The House of Favourite Newspapers

MBUNGE CCM: Sitaandamana, Lakini Waziri Usikurupuke – Video

Mbunge wa viti maalumu (CCM), Mwanne Nchemba, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.

Comments are closed.