WADHAMINI wakuu wa mbio ndefu, Kampuni ya bia ya TBL kupitia bia yake ya Kilimanjaro, leo wamezindua msimu mpya wa mbio za Kili Marathon zinazotarajiwa kufanyika Moshi mkoani Kiliamanjaro na kufikia kilele Machi 3 mwakani.
Uzinduzi huo umefanyika katika Hoteli ya Slipway jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe, ambaye aliwataka Watanzania kujiandaa na kushiriki vyema mashindano hayo ili kufuta aibu ya wageni kuzoa tuzo mbalimbali za mashindano hayo na wao kubaki wasindikizaji kila mwaka.
Matukio katika Picha:
Wanahabari wakiwa kazini katika uzinduzi huo.
HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.