×

Michezo

Tuzo ya Samatta kutikisa Dar Live, atungiwa wimbo maalum

KATIKA kutambua na kuheshimu mchango wa straika, Mbwana Samatta kwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji Wanaocheza...

READ MORE

Chanongo, Ubwa wakaribia kuula Mazembe

Omary Mdose,Dar es Salaam WATANZANIA Harun Chanongo na Abuu Ubwa, kesho Jumanne wanatarajia kurejea nchini kutoka DR Congo walipokwenda kufanya...

READ MORE

Mbwana Samatta alivyopokelewa leo jijini Dar

  Mwanasoka Bora wa Afrika, Mtanzania,  Mbwana Samatta akikatisha katika jiji la Dar leo kuanzia Hoteli ya Hyatt Regency Kempinsk...

READ MORE

Samatta apewa uraia wa DR Congo

Mtanzania Mbwana Samatta. Sweetbert Lukonge, Zanzibar GUMZO ni Mtanzania Mbwana Samatta kutwaa Tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika kwa wanaocheza...

READ MORE

Mbwana Samatta atua kwa kishindo Dar

Mshambuliaji Mbwana Ally Samatta wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe akionyesha tuzo yake  ya Mchezaji Bora anayecheza soka barani...

READ MORE

Mitandao yampa Samatta Uraia Congo, Wakati Marekani Ikimpa Uraia wa Tunisia

Mbwana Ally Samatta akikabidhiwa tuzo Ulivyoandika mtandao wa Wikipedia kuhusu uraia wa Samatta kabla ya kurekebisha Mtandao wa Wikipedia baada...

READ MORE

Ushindi wa Samatta… Rais Magufuli atoa ya Moyoni

Mbwana Samatta (kulia) na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye. Jana Tanzania iliandika historia katika medali ya soka Afrika na...

READ MORE

Breaking News: Samatta Mchezaji Bora Afrika 2015

Mshambuliaji Mbwana Ally Samatta wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ameshinda Tuzo ya Mchezaji bora anayecheza soka barani Afrika...

READ MORE

Tunamtakia Kila la Heri Mbwana Samatta Kwenye Utoaji tuzo leo Nigeria

Mbwana Samatta Muda huu tunahesabu saa chache kuelekea tukio la utoaji wa Tuzo za Mwanasoka Bora wa Afrika kwa mwaka...

READ MORE

Kaijage Aachia Ngazi Ukocha Twiga Stars

Twiga Stars KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake ya Mpira wa Miguu (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amejiuzulu nafasi...

READ MORE

Drogba Kutundika Daruga Mapema Ili Kuinusuru Chelsea?

Didier Drogba akiwa na Guus Hiddink Kwenye Uwanja wa Stamford Bridge Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya...

READ MORE

Kerr amshtaki Kiongera Simba

Sweetbert Lukonge, Zanzibar JUZI Jumatatu timu ya Simba iliponea chupuchupu kupoteza mechi yake ya kwanza katika michuano ya Kombe la...

READ MORE

Bosou aipa Yanga sare

Sweetbert  Lukonge, Zanzibar AZAM FC imejiweka katika nafasi ngumu ya kusonga mbele katika michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya...

READ MORE

Kocha Azam amshangaa Samatta

Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall. Sweetbert Lukonge, Zanzibar KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amemshangaa mshambuliaji wa...

READ MORE

Elias Maguri alia na kusimama Ligi Kuu Bara

Mshambuliaji wa Stand United, Elias Maguri. Khadija Mngwai,Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri, amefunguka kwa kusema kuwa...

READ MORE

Kerr : Mabeki wangu hawana uzoefu

Kocha  Wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr. Omary Mdose,Dar es Salaam KOCHA Wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amewakingia kifua mabeki wake...

READ MORE

Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria

Mbwana Samatta Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji...

READ MORE

Benitez atimuliwa Madrid… Mikoba yake akabidhiwa Zidane

Safari ya Real Madrid na kocha Rafa Benitez imefikia ukingoni baada ya kutimuliwa leo. Gwiji la timu hiyo, Zinedine Zidane...

READ MORE

Twite apewa cheo kipya Yanga

Kiungo wa Yanga Mbuyu Twite. Hans Mloli,Dar es Salaam UONGOZI wa benchi la ufundi la Yanga umempa cheo cha unahodha,...

READ MORE

Kerr amtoa Angban kikosini Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr. Omary Mdose na Said Ally KOCHA Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amesema...

READ MORE

Hall alia na kiwango cha Wawa

Stewart Hall. Na Mwandishi Wetu WAKATI kikosi cha Azam FC kikimkosa beki wake Aggrey Morris, kocha mkuu wa timu hiyo...

READ MORE

Manchester United ilivyoichakaza Swansea 2-1

Kiungo wa Man United, Juan Mata akipiga shuti mbele ya beki wa Swansea katika mchezo uliopigwa jana kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Yanga SC hii, ubingwa lazima

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia. Khadija Mngwai, Dar es Salaam YANGA imeondoka jana saa 4:00 asubuhi kwenda Zanzibar tayari...

READ MORE

Ngoma amtumia Kaseke kumtengenezea mabao

Mshambuliaji tegemeo wa Yanga, Donald Ngoma. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KATIKA kuhakikisha anaendelea na kasi yake ya kupachika mabao,...

READ MORE

Mazembe yampa Samatta ulaji mwingine

Mchezaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam MAMBO yanazidi kunoga kwani TP Mazembe sasa inataka kumuuza...

READ MORE

Dili la SamattaKusajiliwa Ubelgiji latiwa dosari

Kazi sasa, mambo yanazidi kuonekana magumu baada ya klabu ya TP Mazembe kusema ingependa kuona mshambuliaji Mbwana Samatta anajiunga na...

READ MORE

Serikali yampongeza Mbwana Samatta kwa kujiunga na Genk ya Ubelgiji

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto) akiongea na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta...

READ MORE

Rekodi ya Kamusoko iliyomtoa Haruna Niyonzima

Kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko. Mohammed Mdose, Dar es Salaam MABAO ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, yamekuwa...

READ MORE

Kerr: Mleteni tu Kopunovic sina hofu

Kocha mkuu wa Simba, Dylan Kerr. Said Ally na Omary Mdose KOCHA mkuu wa Simba, Dylan Kerr, licha ya kuwepo...

READ MORE

Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola

Sergi Guardiola. Barcelona, Hispania KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji...

READ MORE

Man Utd, Chelsea hakuna mbabe

 Nemanja Matic baada ya kukosa bao la wazi kipindi cha pili. Mchezaji kiungo wa  Manchester United, Ander Herreram akimuangalia kipa...

READ MORE

Arsenal yaongoza Ligi, yaichapa Bournemouth

Mshambuliaji wa Arsenal, Mesut Ozil,  akifunga bao la pili katika dakika ya  63 dhidi ya Bournemouth Uwanja wa Emirates, London....

READ MORE

Yanga yavunja mkataba na Niyonzima

Haruna Niyonzima. Klaubu ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa kutoka nchini Rwanda Haruna Niyonzima kutokana na...

READ MORE

Pluijm: Mchezaji bora alikuwa Kaseja

Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Nicodemus Jonas,Dar es Salaam PAMOJA na kuruhusu mabao matatu katika kichapo cha mabao...

READ MORE

Maguri ndiyo basi tena Stand United

Mshambuliaji wa Stand United ya Shinyanga, Elias Maguri. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam ambaye hivi karibuni alikuwa msaada mkubwa kwa...

READ MORE

Kichwa cha Tambwe ni nonma

Straika wa Yanga, Amissi Tambwe. Sweebert Lukonge,Dar es Salaam STRAIKA wa Yanga, Amissi Tambwe ni hatari kwa kufunga kwa kichwa,...

READ MORE