The House of Favourite Newspapers

Khaligraph Ashinda Tuzo ya AFRIMMA Dallas Texas

Khaligraph Jones scoops prestigious award at AFRIMMA in Dallas Texas
Khaligraph Jones

RAPA Mkenya, Khaligraph Jones, ameibuka kidedea na kuipa nchi yake heshima baada ya kupata tuzo ya All Africa Music Awards (AFRIMMA) katika sherehe ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika Jumapili iliyopita huko Dallas.

Msanii huyo aliwashinda marapa wengine wa Afrika akiwemo  Octopizzo na kukwea pipa lililompeleka Marekani kwa mara ya kwanza na kupata tuzo hiyo.

 

 

Comments are closed.