Matangazo ya michezo ya kubahatisha yadhibitiwa Kenya
BODI ya kusimamia michezo ya kubashiri nchini Kenya imepiga marufuku matangazo ya kuhamasisha michezo hiyo kuonekana kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Aidha, matangazo hayo yamezuiwa kutangazwa mitaani, kwenye runinga na mitandao ya kijamii kwa wakati huo na watu mashuhuri wamezuiwa kutumika kuhamasisha michezo hiyo.
Comments are closed.