Kufuru! Lil Wayne Anunua Mjengo wa Bil. 39 (PICHA 12)
Rapa Dwayne Michael Carter Jr, ‘Lil Wayne’ baada ya kuweka rekodi kwa kuuza kopi nyingi zaidi za albamu yake ya Carter V, sasa ameamua kununua mjengo uliopo Miami Beach wenye thamani ya Dola za Marekani mil. 17 (TSh. bil. 39)
Nyumba hiyo ina vyumba saba na nafasi iliyopo wazi ni futi za mraba 10,632 lakini mwaka jana, 2017, msanii huyo anayejulikana pia kama Weezy, aliuza nyumba yake huko Miam Beach kwa Dola za Marekani mil. 10 (Sh. bil. 23)
Tazama picha za nyumba hiyo hapa chini.
Comments are closed.