The House of Favourite Newspapers
gunners X

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Akutana na Bodi ya Ushauri na Kutanya Kikao – Picha

0
Rais wa Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji akiendelea na kikao.

Rais wa Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji Julai 6, 2024 amekutana na Bodi ya Ushauri na kutanya kikao cha pamoja.

Pia wamefanya kikao cha bodi chini ya Mwenyekiti wa Bodi.

Kikao cha bodi chini ya Mwenyekiti wa Bodi ambaye pia ni Rais wa Simba, Mohammed Dewji.

Mohammed Dewji akiwa na Bodi ya Ushauri na kufanya kikao cha pamoja.

Leave A Reply