SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni leo usikose kutazama wachambuzi wa kipindi hiki, watakuchambulia yafuatayo:-
- Okwi kugoma kucheza Simba
- Dili la Sanchez na faida kubwa kwa Arsenal
- Udhamini wa Yanga kutoka Macron ni utata mkubwa
- Ngoma hajawahi kufanya lolote Yanga
- Okwi afungukia anachowafanya Siginda
- Uongozi Yanga ungegoma kumsajili Ngoma.
Ni hapahapa #GlobalTVOnline Fanya kuingia hapa www.youtube.com/user/uwazi1
Comments are closed.