Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza majina 10 ya wachezaji wa kiume wanaowania Tuzo ya Kocha Bora wa Kiume wa FIFA 2017/18
Majina yao haya hapa;
🇮🇹 Max Allegri
🇷🇺 Stanislav Cherchesov
🇭🇷 Zlatko Dalic
🇫🇷 Didier Deschamps
🇪🇸 Pep Guardiola
🇩🇪 Jurgen Klopp
🇪🇸 Roberto Martinez
🇪🇸 Ernesto Valverde
🇫🇷 Zinedine Zidane
🇦🇷 Diego Simeone
🏴 Gareth Southgate.
Nani unampa nafasi ya kuibuka mshindi.
Comments are closed.