×

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatatu, Novemba 8, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 8, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

NBC Dodoma Marathon Zakusanya Mil 200 Kusaidia Wenye Saratani

Mbio za hisani za kimataifa zilizoandaliwa na Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) “NBC Dodoma Marathon” zimefanikiwa kukusanya fedha zaidi...

READ MORE

Pre-Order Infinix Note 11 kwa Punguzo la Sh.50,000, Ofa ya GB96 Papo Hapo

Habari njema kwa wapenzi wa simu za mkononi Infinix. Kampuni ya simu Infinix kupitia ukurasa wake wa @infinixmobiletz yatangaza rasmi...

READ MORE

Ishu ya Chama Kutua Yanga; Injinia Hersi Afunguka

NI suala la muda tu kwa kiungo Mzambia, Clatous Chama kutua Yanga! Ndivyo wanavyosema Yanga kuhusu tetesi za kumrejesha nchini...

READ MORE

Mwanamke Adai Mtoto Aliyezaliwa Mwenzake ni Wake – Video

Katika hali Isiyokuwa ya kawaida Mwanamke mmoja mkazi wa Jiji la Arusha kwa jina Mama Happy amelalamikia kitendo cha mwanamke...

READ MORE

Bosi Yanga Afichua Watakavyobeba Ubingwa

MTENDAJI Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha Mazingiza, ameweka wazi mpango mkakati wa kuhakikisha timu yao inatwaa ubingwa wa Ligi Kuu...

READ MORE

Bashungwa Ampokea Mkongwe wa Filamu za Kihindi, Sunjay Dutt

    WAZIRI wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Innocent Bashungwa amempokea hapa nchini msanii mkongwe wa filamu kutoka nchini...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha NEC Ikulu, Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 7,...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Pereira Silima Kuwa Balozi wa Tanzania Comoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuapisha, Pereira Ame Silima kuwa Balozi wa Tanzania katika Jamhuri...

READ MORE

Kagere Ameshindikana, Atupia Mabao 60 Bongo

MEDDIE Kagere ndani ya kikosi cha Simba kwa msimu wa 2021/22 ameshindikana kwa kuwa ni kinara wa mabao akiwa nayo...

READ MORE

Waliokufa Kwa Mlipuko wa Lori la Mafuta Sierra Leone Wafikia 99 -Video

Idadi ya watu waliokufa nchini Sierra Leone baada ya lori la kubeba mafuta kulipuka imefikia watu 99. Ajali hiyo ilitokea...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Iraq Anusurika Kuuawa

Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Khadhimi, amenusurika jaribio la mauaji lililofanywa kwa kutumia ndege zisizo rubani zenye silaha zilizoyalenga makaazi...

READ MORE

Fella: Mbosso na Aslay ni ndugu

MENEJA wa wasanii wa Bongo Fleva, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amevunja ukimya kuhusu bifu la wasanii Mbosso na Aslay kwamba...

READ MORE

Utata: Mwanafunzi Akutwa Amefariki Hostel-Video

Familia moja mjini Kisii Nchini Kenya imeziomba mamlaka za uchunguzi kubaini kilichomuua mtoto wao wa kiume aliyekutwa amefariki kwenye kitanda...

READ MORE

Washindi wa Shindano la DJ Compee, Take a Bite Out of Life Wakabidhiwa Zawadi Zao

      ARUSHA. Bia pendwa ya Serengeti Lite imehitimisha shindano lake la DJs lililopewa jina la Take a Bite...

READ MORE

Rayvanny Ampoteza Vibaya Harmonize

MSANII wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya ECB, Raymond Mwakyusa ndiye msanii wa pili kwa idadi kubwa ya watazamaji wa...

READ MORE

Kukosa mtoto kwamtesa Lulu Diva

  MSANII wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Lulu Abbas au Lulu Diva anasema kuwa suala la kukosa mtoto linamtesa...

READ MORE

Huyu ndiye Mopao Mokonzi? Je, atapona? Tusubiri!

JINA lake halisi ni Antoine Christophe Agbepa Mumba lakini wengi tunamjua kwa jina la Koffi Olomide au Le Grand Mopao...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Novemba 7, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 7, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE