×

Michezo

Nyota Waliufunga Mwaka Kwa Kishindo Baada ya Kufanya Vizuri Ligi Kuu

SIKU TATU tayari zimeshameguka tangu ulipoingia mwaka 2023, lakini bado stori za mwaka 2022 zinaendelea kubamba sehemu mbalimbali. Kwenye Ligi...

READ MORE

Djigui Diarra Bado Yupo Sana kwa Wananchi Aongeza Mkataba Mpaka 2024/25

GOLIKIPA bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu uliopita, Djigui Diarra bado yupo sana kwa Wananchi. Hii inakuja baada ya...

READ MORE

Visu Vipya Vya Yanga Hadharani Mapinduzi Cup, Luis Miquissone na Bobosi Watajwa

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utatambulisha majembe mawili mapya kabla ya mchezo wao wa kwanza wa michuano ya Kombe...

READ MORE

Moses Phiri Ajiondoa Simba, Arejea Zambia Kukosekana Mapinduzi Cup

WAKATI wachezaji wa Simba wakiwa wanajiandaa kwa ajili ya kuelekea Zanzibar kushiriki Mapinduzi Cup imebainika kuwa straika wa timu hiyo,...

READ MORE

Feisal Salum Atimkia Dubai Baada ya Kuaga Yanga, Ataja Majukumu Yake Mapya

KIUNGO Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye hivi karibuni aliaga ndani ya kikosi cha Yanga alichokitumikia kwa miaka minne, ameondoka nchini...

READ MORE

Happy New Year Wananchi… Waibuka na Ushindi Dhidi ya Mtibwa Sugar, Aziz Ki Atupia

WANANCHIIIII… Happy New Year 2023. Mashabiki wa Yanga SC, wamepewa zawadi ya mwaka mpya na timu yao baada ya jana...

READ MORE

Brazil Yatangaza siku Tatu za Maombolezo Kufuatia Kufariki kwa Pele

  Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya Brazil uwanja ambao nguli wa soka wa Brazil Pelé alicheza baadhi ya...

READ MORE

Kama Noma na Iwe Noma! Azam FC Watuma Maombi Yanga Kumsajili Mayele, Bangala

KAMA noma na iwe noma! Ndivyo utakavyoweza kusema ni baada ya uongozi wa Azam FC kuwaandikia barua Yanga ikiwaomba kukamilisha...

READ MORE

Saido Ntibazonkiza Kukiwasha Dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Mkapa, Dar

KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ameweka wazi huenda akamtumia mchezaji wake mpya, Saido Ntibazonkiza katika mchezo wa leo Ijumaa...

READ MORE

Ligi imechanganya, Mechi kali za funga mwaka 2022 zenye Odds kubwa na Machaguo Kibao Meridianbet

Ligi nyingi zimerejea na mzuka wa kutosha mtu wangu, ni EPL, La Liga na Ligue 1 huku zikisindikizwa na michezo...

READ MORE

Feisal Salum Anaswa Akichezea Mechi JKU Atupia Kambani, Hayupo Kambini Yanga

Kiungo wa Yanga Feisal Salum Abdallah (Fei toto) asubuhi ya leo Alhamis Disemba 29, 2022 ameichezea Timu yake ya zamani...

READ MORE

Mido AS Vita Akubali Kujiunga na Klabu ya Yanga, Azungumza na Championi

KIUNGO wa kimataifa wa Togo anayekipiga katika Klabu ya AS Vita, Marouf Tshekai ni kama amekubali kujiunga na klabu ya...

READ MORE

Beno Kakolanya Atajwa Azam FC Wadaiwa Kuwa Kwenye Mazungumzo ya Kimyakimya

IMEFAHAMIKA kuwa, Azam FC, imeanza mazungumzo ya kimyakimya kwa ajili ya kuipata saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno...

READ MORE

Karibu Kwenye Familia Ya Kibingwa Ya Meridianbet Ufurahie Sloti Ya Bursting Hot 5

Sloti ya Bursting Hot 5 Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako...

READ MORE

Vigogo wa RS Berkane Wamfuata Aziz Ki Yanga Kukamilisha Usajili Kwenda Morocco

IMEFAHAMIKA kuwa matajiri wa Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco wamefunga safari na kuja nchini kwa ajili ya kuanza...

READ MORE

Azam FC V Yanga… Ilikuwa Ajenda Ya Siri Kwenye Kufungua Zawadi

ILE ajenda ya siri iliyokuwa ikisubiriwa kwenye kufungua zawadi za Christmas kati ya Azam FC na Yanga, iligota ukingoni baada ya...

READ MORE

Lionel Messi Akubali Kuongeza Mkataba PSG Baada ya Ubingwa wa Kombe la Dunia

  NAHODHA wa Argentina, Lionel Messi amefikia makubaliano binafasi ya kuongeza mkataba wa kuendelea kubakia Paris St-Germain, kwa mujibu wa...

READ MORE

Mabosi Yanga Washusha Mbadala Wa Fei Toto, Fundi wa Kupiga Mashuti nje ya Boksi

TAARIFA kutoka DR Congo zinaeleza kuwa Klabu ya Yanga ipo katika mazungumzo na Klabu ya AS Vita kwa ajili ya...

READ MORE

Azam Wafunguka Ishu Ya Fei Toto Watamba “Muda ndiyo utakaoongea” – Video

BAADA ya Azam FC kuhusishwa na dili la kiungo wa Yanga SC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Kaimu Ofisa Habari wa...

READ MORE

Epl Kutimua Vumbi Kuanzia Leo Boxing Day, Odds Ni Bombaa! Meridianbet

Wakati ukimalizia kula nyama na pilau la sikukuu ya Krismasi, itakuwa siku nzuri sana kwako mpenzi wa soka pale ambapo...

READ MORE

Azam FC dhidi ya Yanga SC Kitawaka Leo Sikukuu ya Krismasi Uwanja wa Mkapa

HERI ya Sikukuu ya Krismasi kwako msomami wa Spoti Xtra, leo Jumapili, wakati unasherehea sikukuu hiyo, utapata burudani tosha kutoka...

READ MORE

Mshambuliaji Moses Phiri Aibua Matumaini Simba Baada ya Kupata Majeraha

BAADA ya kupata majeraha ya mguu wa kulia kwenye mchezo uliopita dhidi ya Kagera Sugar kiungo mshambuliaji wa Simba Moses...

READ MORE

Feisal Salum ‘Fei Toto’ Awaaga Rasmi Mashabiki, Yanga Yaweka Ngumu

NYOTA wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amewaaga rasmi mashabiki wa timu hiyo huku ikielezwa anajiunga na Azam FC. Kupitia...

READ MORE

Yanga Yarudisha Milioni 112 Za Fei Toto Yajibu “Barua ya Mchezaji ina Dhana Potofu”

WAKATI taarifa zikieleza kwamba Kiungo wa Yanga, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ ameandika barua ya kuvunja mkataba wake wa mwaka...

READ MORE

Balaa, Manzoki Aumia China Akataa Kufanyiwa Upasuaji Kisa Kipo Hapa

WAKATI matumaini makubwa ya kumalizana na mshambuliaji wa Dalian Profesional ya China, taarifa zinasema ameumia na inatakiwa afanyiwe upasuaji. Taarifa...

READ MORE

Mil 350 Zamshusha Pacha Wa Phiri Simba Kutoka Power Dynamo ya nchini Zambia

SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini...

READ MORE

Kombe La Dunia 2022: Fifa Inachunguza Salt Bae ‘Alivyofika Uwanjani’ Baada Ya Fainali

FIFA inachunguza jinsi mpishi maarufu Salt Bae na watu wengine kadhaa walipata “nafasi isiofaa” kufika uwanjani mwishoni mwa fainali ya...

READ MORE

Ntibazonkiza ‘Saido’ Apitishwa Simba Kutoka Geita Gold Msemaji wa Simba Afunguka

MTAALAMU wa mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Geita Gold, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, amekubalika ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa...

READ MORE

Kariakoo Women Dabi Kinawaka leo Alhamisi Kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar

VITA ya Dabi ya Kariakoo kwa timu za Wanawake, Simba Queens na Yanga Princess, inaunguruma leo Alhamisi kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Argentina Yafikiria Kuweza Sura ya Mshambuliaji Lionel Messi Kwenye Noti za Nchi

Argentina inafikiria kuweza sura ya mshambuliaji Lionel Messi kwenye noti za Nchi hiyo baada ya mshindi huyo mara 7 wa...

READ MORE

Kwa Kasi ya Yanga… Simba Wajipange Ligi Kuu Bara, Wabanwa Kaitaba na Kagera

MPANGO wa kutofungwa mchezo wake wa 11 kwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula, ulikwama mbele ya Kagera Sugar...

READ MORE

Hesabu za Simba Kitaifa na Kimataifa ni Balaa Baada ya Kupoteza Ngao ya Jamii

MAUMIVU ya kukosa mataji kwa mabosi wa Simba SC, bado yanaishi mioyoni mwao, jambo linalowapa hasira kupambana kwa hali na...

READ MORE

Cheza Kibingwa Na Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet! Cheza Ushinde Na Deuces Wild Poker

Usisubiri kuhadithiwa! Jiunge na Meridianbet sasa ili uweze kupata bonasi na promosheni kibao katika michezo mingi. Kila wiki, Meridianbetinakuletea bonasi...

READ MORE

Maelfu ya Mashabiki wa Argentina Wakusanyika Buenos Aires Kukaribisha Washindi wa Kombe la Dunia

Maelfu ya wakazi wa Argentina Jumanne wamemiminika kwenye barabara za mji mkuu wa Buenos Aires, ili kuishangilia timu yao iliyochukua...

READ MORE

Yanga Yambakisha Dickson Job, Apewa Mkataba Mnono Kisa Kocha wa Simba

IMEFAHAMIKA kuwa, Yanga imefanikisha mpango wa kumbakisha beki wake tegemeo hivi sasa katika kikosi cha timu hiyo chini ya Kocha...

READ MORE

Yanga, Coastal Union Jasho Litamwagika leo Jumanne Kwenye Uwanja wa Mkapa

LEO Jumanne kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, wanaume 22 watavuja jasho katika msako wa pointi tatu kati ya vinara wa...

READ MORE

Pata Utamu Wa Carabao Cup Ukiwa Na Odds Bomba Kutoka Meridianbet

Hadithi nzuri na za kusisimua kuhusu Kombe la dunia zimefungwa rasmi, na sasa burudani iko pale pale hakuna kulala, tunahamia...

READ MORE

Timu ya Taifa ya France Yawasili jijini Paris Ikitokea Qatar Yapokelewa Kishujaa

Timu ya taifa ya France imewasili salama jijini Paris ikitokea Qatar na kupokelewa kishujaa na wafanyakazi wa uwanja wa Ndege...

READ MORE

Yanga Waipa Azam Bei Ya Fei Toto… Hassan Bumbuli Atoa Kauli za Kibabe – Video

KUFUATIA Klabu ya Azam FC kutajwa kuwa mabosi wa timu hiyo wanaiwinda saini ya kiungo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei...

READ MORE

Chama Cha Wasioona Tanzania Waneemeka Na Msaada Kutoka Meridianbet

Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) kwa furaha kubwa wamepokea msaada wa fimbo za kutembelea “White canes” kutoka Meridianbet Tanzania ikiwa...

READ MORE