LIVE: WASAFI FESTIVAL 2018 KUTOKA MTWARA USIKU HUU (PICHA + VIDEO)
Kwa mara ya kwanza Mapinduzi ya Burudani Wasafi Festival2018 yanaendelea kufanyika usiku huu katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara.

Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza katika tamasha hilo ni Diamond, Harmonize, Rayvanny, Dudu Baya, Country Boy, Lava Lava, Young Killer, Navy Kenzo, Chin Bees, Mbosso, Queen Darling, mchekeshaji Dulvan na wengine kibao.


 
  
  
  
  
  
  
 
			

Comments are closed.