×

Rais Achafukwa, Aaamuru: Wauweni Bila Onyo

Rais wa Kazakhstan, Kassym-Jomart Tokayev amewaamuru Jeshi la Polisi na Wanajeshi wa nchi hiyo “kuua watu bila onyo” ili kukomesha...

READ MORE

Mavunde: Juni Umeme Uwashwe

MBUNGE wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde ameridhishwa na kasi ya usimikaji nguzo katika Kata hiyo na kumtaka Mkandarasi kukamilisha maeneo...

READ MORE

Shinyanga: Mzee Akutwa Amejinyonga

Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Magesa Mahona anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 60 na 65 mkazi wa...

READ MORE

Mama D: Watoto Wangu ni wa Anko Shamte

MAMA mzazi wa staa wa muziki wa Tanzania, Diamond Platnumz, Mama Dangote amevunja ukimya akisema kuwa, watoto wake, pia ni...

READ MORE

Watu Milioni 1.3 Waitwa Kuchukua Vitambulisho vya NIDA

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) nchini Tanzania imetoa vitambulisho vya uraia milioni 9.4 tangu ianze kuzalisha vitambulisho hivyo huku...

READ MORE

Shiboub, Moukoro Wakabidhiwa kwa Pablo

OFISA Habari wa Simba, Ahmed Ally, amefunguka na kuelezea kwamba, suala la wachezaji wote wanaofanya majaribio kikosini hapo, uamuzi wa...

READ MORE

Akamatwa Akimuuza Mtoto wa Miaka 10 Ili Anunue Pikipiki

Jeshi la Polisi nchini Liberia limemkamata na kumfungulia mashtaka mwanaume wa Sierra Leone mwenye umri wa miaka 29 kwa madai...

READ MORE

Kimeumana! Joh Makini Amvaa Sallam SK

Unaikumbuka ile ngoma ya “Don’t Bother” ya Joh Makini ft AKA? Sasa unaambiwa wimbo huo umezua maneno huko Twitter baada...

READ MORE

Hatimaye VAR Kutumika AFCON

HATIMAYE kwa mara ya kwanza katika historia ya michuano ya AFCON, mechi zote 52 zitatumia marefa wasaidizi wa picha za...

READ MORE

Ujumbe Maalum wa Prof Jay kwa Job Ndugai

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi na msanii mkongwe na maarufu wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Prof Jay’ ameshea video...

READ MORE

Harmonize: Nilijisikia Vibaya Kiba Kukataa Urafiki

WIKIENDI iliyopita, Harmonize au Konde Boy Mjeshi alikuwa akizindua albam yake ya High School. Kabla ya uzinduzi huo, Harmonize alipata wasaa...

READ MORE

Coutinho Atua Timu ya Samatta

KIUNGO mshambuliaji wa FC Barcelona, Phillipe Coutinho amejiunga kwa mkopo kwenye klabu ya Aston Villa hii baada ya Villa kudhibitisha...

READ MORE

Trippier Atua Newcastle

Newcastle United imefanikiwa kupata sahihi ya beki wa kulia, Kieran Trippier kutoka Atletico Madrid paundi million 12 sawa na 37,501,300,080...

READ MORE

Zuchu: 2022 Ni Mwaka Wangu Pia

PAMOJA na kwamba alifanya vizuri mno kwa mwaka 2021 kiasi cha wimbo wake wa Sukari kushika namba moja kwa nyimbo...

READ MORE

Burudani Ya Soka Inahamia Afrika, Afcon 2022 Kimeumana!!

Wikiendi hii, mzunguko wa 3 wa FA Cup unaendelea hii ikiwa ni sambamba na kuanza kwa Mashindano ya AFCON 2022...

READ MORE

Sarah wa Harmonize Mikononi Mwa Sallam

MIONGONI mwa tuhuma nzito zilizotolewa na staa wa Bongo Fleva, Harmonize au Konde Boy Mjeshi siku ile ya Novemba 18,...

READ MORE

PhD ya Baba Levo ya Mchongo?

MWEZI mmoja uliopita, Mbunge wa Geita Mjini, Joseph Kasheku almaarufu Msukuma alitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Siasa na...

READ MORE

ITAKULIZA: Msanii Bambucha Akatwa Mguu, Asimulia Mateso Aliyopitia – “Wasanii Wenzangu Wamenitenga”

Msanii wa kitambo, Bambucha amesimulia mateso aliyopitia hadi kufikia hatua ya kukatwa mguu. 

READ MORE

TAKUKURU: Achana na Mil 90, Sabaya Ana Kesi Nyingine ya Kujibu

AFISA wa Takukuru anayetoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake sita ameiambia Mahakama kuwa...

READ MORE

Kajala: Nimepisha Mitandao Kwanza

STAA mwenye shepu yake kunako Bongo Movies, Kajala Masanja anasema kuwa, ameipisha kidogo mitandao ya kijamii ili watu waendelee na...

READ MORE