The House of Favourite Newspapers

‘Mbwa Mbaya Zaidi Duniani’ Afariki, Mmiliki Amlilia

Zsa Zsa, seen above standing onstage after being announced the winner of the World's Ugliest Dog Contest at the Sonoma-Marin Fair in Petaluma, California, has died

MBWA wa Kiingereza mwenye umri wa miaka tisa aitwaye Zsa Zsa alifariki jana baada ya kushinda mashindano ya kutafuta mbwa mwenye sura mbaya zaidi duniani yaliyofanyika mwezi uliopita katika maonyesho ya Sonoma-Marin Sonoma-Marin, Petaluma, California.

Mmiliki wake, Megan Brainard, wa  Anoka, Minnesota, alipata  Dola 1,500 (Sh. mil. 3.4) kwa ushindi wa  Zsa Zsa abaye alifariki ghafla.

Her owner, Megan Brainard, confirmed this news this week. Brainard, center, appeared in disbelief with her dog's win last month. Also pictured left is Yvonne Morones, holding her dog Scamp, who placed second, and Linda Elmquist, holding Josie, who finished third

Champion Zsa Zsa is carried by Brainard during the World's Ugliest Dog Contest at the Sonoma-Marin Fair last month

Comments are closed.