Mercy Aigbe amepigwa kibuti?
HUENDA staa wa filamu kutoka Nigeria, Mercy Aigbe amepigwa kibuti na bwana wake, Richard Mofe-Damijo ‘RMD’ kutokana na viashiria anavyovitoa kupitia mitandao ya kijamii.
Mercy aliyeolewa na Richard ambaye ni mkongwe kwenye filamu Nollywood, kupitia ukurasa wake wa Instagram aliwaomba mashabiki wake waweze kushea naye mawazo, ambapo aliandika;
“Inawezekana kweli mtu aliyeolewa kuzinguliwa? RMD kwenda zako!”
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com