Mama Maria Nyerere na Mama Janeth Magufuli Waadhimisha Miaka 100 ya Baba wa Taifa
Mjane wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Maria Nyerere pamoja na Mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Mama Janeth Magufuli wamehudhuria ibada maalum katika kanisa la St Peters kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.