Makamu wa Rais Amwakilisha Rais Samia Sherehe za Mei Mosi Arusha – Video
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika katika Sherehe za Mei Mosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha.
Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei 2024.