×

Michezo

Mchezo wa Ngao ya Jamii 2026 Kupigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika...

READ MORE

Ulaya Yatishia Kususia Kombe la Dunia Endapo FIFA Itauza Hisa za Mashindano kwa Wawekezaji

Mashirikisho yote 55 ya soka barani Ulaya yamepiga kura ya kukubaliana kususia mashindano ya Kombe la Dunia iwapo Shirikisho la...

READ MORE

Mjukuu wa Idi Amin Aondolewa kwenye Mashindano ya Ndondi ya Jumuiya ya Madola

Glasgow, Scotland – Safari ya bondia wa Uganda, Aziz Abdul, mjukuu wa aliyekuwa rais wa Uganda Idi Amin, ya kuwania...

READ MORE

Infantino Atingisha Soka la Dunia, UEFA Yatoa Onyo Kali Kuhusu Kombe la Dunia

Mvutano mkubwa umeibuka ndani ya Shirikisho la Soka Duniani baada ya taarifa kudai kuwa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anapanga...

READ MORE

Yanga Yaweka Kambi ya Hatari Avic Town, Wachezaji Wapya Wang’ara

Kikosi cha Yanga kinaendelea na maandalizi makali ya msimu mpya katika kambi ya Avic Town, Kigamboni, Dar es Salaam, huku...

READ MORE

Liverpool Wafikia Makubaliano ya Awali na Bradley Barcola

Liverpool wanadaiwa kufikia makubaliano ya awali (agreement in principle) na winga wa Bradley Barcola kuhusu uhamisho wa majira haya ya...

READ MORE

Usiku wa Maamuzi! Fenerbahçe na Kairat Wapigania Tiketi Ulaya

Ni siku nyingine tena ya kushuhudia miamba kibao ikishuka dimbani leo kusaka nafasi ya kushiriki michuano mikubwa ya Ulaya. Je...

READ MORE

Yanga Yamweka Depu Sokoni, Shalulile Atajwa Kuchukua Nafasi Yake

Tetesi za usajili zinaendelea kushika kasi zikidai kuwa Klabu ya Yanga inafikiria kumuuza mshambuliaji wake, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depu’,...

READ MORE

Shigongo Cup 2026 Kuanza Rasmi Leo Buchosa, Iligamba vs Kanyala Kufungua Pazia, Ratiba Ipo Hapa

Mashindano ya Shigongo Cup 2026 yanatarajiwa kuanza rasmi leo, Jumatano Julai 29, 2026, kwa mchezo wa ufunguzi utakaowakutanisha Iligamba FC...

READ MORE

FIFA Yajitetea Baada ya Lawama za Kombe la Dunia, Infantino Awashukia Wakosoaji

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amewashukia wakosoaji wa Kombe la Dunia akisema baadhi yao walikuwa wakieneza...

READ MORE

Ali Kamwe Afichua Siri ya Usajili wa Yanga Atamba na Shalulile, Toure na Okello – Video

Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umeweka wazi mipango mikubwa kuelekea msimu mpya, huku ikielezwa kuwa mfadhili wa klabu hiyo,...

READ MORE

LeBron James Atikisa NBA, Philadelphia 76ers Wathibitisha Kusajili

Philadelphia 76ers wamethibitisha kumsajili nyota wa NBA, LeBron James, ambaye amesema huu utakuwa mkataba wake wa mwisho katika ligi hiyo....

READ MORE

Fahamu Safari ya Peter Shalulile wa Yanga Kutoka Namibia na Mamelodi

Peter Shalulile ni mshambuliaji kutoka Namibia aliyezaliwa Oktoba 23, 1993 huko Windhoek. Anajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao,...

READ MORE

Atletico Madrid Yakamilisha Usajili wa Lee Kang-in kutoka PSG

Klabu ya Atletico Madrid imetangaza kumsajili kiungo wa kimataifa wa Korea Kusini, Lee Kang-in, kutoka Paris Saint-Germain (PSG) kwa mkataba...

READ MORE

Arafat Haji Awatuliza Wananchi Kuhusu Ujenzi wa Uwanja wa Yanga Jangwani

Makamu wa Rais wa Young Africans (Yanga SC), Arafat Haji, amewatoa hofu mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kuhusu maendeleo...

READ MORE

Peter Shalulile Atua Yanga Baada ya Kuondoka Mamelodi Sundowns

Yanga SC imemtambulisha mshambuliaji Peter Shalulile (32) raia wa Namibia kuwa mchezaji wake mpya, akijiunga na klabu hiyo kwa uhamisho...

READ MORE

Beti Leo na Early Payout ya Meridianbet, Lipwa Kabla ya Filimbi ya Mwisho

Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako...

READ MORE

Tetesi za Usajili: Arsenal Yamwania Vinicius Jr, Salah, Zirkzee na Savinho Wabadilisha Mwelekeo

Vilabu vikubwa barani Ulaya vinaendelea kujipanga kuelekea msimu mpya huku tetesi za usajili zikizidi kushika kasi. Arsenal na Liverpool zimeonyesha...

READ MORE

Shinda Simu Mpya Kabisa ya Samsung Galaxy A26 na Meridianbet

Je, uko tayari kwa burudani na zawadi kemkem? Meridianbet inakuletea sababu ya kubashiri kupitia promosheni kabambe. Watumiaji wote walio jisajili...

READ MORE

Joshua Aibuka Shujaa, Amwangusha Prenga Baada ya Kuanza Vibaya

Bingwa wa zamani wa dunia mara mbili katika uzani wa juu, Anthony Joshua, alionyesha moyo wa kipekee baada ya kuinuka...

READ MORE

Bayern Munich Kuanza Vita vya Msimu Mpya Dhidi ya Wehen Wiesbaden

Mechi hii ina umuhimu maalum kwa mwenyeji SV Wehen Wiesbaden, kwani inafanyika kama sehemu ya sherehe za miaka 100 ya...

READ MORE

Harusi ya Kipa wa Man City Yatikisa Italia, Haaland na Guardiola Waonekana

Kipa wa Manchester City na nahodha wa timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, amefunga ndoa na mpenzi wake wa...

READ MORE

Yanga Yawasha Moto Sokoni, Yawatambulisha Touré, Zakouani na Kangwanda

Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu wa 2026/27 kwa kutambulisha rasmi wachezaji watatu wapya wenye...

READ MORE

Injinia Hersi: Yanga Imeandika Historia ya Mafanikio Msimu wa 2025/26

Rais wa Young Africans SC (Yanga), Injinia Hersi Said, amesema msimu wa 2025/26 umekuwa wa mafanikio makubwa kwa klabu hiyo...

READ MORE

Jurgen Klopp Ateuliwa Kuwa Kocha Mpya Wa Timu Ya Taifa Ya Ujerumani

Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB) limemtangaza rasmi Jurgen Klopp kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo,...

READ MORE

Meridianbet Kusherehekea Miaka 25 kwa Udhamini wa UFC Fight Night Belgrade

Ni sherehe ya kipekee, Meridianbet, kampuni kubwa ya ubashiri, imeamua kusherehekea miaka 25 ya mafanikio yake kwa staili ya tofauti,...

READ MORE

Go for Gold: Tanzania’s Commonwealth Squad Sent Off with Medal Mandate

Government Charges Team Tanzania to Make Podium Dreams Reality in Glasgow The road to the 2026 Commonwealth Games officially begins...

READ MORE

Barcelona Yaendelea na Maandalizi Kukiwasha Dhidi ya CE Europa

Ijumaa hii, Julai 24, klabu ndogo ya CE Europa itapata heshima kubwa ya kucheza dhidi ya mabingwa wa Ulaya, FC...

READ MORE

Barcelona Yamtambulisha Karim Adeyemi Kuziba Pengo la Lewandowski

Mabingwa wa Ligi Kuu Hispania, Barcelona, wamemtangaza rasmi mshambuliaji Karim Adeyemi baada ya kumsajili kutoka Borussia Dortmund kwa mkataba wa...

READ MORE

Otamendi Atangaza Kustaafu Soka la Kimataifa Baada ya Miaka 17

Nahodha wa safu ya ulinzi ya Argentina, Nicolas Otamendi, ametangaza kustaafu kuchezea timu ya taifa, akihitimisha safari ya miaka 17...

READ MORE

Kocha Mpya wa Yanga, Manqoba Mngqithi Aanza Kazi

Kocha mpya wa klabu ya Young Africans (Yanga SC), Manqoba Mngqithi, leo Julai 23, 2026 ameanza rasmi majukumu yake ya...

READ MORE

Dynamo Kyiv dhidi ya PAOK FC: Mechi ya Kufuzu Europa League Kupigwa Leo

Mbali na takwimu za kawaida za mechi, kuna hadithi ya kuvutia inayozunguka mchezo wa leo kati ya Dynamo Kyiv na...

READ MORE

Inter Miami Yamtambulisha Casemiro, Lakini Yakumbwa na Uchunguzi

Klabu ya Inter Miami imetangaza rasmi kumsajili kiungo mkongwe wa Brazil, Casemiro, kama mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United...

READ MORE

Simba Yapata Pigo, Kiongozi Iddi Kajuna Afariki Hospitali ya Muhimbili

Klabu ya Simba SC imetangaza kwa masikitiko kifo cha Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano, Iddi Kajuna, kilichotokea usiku wa...

READ MORE

Kipa wa Mexico Guillermo Ochoa Astaafu Soka Baada ya Miaka 22

Kipa maarufu wa Mexico, Guillermo Ochoa, ametangaza kustaafu soka la kulipwa baada ya kuweka historia ya zaidi ya miaka 22...

READ MORE

#BreakingNews: Wydad Yakanusha Taarifa za Simba Kuhusu Suleimani Mwalimu

Klabu ya Wydad Athletic Club ya Morocco leo Julai 22, 2026 imetoa taarifa rasmi ikikanusha madai yaliyotolewa na Simba SC...

READ MORE

Trnava Kukiwasha Dhidi ya CSKA 1948 Katika Vita vya Kufuzu Ulaya

Uwanja wa City Arena Štadión Antona Malatinského jijini Trnava, Slovakia, utakuwa jukwaa la mchezo mzito Jumatano hii, tarehe 22 Julai,...

READ MORE

Rodri Aongoza Orodha ya Viungo Bora wa Kati Duniani, Vitinha na Fabian Ruiz Wamfuata

Baada ya Kombe la Dunia 2026, ushindani wa nafasi ya kiungo bora wa kati duniani umeendelea kuwa mkali, huku mastaa...

READ MORE

Kombe la Dunia la Timu 64? Infantino Aweka Wazi Mwelekeo wa FIFA

Baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia la kwanza lenye timu 48, Rais wa FIFA Gianni Infantino amesema kuna uwezekano...

READ MORE

Mashabiki Milioni 1.8 Wamiminika Madrid Kumpongeza Hispania Baada ya Kutwaa Kombe la Dunia

Madrid, Hispania – Jiji la Madrid liligeuka kuwa bahari ya furaha baada ya takribani mashabiki milioni 1.8 kujitokeza kusherehekea ushindi...

READ MORE