The House of Favourite Newspapers

KASHESHE ZA RC MWANRI ZINAENDELEA “NAWACHOTA JUMLA JUMLA” – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameendelea na kampeni yake ya kukomesha mama wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano kutozwa pesa wanapofika hospitali.

Comments are closed.