Mbunge Amwaga Machozi Bungeni “Watu Wanataka Kujinyonga” – Video
Share
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Rukwa, jana alijikuta akimwaga machozi wakati akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa Bungeni hapo na waziri mwenye dhamana, Charles Tizeba.
Comments are closed.