KIKOSI CHA +255 GLOBAL RADIO KILIVYOTUA DAR LIVE
KIKOSI cha +255 GLOBAL RADIO usiku wa kuamkia leo Aprili 22, 2019 kimetua kwa kishindo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar es Salaam kutambulisha redio hiyo kwa mashabiki walijitokeza katika shoo iliyofanyika katika Sikukuu ya Pasaka.
PICHA NA RICHARD BUKOS
ASLAY ASEPA NA KIJIJI DAR LIVE SIKUKUU YA PASAKA
Comments are closed.