×

Spoti Xtra

Huyu Makambo wa Yanga Ni Noma

MASHABIKI wa Yanga hawajabahatika kuona mavitu ya straika wao mpya, Heritier Makambo lakini Juma Abdul na Amissi Tambwe wamewahakikishia jamaa...

READ MORE

Yondani Nje, Makambo, Kaseke Ndani leo

BEKI aliyesainishwa na Yanga dakika za mwisho za usajili, Kelvin Yondani hatacheza leo dhidi ya Gormahia kwenye mechi ya Kombe...

READ MORE

Kagere Ampa Akili Bocco, Ajiongezea Dozi

UJIO wa straika Mnyarwanda, Meddie Kagere Simba umemfanya nahodha na mshambuliaji wa Simba, John Bocco aongeze dozi ya mazoezi ambayo...

READ MORE

Okwi Aanze Na Kagere

LAUDIT Mavugo ambaye msimu uliopita aliichezea Simba, amepata taarifa kuwa timu hiyo imemsajili Meddie Kagere hivyo kwa hali ilivyo ni...

READ MORE

Yanga Wagomea Mazoezi, Kocha Afunguka

MJUMBE wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Khalfan Kigwenembe amejiuzulu nafasi yake kutokana na mwenendo mbovu wa timu lakini na...

READ MORE

Musonye Aigwaya Yanga, Aifungia Gormahia

CECAFA imegwaya kuiadhibu Yanga na ikaishia kuitupia mpira TFF, huku ikiwafungia Gormahia miaka miwili kushiriki mashindano ya Kagame baada ya...

READ MORE

Kagere: Wakija Okwi, Bocco Mtapata Taabu Sana

STRAIKA aliyeng’ara na Simba kwenye Kagame, Meddie Kagere amesema kwamba endapo wachezaji walioko likizo wakirejea kwenye timu hiyo akiwemo Emmanuel...

READ MORE

MO Jeuriii! Simba Kupiga Kambi Nzito Uturuki

MICHUANO ya Kagame ikimalizika tu, Simba wanakwea pipa kwenda Uturuki kambini kutuliza akili kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu...

READ MORE

SINGIDA YAMSHTUA KAGERE ATAKIWA KUJIONGEZA

MEDDIE Kagere ambaye mashabiki wa Gormahia wakisikia jina lake wanashtuka, ameangalia kiwango cha Singida United akasisitiza kwamba anahitaji kujiongeza msimu...

READ MORE

Heh! Manji Anamjua Kocha Mpya Simba

USIDHANI kwamba Bilionea, Yusuf Manji hajui kinachoendelea Simba. Anamjua mpaka Mbelgiji, Patrick Aussems aliyeko Dar es Salaam kwa mazungumzo na...

READ MORE

Dilunga Achekelea Ofa ya Yanga

KIUNGO aliyewahi kupigwa chini na Yanga kwa madai kwamba amechuja, akatua Mtibwa Sugar na kung’ara, Hassan Dilunga yuko tayari kurudi...

READ MORE

Wawa: Subirini Muone Moto Wangu

BEKI mpya wa Simba, Pascal Wawa ameweka wazi licha ya kudaiwa ni mhenga kwake haiwezi kumsumbua kwani amejipanga kutumia uzoefu...

READ MORE

WAMENYOOSHWAA! MESSI, RONALDO WOTE NJE

MASTAA wa dunia, Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wametupwa nje ya Fainali za Kombe la Dunia baada ya timu zao...

READ MORE

Pikipiki ya Kwanza Global Kuondoka Leo

LEO ndiyo leo kwani msomaji mmoja wa Magazeti ya Global Publishers anatarajiwa kujishindia zawadi ya pikipiki ikiwa ni moja kati...

READ MORE

Ulimwengu Amtolea Nje MO Simba

BAADA ya mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ kudai alipanga kumsajili straika, Thomas Ulimwengu mwenyewe ameibuka na kusema hakuwa na...

READ MORE

Ndemla: Nasaini Yanga Mazembe

KIUNGO fundi anayesugua benchi Simba, Said Hamisi Ndemla juzi usiku alikutana na Yanga jijini Dar es Salaam na kuwahakikishia kwamba...

READ MORE

MANJI AWASHUSHA PRESHA YANGA

LICHA ya kwamba amekuwa mkimya sana lakini viongozi wa Yanga waliompelekea Yusuf Manji, kilio cha wanachama amewpa jibu la kutia...

READ MORE

Tshishimbi: Simba Njooni Mezani

KIUNGO kipenzi cha mashabiki wa Yanga, Pappy Tshishimbi jana asubuhi alirejea kwao DR Congo kwa mapumziko ya wiki mbili lakini...

READ MORE

Djuma: Tunalibeba, Andaeni Suti Za Ulaya

  KAIMU kocha mkuu wa Simba, Masoud Djuma amesema kuwa kikosi alichonacho kinatosha sana kutwaa Kombe la SportPesa Super Cup...

READ MORE

MO AANZA STAILI MPYA YA USAJILI SIMBA

  USAJILI mpya wa Simba safari hii utafanyika kwa staili ya aina yake tofauti na misimu mingine iliyopita ambayo Mohammed...

READ MORE

CHIRWA KUWEKA REKODI SIMBA

USAJILI mpya wa Ligi Kuu Bara haujafunguliwa rasmi lakini Simba tayari imeshaweka rekodi. Simba chini ya udhamini wa bilionea Mohammed...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Ataka Kurudi Man United

KOCHA wa zamani wa Real Madrid na England, Fabio Capello amefichua kuwa Cristiano Ronaldo anataka kurudi Manchester United ili aungane...

READ MORE

Straika Yanga Ataja Mashine Mpya Nne

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Mohamed Hussein “Mmachinga’ amefunguka kuwa Yanga inahitaji kufanya marekebisho katika nafasi nne muhimu. Nafasi hizo...

READ MORE

MADRID WABEBA UEFA KWA MARA YA TATU MFULULIZO

MABAO mawili aliyofunga Gareth Bale yaliibeba Real Madrid na kuandika historia ya kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya ‘Uefa’...

READ MORE

Okwi Amwaga Machozi Baada ya Kukosa Penalti

  STRAIKA wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi aliangua kilio mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John...

READ MORE

Ubingwa Wa Simba Taifa Haijawai Kutokea

  WACHEZAJI wawili wa zamani wa Simba, Juma Kaseja na Edward Christopher, jana Jumamosi waliharibu sherehe za ubingwa wa timu...

READ MORE

HUYU NDIO ANAYEPANGA RATIBA ENGLAND

UTASHANGAA lakini ni ukweli na uhakika kuwa mtu mmoja anayeitwa Glenn Thompson ndio ameshika utamu wa dunia kwani kazi yake...

READ MORE

Tatizo Kubwa Linaloitafuna Yanga ni Uongozi

YANGA imeanza kinyonge mechi zake za makundi ya Kombe la Shirikisho baada ya kupoteza ugenini dhidi ya USM Algiers. Ni...

READ MORE

WIKI TATU TU YANGA MATAJIRI

MICHUANO ya Kombe la Kagame iliyopangwa kupigwa mwezi ujao Jijini Dar es Salaam huenda ikawa zali kwa Yanga ambayo kama...

READ MORE

Tshishimbi Ashtuka, Arudi Kwao Haraka

AKIJIUGUZA kwa muda wa wiki mbili bila matarajio ya kupona, kiungo mkabaji wa Yanga Mkongoman, Papy Kabamba Tshishimbi ameamua kurudi...

READ MORE

Nunua Gazeti la Spoti Xtra kesho Jumapili Ushinde Jezi Orijino

WASOMAJI wa Gazeti la Spoti Xtra kesho Jumapili, mbali na kupata uhondo wa aina yake kwenye habari, makala na chambuzi...

READ MORE

MWINGINE KUTOKA MBEYA ASHINDA BEATS BY DRE ZA SPOTI XTRA

MSHINDI wa shindano la Gazeti la michezo la Spoti Xtra la kuwania headphones za Beats by Dre, Mwinyi Twaha, mkazi...

READ MORE

Tuache Siasa Kwenye Sakata la Yondani na Kwasi

MECHI ya watani imechezwa wikiendi iliyopita, Simba ikaibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga, mchezo ukichezwa kwenye Uwanja...

READ MORE

Yanga Kushiriki Michuano ya Kimataifa Mwakani, Kwa Mbeleko ya CAF

KWA kasi ya Simba ilivyo kwenye Ligi Kuu ya Bara, uwezekano wa Yanga kushiriki michuano ya kimataifa mwakani ni kwa...

READ MORE

Simba Kumaliza Kwa Kishindo Taifa

  KWA takwimu zilivyo ni kama Simba ikishinda mechi ya leo Jumapili dhidi ya Ndanda ambayo haijawahi kuwababaisha kwenye Uwanja...

READ MORE

Nunua Spoti Xtra Kesho Jumapili Upate Jezi Orijino

WASOMAJI wa Gazeti la Spoti Xtra kesho Jumapili, mbali na kupata uhondo wa aina yake kwenye habari, makala na chambuzi...

READ MORE

Mkongo Yanga Awapa Wachezaji Mbinu Mpya

KOCHA mpya wa Yanga, Mkongomani Zahera Mwinyi, ametuliza mizuka ya wachezaji kwa kuwataka wacheze mpira mwingi na wala wasiichukulie mechi...

READ MORE

Simba, Yanga Zatumia Milioni 11 Moro

IMEBAINIKA kuwa, timu za Simba na Yanga, zote zimetumia zaidi ya Sh11 milioni kwa ajili ya kambi zao mkoani Morogoro...

READ MORE

Kumbe Hata Ajibu na Chirwa

KWA mujibu wa takwimu za umri wa wachezaji wa Yanga, zilizoko kwenye ofisi za CAF pale Misri ni kwamba kabla...

READ MORE

Ukinunua Spoti Xtra Kesho Unashinda Jezi

GAZETI makini la michezo na burudani kila Jumapili la Spoti Xtra, kesho litatoa zawadi orijino kwa wasomaji wanne.   Spoti...

READ MORE