO wa pambano la mwisho wa nyodo  umepamba baada ya mabondia Hussein Itaba na Ibrahim Tamba kutaka kuzichapa kavukavu ...

READ MORE

KMC Yatenga Dakika 180 za Mauaji

HABIB Kondo, Kocha Msaidizi wa KMC amesema kuwa kwa namna ambavyo wamejipanga katika mechi zao mbili zilizobaki hawatakubali kudondosha pointi...

READ MORE

Kocha Simba Atuma Ujumbe Yanga

DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mechi zao zilizobaki ndani ya Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la...

READ MORE

Yanga Yataka Pointi Zote

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa utasepa na pointi sita zote ambazo wanazipambania kwa sasa kwenye Ligi Kuu Bara ili kutimiza...

READ MORE

Mgunda: Sikuwafundisha Hivyo Wachezaji Wangu – Video

  KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa hakuwafundisha wachezaji wake mbinu ya kutengeneza mtego wa kutoea jambo...

READ MORE

Dube Kuikosa Simba

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Azam FC, Prince Dube anatarajiwa kuukosa mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi...

READ MORE

Simba Kupeleka Kombe Kigoma, Yanga Yatangaza Vita FA – Video

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kitapeleka taji la Ligi Kuu Bara Kigoma,Yanga yatangaza vita FA.

READ MORE

Kukosa Penati! Bukayo, Rasford, Sancho Wakumbana na Ubaguzi wa Rangi

BUKAYO Saka, nyota wa timu ya taifa ya England baada ya kukosa penalti kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Italia...

READ MORE

Ruvu Shooting: Lazima Tuwachape Namungo

OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire, amefunguka kuwa, wamejipanga kuchukua pointi tatu dhidi ya Namungo FC katika mchezo wao...

READ MORE

Mil 160 Zasajili Kipa Yanga SC

UONGOZI unaomsimamia kipa Tape Eliezer Ira, umewaambia Klabu ya Yanga kuwa unahitaji dola 70,000 (sawa na Sh 161,584,000) ili kumuachia...

READ MORE

Italy Yatwaa Ubingwa wa Euro 2020

TIMU ya Taifa ya Italy imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Kombe la Euro2020 baada ya kuifunga Uingereza kwa jumla ya mikwaju...

READ MORE

Ronaldo Abeba Kiatu cha Dhahabu Euro 2020

Cristiano Ronaldo ametwaa kiatu cha dhahabu cha mashindano ya Euro 2020 baada ya kuibuka mfungaji bora wa mashindano. ✍️ Takwimu...

READ MORE

Yanga Yataja Warithi wa Lamine, Sarpong

KAMA mpango wa Yanga wa kuachana na wachezaji wake, Lamine Moro na Michael Sarpong ukatimia, basi huenda mshambuliaji wa AS...

READ MORE

Simba Yatangaza Ubingwa VPL

MABAO mawili ya John Bocco na Chriss Mugalu kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Coastal Union uliopigwa kwenye Dimba la...

READ MORE

Deus Kaseke Asaini Miaka Miwili Yanga

KATIKA kuhakikisha wanakiboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao, Yanga imemuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo Deus Kaseke. Huyo...

READ MORE

Rais wa Uefa Akiri Mapungufu Euro 2020

  ZIKIWA  zimesalia saa chache tu kabla ya ile fainali inayosubiriwa ya Euro 2020, Rais wa Shirikisho Soka la  Ulaya,...

READ MORE

Simba vs Coastal…Rekodi Mpya Inawekwa

REKODI mpya inakwenda kuwekwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar pindi Simba itakapoikaribisha Coastal Union ukiwa ni mchezo wa...

READ MORE

Malkia Aitakia Heri England

KIKOSI cha Kocha Gareth Southgate cha England kimepokea ujumbe kutoka kwa Malkia Elizabeth II kabla ya Fainali ya Euro 2020...

READ MORE

Morrison Aondolewa Kikosini Simba

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, ameondolewa kwenye kikosi cha timu hiyo kufuatia kuwa na matatizo ya kifamilia.   Morrison...

READ MORE

Raja Casablanca Yatwaa Kombe la Shirikisho

KLABUya Raja Casablanca ya nchini Morocco, imetwaa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JS...

READ MORE

Argentina Yachukua Ubingwa Copa America

TIMU ya taifa ya Argentina imetwaa taji la Copa America baada ya ushindi wa bao 1-0 mbele ya Brazil katika...

READ MORE

Yanga Mpya, Mtapigwa Sana!

KAMA mlikuwa mnadhani usajili wa Shabani Djuma ndio usajili pekee wa Yanga msimu huu basi mtakuwa mmejidanganya, unaambiwa Yanga itafanya...

READ MORE

Simba Yalificha Jembe Jipya Dar

BAADA ya kumalizana na kipa wa Tanzania Prisons, Jeremiah Kisubi, inaelezwa kuwa uongozi wa Klabu ya Simba umemficha kipa huyo...

READ MORE

Yanga Nyodo Tupu, Waipiga Kijembe Simba SC

YANGA ni kama imewapiga kijembe watani wao Simba, ni baada ya kutamka kuwa thamani ya klabu hiyo ni kuanzia Sh...

READ MORE

Colombia Mshindi wa Tatu Copa America

MCHEZO wa kumtafuta mshindi wa tatu wa Michuano ya Copa America 2021 uliopigwa kwenye Uwanja Estadio Nacional de Brasilia nchini...

READ MORE

Nabi Atoa Masharti Mazito Usajili Yanga

KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Nasreddine Nabi ameuambia uongozi wa timu hiyo kuwa, hataki kuona wakirudia makosa waliyofanya misimu...

READ MORE

Mabosi Yanga Wajifungia Kumhoji Metacha Mnata

HATMA ya kipa wa Yanga, Metacha Mnata, inatarajiwa kujulikana leo mara baada ya Kamati ya Nidhamu ya timu hiyo kukutana...

READ MORE

Diego Simeone Mitatu Tena Atletico Madrid

KOCHA wa klabu ya Atletico Madrid ya Hispania, Diego Simeone amesaini kandarasi ya miaka mitatu kuendelea kukinoa kikosi hicho chenye...

READ MORE

Mzee Mpili Augua Ghafla Dar

HAJI Omari ‘Mzee Mpili’ amezua hali ya sintofahamu, baada ya kuugua ghafla ugonjwa wa kifua.Mzee Mpili aliugua ghafla juzi Jumatano...

READ MORE