NANDY ASHEREHEKEA BETHDEI, AZINDUA ALBAMU YAKE
MWANAMUZIKI wa kizazi kipya, Faustina Charles maarufu Nandy, usiku wa kuamkia leo amesherehekea siku yake ya kuzaliwa sambamba na kuzindua albamu yake iitwayo African Princess. Uzinduzi huo umefanyika ndani ya Klabu Next Door Arena, Masaki jijini Dar na kuhudhuriwa na umati wa mashabiki.
Matukio katika Picha :
Wanamuziki Mwasity Almas (kushoto) na Linna Sanga ‘Linnah’ wakifuatilia kinachoendelea.
Wasanii wa Bongo Muvi, Kajala Masanja (kushoto) na Jacqueline Wolper wakifuatilia shoo hiyo.
HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.