The House of Favourite Newspapers

Mzee John Kambili Alivyopumzishwa Kwenye Nyumba Yake ya Milele, Makaburi ya Kinondoni – Dar

msiba-wa-baba-yake-kambili-1

msiba-wa-baba-yake-kambili-2Ndugu wa marehemu wakiaga mwili wa Mzee John Auckland Kambili kwenye Kanisa la Anglikana, Mwananyamara, Dar es Salaam.msiba-wa-baba-yake-kambili-3Mtoto wa marehemu, John Kambili ambaye pia ni Mhariri wa Gazeti la Championi Jumamosi, Elius Kambili (katikati) akionekana mwenye hudhuni wakati wa ibaba ya kuaga mwili wa baba yake. kushoto ni Mwandishi wa Gazeti la Championi, Willbert Morland.msiba-wa-baba-yake-kambili-7Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo akiaga mwili wa marehemu Mzee Kambili.msiba-wa-baba-yake-kambili-10Mhariri Kiongozi wa Gazeti la Championi, Saleh Ally (aliyeko mbele) akiaga mwili wa marehemu. msiba-wa-baba-yake-kambili-4Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatau, Ezekiel Kitula ambaye pia ni mfanyakazi mwenzake na Elius Kambili akiaga mwili. msiba-wa-baba-yake-kambili-5Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatano, Philipo Nkini (wa pili) akiaga mwili wa marehemu. msiba-wa-baba-yake-kambili-6Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni ya Global Publishers, Oscar Ndauka akiaga mwili wa marehemu.  msiba-wa-baba-yake-kambili-8Eric Shigongo akimfariji Elius Kambili.msiba-wa-baba-yake-kambili-12Meneja wa Kampuni ya Global Publishers, Abdallah Mrisho akimpa pole Elius Kambili.

msiba-wa-baba-yake-kambili-9  Mwandishi wa Gazeti la Championi, Sweetbert Lukonge akimpa pole elius Kambili.msiba-wa-baba-yake-kambili-11Saleh Ally akimpa pole Elius Kambili.msiba-wa-baba-yake-kambili-13 msiba-wa-baba-yake-kambili-14 msiba-wa-baba-yake-kambili-15 msiba-wa-baba-yake-kambili-16Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakimpa pole mfanyakazi mwenzao, Elius Kambili aliyefiwa na baba yake mzazi.msiba-wa-baba-yake-kambili-17 msiba-wa-baba-yake-kambili-18 msiba-wa-baba-yake-kambili-19 msiba-wa-baba-yake-kambili-20Ndugu, jamaa na marafiki wakiaga mwili wa marehemu.msiba-wa-baba-yake-kambili-21Ibada ya kuaga mwili wa marehemu ikiendelea kanisani hapo.msiba-wa-baba-yake-kambili-22Jeneza lenye mwili wa marehemu likifungwa tayari kwa safari ya kuelekea makaburini.msiba-wa-baba-yake-kambili-23Jeneza likiingizwa kwenye gari ili kupelekwa makaburi ya Kinondoni kwa mazishi.msiba-wa-baba-yake-kambili-24Shigongo akizungumza jambo na watoto wa marehemu.msiba-wa-baba-yake-kambili-25Jeneza lenye mwili wa marehemu baada ya kuwasili kwenye makaburi ya Kinondoni.msiba-wa-baba-yake-kambili-26 msiba-wa-baba-yake-kambili-27

Jeneza likishushwa ili ibada ya kuwasili eneo la makaburi.msiba-wa-baba-yake-kambili-28Mchungaji wa Kanisa la Anglikana Mwananyamara akiongoza ibada ya mazishi.msiba-wa-baba-yake-kambili-29Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa kaburini.msiba-wa-baba-yake-kambili-30Jeneza likiwa kaburini.msiba-wa-baba-yake-kambili-31Elius Kambili akimsaidia mama yake ambaye ni mjane wa marehemu kuweka udongo kwenye kaburi la mumewe.msiba-wa-baba-yake-kambili-32Shughuli ya kufukia kaburi la marehemu ikiendela.msiba-wa-baba-yake-kambili-33Shigongo akiweka udongo kwenye kaburi.msiba-wa-baba-yake-kambili-34Elius Kambuili akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu baba yake.msiba-wa-baba-yake-kambili-35Abdallah Mrisho akiweka udongo kwenye kaburi.msiba-wa-baba-yake-kambili-36

msiba-wa-baba-yake-kambili-37Mwandishi wa Magazeti ya Global Publishers, Musa Mateja akifukia kaburi la marehemu.msiba-wa-baba-yake-kambili-38Lukonge akiweka udongo kaburini.msiba-wa-baba-yake-kambili-39Mjane wa marehemu akiweka shada kwenye kaburi la mumewe.msiba-wa-baba-yake-kambili-40Mtoto mkubwa wa marehemu akiweka shada kwenye kaburi la baba yake. msiba-wa-baba-yake-kambili-41Watoto wa marehemu wakiweka shada kwenye kaburi la baba yao. msiba-wa-baba-yake-kambili-42Elius Kambili na mkewe wakiweka shada kwenye kaburi la baba yao. msiba-wa-baba-yake-kambili-43Picha ya pamoja ya familia ya Kambili kwenye kaburi la mzee wao. Mzee John Kambili lizaliwa mwaka 1941 na kufariki juzi Desemba 13, 2016.

PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL

Comments are closed.