
Browsing Category
Uwazi
Achana Na ‘Siwezi Kuishi Bila Yeye’, Kuna Maisha Bila Yeye!
HAKUNA shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri…
Ukiona Dalili Hizi, Mwenzako Anamchepuko
KILA mmoja atakubaliana na mimi kwamba mahusiano baina ya wapendanao kwa kawaida yanakusudia kuwa ya upendo, maelewano, kuaminiana na urafiki wa hali ya juu ingawa hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa wengi. Wengi wetu wameumizwa…
Vyakula Vya Kula Kwa Mgonjwa Wa Vidonda Vya Tumbo
LEO tutaangazia vyakula vya kuepukwa na wagonjwa wa vidonda vya tumbo lakini pia tutaeleza vyakula vinavyofaa kuliwa na hao wenye matatizo hayo. Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa huo wa vidonda vya tumbo (ulcers),…
Madhara Ya Kumchunga Mpenzi Wako Bila Sababu!
MPENZI msomaji wangu, kilio cha wengi walio kwenye uhusiano ni kuhisi wanasalitiwa na wapenzi wao waliotokea kuwaamini sana. Wapo ambao si tu kwamba wanahisi bali wanawafumania kila kukicha wapenzi wao licha ya imani…
Kama Anakuliza Kila Siku, Unamng’ang’ania Wa Nini?, Soma Hapa
TUNAPOKUTANA kama hivi, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwani wapo ambao muda huu wako kitandani wakisumbuliwa na magonjwa mbalimbali huku wengine wakiwa wameshatangulia mbele za haki.
Ndugu zangu, mapenzi yamekuwa yakiwaliza…
Sifa 5 Za Mwanamke Ambaye Ni ‘Wife Material’
WIKI hii nitazungumzia sifa tano za mwanamke ambaye anastahili kuwa mke au kwa kizungu tunasema ‘wife material’. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia hatua ya kuingia kwenye ndoa lakini bado wanashindwa kutambua yupi ni…
Njia Tano Za Kudumisha Uhusiano Kimapenzi
UKWELI ni kwamba mapenzi hayana njia moja ya kufuatwa lakini kuna vitu ambavyo vinajulikana kuchangia katika kuboresha uhusiano baina ya wapenzi. Mahusiano ya mapenzi yenye kudumu ni sharti yapandwe katika udongo wenye rutuba kama…
Sababu Za Mbegu Za Maboga Kuipiku Supu Ya Pweza
MBEGU za maboga zimekuwa kimbilio namba moja kwa baadhi ya watu, wakiwamo kina baba wanaozichangamkia kwa nia ya kujiongezea nguvu za kiume, sawa na ilivyo kwa samaki pweza na supu yake.
Madaktari na wataalamu wa lishe…
Ijue Hatari Ya Kumchunga Na Kumfuatilia Sana Mpenzi Wako
MPENZI msomaji wangu, kilio cha wengi walio kwenye uhusiano ni kuhisi wanasalitiwa na wapenzi wao waliotokea kuwaamini sana. Wapo ambao si tu kwamba wanahisi bali wanawafumania kila kukicha wapenzi wao licha ya imani waliyokuwa…
Nyama Nyekundu Inavyosababisha Kisukari, Moyo, Kansa
NILIWAHI kuandika kuhusu madhara ya nyama nyekundu ingawa watu wengi hawajui kwamba ina hatari zake. Kutokana na wengi kupenda nirudie kuandika madhara ya nyama leo tutangalia madhara yake mwilini kwa mlaji. Wapenda nyama za mishikaki,…
Matatani Kunywa Pombe na Wanawake Wawili Baa
KWANI kunywa bia na wanawake wawili baa ni kosa kisheria? Si ndivyo utakavyohoji? Sasa UWAZI linakuambia wewe endelea na udadisi wako na uthubutu kufanya hivyo kizembe yakukute yaliyomkuta jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina moja la…
Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Uwazi kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Baada ya kununua Gazeti utakuwa imejiwekea nafasi nzuri ya kuzawadiwe SmartPhone mpya na
Mkwanja hadi Tsh.…
Nunua na Soma Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Baada ya kununua Gazeti utakuwa imejiwekea nafasi nzuri ya kuzawadiwe SmartPhone mpya na
Mkwanja hadi Tsh. 100,000/= ===>…
Gwajima; Halima Mdee Njia Panda
JIMBO la Kawe linawaka moto hivi sasa kwa kampeni za kukata na shoka, kati ya mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima…
Watu 7 Wauawa Kikatili, Mama, Ndugu wa Damu Wahusika – Video
NI simanzi kila kona, ndivyo unavyoweza kutafsiri kishindo cha mauaji ya watu saba katika mikoa ya Mara, Arusha, Mbeya na Shinyanga ambacho kimeacha majonzi kwa jamii ya Watanzania na maswali magumu kutokana na visa vya mauaji hayo kuwa…
Mr blue afungukia kuoa mke wa pili
MSANII wa Bongo Fleva, Kheri Sameer Rajab ’Mr Blue’ amesema katika vitu ambavyo hajawahi kujutia ni pamoja na yeye kuoa na ana furaha ya kuwa na mke sahihi ambaye hawezi kumshawishi kuoa mke wa pili. Akizungumzia maisha ya ndoa, Blue…
Shilole:Mimi kuwa mjamzito, shida nini?
BAADA ya tetesi kusambaa mitandaoni kuwa msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ana ujauzito, paparazi wetu alimtafuta na kumbana juu ya hilo ambapo mwenyewe alisema; ‘hata kama ninao shida iko wapi?’ Msanii huyo alisema kwa…
MAMA AMWAGIWA PETROLI, ACHOMWA MOTO HADI KUFA
MaMa mmoja ajulikanaye kwa majina ya Lucia Keraka mwenye umri wa miaka 34, mkazi wa Kijiji cha Kerende wilayani Tarime, Mkoa wa Mara amefariki dunia baada ya kumwagiwa petroli kisha kulipuliwa kwa moto na mwanamke mwenzake. Mauaji hayo…
FAGIO KALI CCM
HALI ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ kinachounda serikali si shwari kutokana na kuwepo kwa madai kuwa, kuna baadhi ya makada wa chama hicho wanamhujumu mwenyekiti wao ambaye ni Rais Dkt. John Magufuli kuelekea uchaguzi mkuu…
KAMA UNAHONGA ILI UPENDWE UMECHELEWA SANA , SOMA HII!
Ndugu zangu huko mtaani tunakoishi kuna watu ambao wamekuwa wakitumia nguvu kubwa sana kuhakikisha wanawapata wale ambao wametokea kuwapenda. Unamkuta mwanaume f’lani katokea kumzimikia msichana flani, anatumia maneno matamu, anatumia…
P DIDDY ADAIWA ‘KUNYAKUWA ’ DOGODOGO
KACHAFUKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mkongwe kwenye gemu la Muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Sean John Combs ‘P Diddy’ kudaiwa kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na binti mdogo, Lori Harvey ambaye ni mtoto wa mtangazaji maarufu…
TAJIRI BONGO ALIYEUAWA KIKATILI NA AL-SHABAAB MALI ZAKE ZASHTUA
MAHAD Abdillah Nur, mfanya-biashara tajiri na mwekezaji Bongo hakuwa amejulikani na wengi hadi pale taarifa za kifo chake ziliposambaa na kuanikwa sehemu ya maisha yake na mali alizokuwa akimiliki. Tajiri huyo kijana (48) aliuawa Julai…
ASANTE! NGUVU YA KUMWAMBIA MPENZI WAKO NISAMEHE,
NI wiki nyingine tena Mungu ametukutanisha kupitia ukurasa huu. Naamini umzima na unaendelea na mchakamchaka wa maisha kama kawaida. Nikukumbushe tu kwamba, kuishi maisha mazuri unaamua wewe.
Kama utakuwa makini katika kila nyanja…
TATIZO LA KUWASHWA MWILI NA TIBA YAKE
KUWASHWA katika ngozi ya mwili ni kitu kinachomfanya mwanadamu kukosa utulivu kutokana na kero anayopata. Hutokea mwanadamu kukumbwa na muwasho wa hata kuaibisha ikiwamo ule wa sehemu za siri. Lakini wataalamu wanasema tatizo la…
KAMA UNATATIZO LA NGUVU ZA KIUME, HII INAKUHUSU
UTAFITI wa hivi karibuni nchini Uingereza umebaini tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ubora wake wake ni kubwa duniani. Imebainika kuwa kati ya jozi tatu za wanandoa moja imeathiriwa na tatizo hilo.Majibu ya…
Mume Aliyeimkata Mikono Mkewe, Fundisho kwa Wanaume!
KAMA kuna habari iliyojaa mafunzo kwa wanaume ni hii ya Jackline Mwende ambaye alikatwa mikono yake na mumewe na habari yake kuandikwa na vyombo mbalimbali vya habari likiwemo Gazeti la National la Kenya baada ya mahojiano akiwa…
KAMA UNAMPENDA, MWACHE AJICHUNGE, ACHA KUMFUATILIA!
HUKO nyuma niliwahi kufanya uchunguzi kwa kuzungumza na baadhi ya wapenzi kuhusu suala la usaliti. Hakika wengi walikiri kujua kwamba kuna uwezekano mkubwa wapenzi wao wanawasaliti lakini wenyewe wanadai ni mambo ambayo wakiyafuatilia…
BALAA LA TALAKA 3 MAMA NA WANAYE WALAZWA NJE SIKU 9
TALAKA tatu alizopewa na mumewe zinaonekana kumtesa mwanamke mmoja aitwaye Kaigo Salila (34), mkazi wa Kigogo Freshi jijini Dar es Salaam ambaye amelazimika kulala nje kwa siku tisa akiwa na watoto wake wawili baada ya kuambiwa na…
Daktari Mhindi Anayedaiwa Kumfanyia Mbongo Upasuaji Kimagumashi Kimenuka
KIMEWAKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kucharuka na kumtaka daktari wa Kihindi, Annapurna Dama kufika mahakamani hapo kujibu tuhuma zinazomkabili za kudaiwa kumfanyia upasuaji wa kimagumashi Aziza Salumu.…
UKIPARAMIA PENZI LA USIYEMJUA, ANDIKA MAUMIVU!
NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia uwanja huu wa mahaba. Ni eneo pekee ambalo unaweza kujifunza mambo ambayo yanaweza kuboresha maisha yako ya kimahaba.
Mpenzi msomaji wangu, juzikati nilikutana na rafiki yangu wa…
JINSI YA KUEPUKA MIMBA ZISIZOTARAJIWA !
WANAWAKE wengi hawajui kuhesabu mzunguko wao wa hedhi na namna unavyoweza kutumika katika kuleta au kutoleta ujauzito. Hata hivyo, ili mfumo wa hedhi uwe na maana kuna uhusiano na hali ya mfumo wa maisha ya mhusika, vyakula anavyokula…
INASIKITISHA MTOTO AUAWA, ATUPWA KWENYE KARO LA CHOO
VITENDO vya utekaji na mauaji ya watoto vinavyoendelea katika Manispaa ya Lindi, vinazidi kuwapa wakati mgumu wananchi wa mkoa huo baada ya mtoto mwingine Husseni Fadhili (7) mkazi wa Mitaa ya Benki, kudaiwa kuuawa na watu wasiojulikana…
HII NI AIBU NZITO KIGOGO MATATANI KWA MKE WA MTU
DAR ES SALAAM: Ukiambiwa mke wa mtu sumu na ukaendelea kubisha yatakufika mazito kama ambavyo kigogo wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Freddy Sifael Manogi alivyojikuta matatani, Uwazi lina habari kamili.
Freddy ambaye ni…
OMBA, SALI UMPATE MUME MWENYE TABIA HIZI 6!
WIKI hii nitazu-ngumzia sifa 6 za mwanaume ambaye anastahili kuwa mumeo. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia hatua ya kuingia kwenye ndoa lakini bado wanashindwa kutambua yupi ni sahihi na yupi si sahihi kuitwa mume. …
SIMANZI! BI HARUSI AFARIKI DUNIA GHAFLA AKISUBIRI NDOA
PANGA maisha uwezavyo, lakini mpangaji mkuu atabaki kuwa Mungu aliyeshika uhai wako kama ambavyo msichana mmoja jijini Dar es Salaam aliyekuwa akisubiri ndoa yake kujikuta akifariki dunia ghafla, Uwazi lina mkasa mzito wa kusikitisha.…
DEREVA BAJAJ YAMFIKA MAZITO!
DEREVA wa Bajaj aliyefahamika kwa jina la Noel Razaro (30) kutoka Mtwara yamemfika mazito baada ya kupata ajali mbaya iliyomsababishia kupooza kuanzia kiunoni kwenda chini.
Akizungumza na Gazeti la Uwazi hivi karibuni,…
NAMUONA LULU NDANI YA JENNIFER KANUMBA
KWA wafuatiliaji wa filamu tangu enzi zile ambazo filamu ilikuwa filamu kwelikweli, watakuwa wanamkumbuka vizuri binti mdogo aliyekuwa akifahamika kwa jina la Hanifa Daudi ‘Jennifer Kanumba’. Huyu ni mmoja wa wasanii walioibuliwa na…
DONDOO MUHIMU ZA KUNOGESHA PENZI KWA WANANDOA
KWANZA namshukuru Mungu kwa kunijaalia afya njema na pia kwa kunipa nguvu ya kuandika hiki ninachokusudia. Ungana nami ili ujifunze kitu.
Kwa wale wasiofahamu niwaambie tu kwamba dhana ya mapenzi ina wigo mpana sana na…
MIFUKO YA PLASTIKI YAANDIKA HISTORIA!
DAR ES SALAAM: Katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki nchini limeanza kutekelezwa Jumamosi iliyopita nchi nzima na tayari jijini Dar es Salaam mifuko hiyo haikuonekana popote, hali ambayo inaelezwa kuwa amri hiyo imeandika historia.…
KWA HILI MLILOLIFANYA LULU DIVA, SANCHI MTASUBIRI TENA RAMADHANI 2020 ?
MWEZI Mtukufu wa Ramadhani ndiyo unaishia hivyo. Ulianza kama masihara masihara hivi, mara moja... mbili...tatu..., ile kushituka mwezi umegawanyika na sasa tunaelekea ukingoni. Wapo ambao wanasema bora uende maana umekuwa ukiwabana…