Kimenuka: Muro Aichana Hadharani Hotuba ya Chama, “Mtakufa” – Video
Share
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro ameichana Hotuba ya Chama Cha Ushirika cha Wilaya ya Arumeru iliyosomwa na kukabidhiwa kwake katika kikao cha kawaida kilichofanyika kilichokuwa na lengo la kuangalia namna bora ya kuboresha vyama vya ushirika.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.