Serikali ya Uganda imewafukuza nchini humo viongozi wawili wa ngazi ya juu wa Kampuni ya Mawasiliano MTN, kutokana na kuhatarisha usalama wa taifa hilo. Waliofukuzwa ni Olivier Prentout, raia wa Ufaransa na Annie Tabura, raia wa Rwanda.
Serikali ya Uganda imewafukuza nchini humo viongozi wawili wa ngazi ya juu wa Kampuni ya Mawasiliano MTN, kutokana na kuhatarisha usalama wa taifa hilo. Waliofukuzwa ni Olivier Prentout, raia wa Ufaransa na Annie Tabura, raia wa Rwanda.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.