×

Rihana Kuhusu Ujauzito: Kila Mwaka Mnanizalilisha

KUFUATIA kuzuka kwa tetesi katika mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari nchini Marekani kuwa msanii maarufu nchini...

READ MORE

Magari 4 Yagongana, Basi la Lateketea na Kuua

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisaha malori matatu mkoani Songwe. Ajali hiyo iliyotokea...

READ MORE

Wananchi Wadai Kulazimishwa Kuchanja Ndipo Watibiwe – Video

 WANANCHI wa Jimbo la Buchosa, lililopo wilaya ya Sengerema wameeleza kero mbele ya mbunge wao, Mhe. Eric Shigongo kuwa wamekuwa...

READ MORE

Ajimwagia Mafuta ya Taa Mwilini na Kujichoma Moto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja kupitia Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mjini Magharibi ACP. Elisante Makiko...

READ MORE

Morrison Mjanja Kweli, Anajilinda na Corona

KIUNGO Mshambuliaji kutoka nchini Ghana na klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Bernard Morrison ameanza kujihami na changamoto za kubambikiwa...

READ MORE

Mtoto Achomwa kwa Mkasi wa Moto Kisa ‘Flash’

MTOTO wa kiume mwenye umri wa miaka 9 anayesoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Bugoyi A, Mjini Shinyanga...

READ MORE

Udhamini wa Ligi: Mkataba wa GSM na TFF Watua FCC

Tume ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni...

READ MORE

Mtoto Wa Amina Chifupa Afunguka – “Nataka Kuwa Rais, Natamani Kuishi Kama Mama”-Video

KILA ifikapo Desemba 02, mtoto wa marehemu Amina Chifupa na Mohamed Mpakanjia, anayefahamika kwa jina la Abdulrahman, anasheherekea siku yake...

READ MORE

Mtoto wa Gaddafi Aruhusiwa Kuwania Urais

Mahakama ya nchini Libya imeamua kwamba Mtoto wa Gaddafi, Seif al Islam anaruhusiwa kugombea kiti cha Urais nchini humo na...

READ MORE

Ni Super Weekend Kunako Soka Barani Ulaya. Bundesliga, Serie A Na Epl Kimeumana

Baadhi ya mitanange ya kibabe kuchezwa kwenye ulimwengu wa kandanda wikiendi hii. Ni Super Weekend ya kibabe sana viwanjani. Mchongo...

READ MORE

Bingwa wa Kuuza Dawa za Kulevya Anaswa Tanzania, Ahukumiwa Miaka 20 Jela-Video

Polisi mkoani Mbeya wamefanikiwa kumfunga jela miaka (20) SIMEON EUGENIA FADUCUANE, (44) raia wa Mozambique, kwa kosa kusafirisha madawa ya...

READ MORE

Rais Samia Azindua Maboresho ya Gati (1 – 7) Bandari ya Dar-Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Desemba 4, 2021 anazindua maboresho ya Gati...

READ MORE

Jamaa 12 Wa Kupora Simu Kwa Bodaboda Wadakwa, Wakutwa Na Visu Vikali-Video

  Jeshi la Polisi katika Kaunti ya Kiambu nchini Kenya, imefanikiwa kukamata simu zaidi ya 30 na watuhumiwa 12 wa...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Desemba 4, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 4, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Lava Lava Iwe Funzo Kwake na Wengine

MWAKA 2017 ndipo Lava Lava alianza kusikika kupitia ngoma zake akiwa kwenye lebo kubwa ya muziki Bongo ya Wasafi Classic...

READ MORE

Kijana Miaka 15 Akabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi na Mauaji

WAENDESHA mashtaka katika kitongoji cha Detroit wamemfungulia mashtaka ya ugaidi na mauaji ya kukusudia mvulana wa miaka 15 anayetuhumiwa kuwafyatulia...

READ MORE

Mwanafunzi Abakwa, Atobolewa Macho na Kuuwawa

Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Maendeleo Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, Zinati Alifa mkazi wa mtaa...

READ MORE

 Dozi Nyingine 115,200 za Johnson & Johnson Yawasili Nchini

Tanzania imepokea shehena ya Chanjo aina ya Janssen Dozi 115,200 zitakazotumika kuchanja wananchi 115,200 kwa ufadhili wa Serikali ya Ubeligiji...

READ MORE

Kichanga Kilichotupwa Chooni Chaokolewa

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limemuokoa mtoto mchanga wa kiume anayekadiliwa kuwa na umri wa siku mbili hadi tatu aliyekuwa...

READ MORE