Ndege Ya Boeing 787-8 Dreamliner Ilivyopokelewa (Picha + Video)
RAIS Dkt. John Magufuli leo Jumapili Julai 08, 2018 amewaongoza Watanzania kuipokea ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na serikali ya Tanzania. Viongozi mbalimbali wameungana na rais kuipokea ndege hiyo.
(PICHA: RICHARD BUKOS | GPL)
Comments are closed.