The House of Favourite Newspapers

LIVE: Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania, Dodoma

Leo, Disemba 09, 2017 Tanzania inaadhimisha miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) ambapo sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja wa Jamhuri, mjini Dodoma.

Katika Maadhimisho hayo ya Uhuru wa Tanzania Bara, Rais Dkt. ndiye Mgeni Rasmi. Viongozi wengi wameshawasili katika viwanja hivyo kwa ajili ya kujumuika na Watanzania wengine kusherehekea.

Sherehe hizi zinaadhimishwa huku kukiwa na simanzi kitaifa kufuatia askari wetu wanaolinda amani DRC kuuawa na wengine kujeruhiwa vibaya kufuatia shambulizi lililofanywa na waasi.

Comments are closed.