×

Risasi

LULU DIVA ADAIWA KUTOKA NA BILL NAS

HITMAKER wa Ngoma ya Ona, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ anadaiwa kutoka kimapenzi na msanii mwenzake, William Lyimo ‘Bill Nas’. Kwa...

READ MORE

MASTAA HAWA …‘WAMEROGWA NA NANI ?’

MIAKA ya nyuma kujihusisha na muziki tu hasa huu wa Bongo Fleva, ilikuwa inaonekana ni uhuni pamoja na kukiuka maadili...

READ MORE

BIBI HARUSI AFARIKI DUNIA GHAFLA!

DAR ES SALAAM: “Mamaaa….Mirabel umeondoka mamaaaa, umetuachaaa….ndoa yako imeyeyuka Mirabel, tangulia Mirabel, tangulia rafiki, uuuuwiiii…” Hayo ni maneno ya simanzi...

READ MORE

MAZISHI YA MKE,MUME WALIOJIUA KWA MOTO JIPYA LAIBUKA

KIBAHA: Wakati tukio la mume, Hussein Zaid (58) na mke wake mdogo, Zainabu Juma (42) wakazi wa Mtaa wa Kilimahewa,...

READ MORE

Meneja Apata Kigugumizi Afya ya Wema

DAR ES SALAAM: SIKU chache baada ya video inayomuonesha ‘sweetheart wa Tanzania’ Wema Sepetu akiwa hospitali kusambaa mitandaoni na kuzua...

READ MORE

ZAMARADI: Nitazaa Kama Wazee wa Zamani

MKURUGENZI wa Vipindi wa Televisheni ya Wasafi, Zamaradi Mketema ambaye alijizolea umaarufu kupitia Kipindi cha Take One kilichokuwa kikioneshwa kupitia...

READ MORE

Sabby Angel Adaiwa Kufichwa Kenya

MREMBO ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’, anadaiwa kufichwa nchini Kenya na mwanamuziki anayekimbiza kwenye...

READ MORE

AFYA YA LISSU GUMZO 2020!

MIONGONI mwa matukio yaliyozungumzwa sana tangu mwishoni mwa mwaka 2017 mpaka sasa ni kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki,...

READ MORE

TIFFAH WA ZARI AITIKISA DUNIA

DAR ES SALAAM: Ametisha sana! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mtoto wa mjasiriamali mashuhuri Afrika Mashariki, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss...

READ MORE

He! Isabella Naye Kapewa Mjengo

STORI za kupang­ishiwa nyumba za kishua zimezidi kwa mastaa, weka kando ya Hamisa Mobeto, sasa hivi ni msanii wa muziki...

READ MORE

WOLPER Afunguka Skendo ya Kutoka na Mr. Nice

BAADA ya kuonekana akila bata nchini Kenya na mwanamuziki Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ na kuibuka kwa madai kwamba wanatoka kimapenzi,...

READ MORE

Dude Awawakia Wanaomshambulia

STAA wa Filamu za Kibon­go, Kulwa Kikumba ‘Dude’ inaonekana aliwakera baadhi ya watu baada ya kutupia picha akiwa anasali na...

READ MORE

Chid Benz; Mtazame Ray C, Halafu Jifunze Sasa!

KWAKO mkali wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’. Habari za siku, mishemishe zinakwendaje? Binafsi mimi sijambo, naendelea na mapambano...

READ MORE

Kendrick Lamar, Davido Walivyotisha Tuzo za BET 2018

JUZI usiku (Jumapili), ndani ya jengo la burudani la L.A Live, lililotulia pale kwenye Mtaa wa South Park, Downtown, Los...

READ MORE

CHIMBO LA UFUSKA LA MASTAA LAIBULIWA

KITENGO Maalum cha Kufichua Maovu cha Global Publishers (OFM) hivi karibuni kimebaini chimbo ambalo mastaa kibao wa kike Bongo wamekuwa...

READ MORE

Mapadri Wafunguka Uteuzi wa Askofu Ruwaichi

MARA baada ya Baba Mtakatifu Francisco kumteua Askofu wa Jimbo Kuu la Mwanza,kuwa askofu mkuu mwandamizi mwenye haki ya kurithi...

READ MORE

Mobeto Abariki Ndoa ya Lulu

MWANAMITINDO maarufu Bongo, Hamisa Mobeto amebariki ndoa ya staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anayetarajiwa kuolewa hivi karibuni na...

READ MORE

Mr Blue: Diamond na Kiba Wana Vitu vya Ziada

Staa wa muziki wa Hip Hop Bongo, Kherry Sameer ‘Mr Blue’, ambaye yupo kwenye gemu tangu mwaka 1999, akiwa amefanikiwa...

READ MORE

Mbosso Awaka Kisa Video Zake za Matusi

HIVI karibuni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ilichafuka video mbalimbali ambazo zilikuwa zinamuonesha mwanamuziki ambaye yupo chini ya Lebo ya...

READ MORE

Walionaswa Vituo vya Masaji Watoa Ushuhuda Mzito!

  Kwa waliobahatika kusoma gazeti la jana la Uwazi, watakuwa wanaelewa nini tumeamua kukichimba na kukianika kwa manufaa ya taifa...

READ MORE

Aibu Yao Mameneja wa Wasanii Mateja

HIT mbili tu kwa msanii wa Bongo ni nongwa; mpigie simu sasa usikie majibu yake: “Mi siwezi kuzungumza kitu, mtafute...

READ MORE

MY GOD KUNA NINI JAMANI?

DAR ES SALAAM: My God (Mungu wangu) kuna nini? Ndivyo walivyozungumza kwa uchungu baadhi ya wakazi wa Mbeya baada ya...

READ MORE

Waliokula Nyama ya Kiboko Hatarini… Dokta Afunguka!

 MOROGORO: Ilikuwa ni patashika nguo kuchanika! Wananchi wa Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro mjini, wamekumbwa na taharuki baada ya...

READ MORE

Mabeste Aanika ‘Yaliyomo’ Kwenye Ndoa Yake

MWANAMUZIKI anayefahamika zaidi kwa jina la Mabeste, ambaye hivi karibuni aliachia Wimbo wa Sijui, amefunguka mengi muziki wake na chang-amoto...

READ MORE

Navy Kenzo Wafungukia Wimbo Wao Kubuma

MWANAMUZIKI kutoka Kundi la Navy Kenzo, Aika Mareale ‘Aika’, ameweka wazi kwamba tofauti na maoni ya wengi wimbo wao mpya...

READ MORE

Sasha Alia Kutishiwa Kuuawa!

VIDEO Queen mwenye figa matata Bongo, Sasha Kassim amelazimika kukimbilia katika kituo cha polisi cha Mtongani jijini Dar akidai kuwa,...

READ MORE

Shamsa: Mastaa Wandeleze Wema wa Mwezi Mtukufu

BAADA ya hivi karibuni wau­mini wa dini ya Kiislamu kumaliza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramad­hani, msanii wa filamu Bongo,...

READ MORE

Diamond Kupandishwa Mahakamani Tena

WAKATI sakata la matunzo ya mtoto kwa mzazi mwenza, Hamisa Mobeto likiwa limefifia, jingine limeibuka kwa staa wa Muziki wa...

READ MORE

PROFESSOR JAY KUIUNGANISHA KENYA, UGANDA

MBUNGE wa Jimbo la Mikumi, mkoani Morogoro, ambaye hujiita Mbunge wa Watu na Wanyama, Joseph Haule ‘Professor Jay’ au Mgodi...

READ MORE

KUSINIGHT: MASTAA 12 KUMSINDIKIZA HARMONIZE IDD DAR LIVE LEO

MASTAA 12 akiwemo Ben Pol, Nyandu Toz, Dulla Makabila, Rommy Jones, Huddah ‘The Boss Chick’ Chin Bees pamoja na Queen...

READ MORE

UWOYA: Wanaonichamba Kisa Dogo Janja ni Wivu tu

STAA wa Filamu za Kibongo, Irene Uwoya amedai kuwa watu wanaomchamba ‘kumsema vibaya’kuwa hakustahili kuolewa na mwanamuziki wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Neema Ndepanya ‘Awadis Wanaomchamba Wema!

MWANADADA Neema Ndepanya ambaye ni meneja wa msanii wa filamu mwenye jina kubwa Bongo, Wema Sepetu, amevunja ukimya juu ya...

READ MORE

Uzuri wa Gari Bovu Lipate Mteremko

YAANI shoga yangu leo nimekaa zaidi ya nusu saa natafakari meseji moja tu! Shoga hata kama wanawake tumeumbiwa mateso si...

READ MORE

ALIKIBA Msikilize Mzee wa Upako, Ana Hoja!

KWAKO mkali wa Bongo Fleva, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’. Mambo ni vipi? Uko poa? Unaendeleaje na mishe za kila siku?  ...

READ MORE

SHILOLE AAHIDI KUMFUATA MZEE YUSUF

YOTE yanawezekana ukiweka nia! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kauli aliyoitoa msanii wa muziki, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kuwa anatarajia kuachana...

READ MORE

Petit Man Awaka Ishu ya Mkewe Kutojua Kupika

MENEJA wa wanamuziki mbalimbali Bongo, Hamad Manungwa ‘Petit Man’ amewakia madai ya kwamba mkewe Asma Khan ‘Esma Platnumz’ hajui kupika...

READ MORE

Lynn: Kuolewa na Diamond Wala Sina Papara

VIDEO Queen Irene Charles ‘Lynn’ ambaye aliwahi kudaiwa kutoka kimapenzi na msanii wa muziki Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amesema ametulia...

READ MORE

Msaga Sumu, Man Fongo Jukwaa Moja IDD EL FITR

WAKALI wawili wasioshikika kunako gemu ya Muziki wa Singeli, Man Fongo na Msaga Sumu wanatarajiwa kukutana jukwaa moja kwa mara...

READ MORE

Wosia wa Maria, Consolata Waliza Wengi!

KILA nafsi itaonja umauti, tuwaombeeni Maria na Consolata walale mahali pema peponi! Hicho ndicho kinachosemwa na kila aliyewafahamu pacha walioungana...

READ MORE

Rosa Ree na Siri ya Kuzidi Kutusua

MWANADADA ambaye hivi sasa anakimbiza na wimbo wake wa Way Up, Rosary Robert ‘Rosa Ree’, ametoboa siri nyingine ya kuzidi...

READ MORE