The House of Favourite Newspapers

Orodha ya Wenyekiti na Makamu Wenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge 2018-2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametoa orodha ya majina ya Wabunge mbalimbali ambao wameteuliwa katika kamati mbalimbali za kudumu za Bunge ambao wataongoza kwa kipindi cha mwaka 2018-2020.

 

Wabunge mbalimbali wameteuliwa kuongoza kamati hizo za kudumu kwa kipindi hiko cha mwaka ambapo baadhi ya wabunge walioteuliwa ni Mhe. Nnape Nnauye, Mhe. Andrew J. Chenge, Mhe. Emmanuel Mwakasaka na wengine.

 

Kufahamu wabunge hao na kamati zao angalia chati iliyopo hapa chini ikibainisha majina ya wenyekiti na makamu wao.

Kamati ya Kudumu ya Bunge => BONYEZA HAPA

Mambosasa: Abdul Nondo Alikwenda Iringa kwa Mpenzi Wake

Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.

You might also like More from author

Comments are closed.