Mayweather, Jenner, Messi Waburudishaji Wenye Mkwanja Mkali Zaidi
JARIDA la Forbes la Marekani limewaorodhesha bondia Floyd Mayweather na waburudishaji wengine 100 ambao wanaingiza mkwanja mkali zaidi duniani hadi mwaka huu 2018. Mwanamasumbwi huyo mwaka huu alifutika kibindoni Dola mil. 285, ambazo ni sawa na Sh. bil. 649 za Tanzania.
Nafasi ya pili imetwaliwa na George Clooney (Dola 239m), akifuatiwa na Kylie Jenner (166.5), Juddy Sheindlin (147), Dwayne ‘The Rock’ Johnson (124), U2 (118). Coldplay (115), Lionel Messi (111), Ed Sheeran (110), Cristiano Ronaldo (108)………
Comments are closed.