The House of Favourite Newspapers

FAMILIA YA WATATU, 35 WAFARIKI AJALI YA DARAJA KUVUNJIKA

Roberto Robbiano, his wife Ersilia Piccinino, and their seven-year-old son Samuel all died when a bridge in Geona, Italy, collapsed

                               Enzi za wanafamilia waliofariki  wakati wa uhai wao.

FAMILIA ya watu watatu na watu wengine zaidi ya 35 wamefariki jijini Genoa, Italia, baada ya daraja kuvunjika.

Roberto Robbiano, mkewe Ersilia Piccinino, na mtoto wao mwenye umri wa miaka saba, Samuel, wamekufa baada ya gari lao kuanguka umbali mrefu kutoka juu katika daraja la Morandi lililojengwa miaka 50 iliyopita.

Ajali hiyo ilitokea mchana saa 5:30 jana (Jumanne) ambapo watu wengi waliangukiwa mabaki ya zege na takataka zingine na ikabidi kutafutwa kwa muda mrefu wakiwa tayari wamekufa.

Their car fell 150ft as the a huge 260ft section of the 50-year-old Morandi bridge gave way about 11.30am on Tuesday

Devastation: Dozens are feared dead after a 260ft section of a highway bridge suddenly collapsed during a storm in Genoa, Italy. Pictured: A green truck is perched on the brink

Taswira za ajali hiyo na sehemu zilizosababisha daraja kuvunjika (picha ya chini).

Comments are closed.