The House of Favourite Newspapers

Leo ni Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Sajuki

0

sajuki (1)
sajuki (3)Kaburi la aliyekuwa Staa wa Bongo Movie, Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’WASTARASAJUKISajuki enzi za uhai wake akiwa na Mkewe, Wastara Juma.

Tasnia ya Filamu na Uigizaji pamoja wa Watanzania wote leo Januari 2, tunakumbuka pigo tulilopata miaka mitatu iliyopita baada ya kuondokewa na Mwigizaji Mahiri Juma Kilowoko maarufu kama Sajuki.

Sajuki kama ambavyo amekuwa akitambulika zaidi na wapenzi wa sanaa ya filamu na maigizo alifikwa na na umauti mapema asubuhi ya Jumatano, Januari 2, 2013 katika Hospital ya taifa ya Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu.

Daima tunakukumbuka Sajuki.

Leave A Reply