The House of Favourite Newspapers

Makada Chadema Wadaiwa Kuchoma Ofisi za Chadema

0
POLISI Mkoa wa Arusha imewakamata watu watatu, wawili wakiwa ni madereva na ofisa uhamasishaji, wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakituhumiwa kuhusika na tukio la kuchoma moto ofisi za chama hicho mjini Arusha 14 Agosti 2020.
Leave A Reply