×

Masau Bwire Avaa Nembo ya Simba

OFISA Habari wa Timu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire ambaye anatajwa kuibukia mitaa ya Msimbazi kuwa mrithi wa mikoba ya...

READ MORE

Luis: Simba ni Sababu ya Kufanya Vizuri Al Ahly

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba ambaye sasa amejiunga na mabingwa wa Afrika klabu ya Al Ahly, Luis Miquissone amesema...

READ MORE

Yanga Yashusha Kiungo wa Kimataifa

YANGA imepania kufanya vizuri katika msimu ujao wa ligi ni baada ya kumshusha kiungo mshambuliaji matata, Godfred Nyarko anayekipiga klabu...

READ MORE

Yanga na Simba Kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu Kiguru

Nina rafiki yangu anaitwa Kazua leo asubuhi kanipa kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu Kiguru. Wakati wa ujana wake...

READ MORE

Mabaki ya Mwili wa Tupac Yalivutiwa Bangi

KWA kifupi tunaangalia mambo kumi ya kustaajabisha ya Tupac Shakur aliyefariki dunia Septemba 13, 1996 kwa kupigwa risasi huko Marekani....

READ MORE

Ifahamu Sababu ya Mo Dewji Kutohudhuria msiba wa Hans Pope

WAKATI viongozi wa Simba na wanachama pamoja na wadau mbalimbali wakiaga mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Simba,...

READ MORE

GGML Yatoa Mafunzo ya Covid-19 kwa Wanahabari

Kampuni ya uchimbaji wa Madini ya Dhahabu mkoani Geita (GGML) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo, imetoa...

READ MORE

Manara Ateseka Yanga Ikifungwa – Video

ILIKUWA ni siku mbaya kwa mashabiki wa Yanga baada ya kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 0-1 Rivers...

READ MORE

Royal Tour ya Rais Samia Yaanza Kumimina Watalii

  WAKATI filamu ya ‘Royal Tour’ ikiwa katika maandalizi kabambe kutangaza vivutio vya utalii Tanzania, Kampuni ya kimataifa inayojihusisha na...

READ MORE

Mtoto Ampa Utajiri Vanessa Mdee

KATIKA orodha itakayotoka ya mastaa waliotengeneza utajiri wa kutisha hasa wale wa kike barani Afrika kwa mwaka 2021, tarajia kuliona...

READ MORE

Rais Samia: Sitaki Kuwaona Kwenye TV tu – Video

Rais Samia Suluhu amewataka Viongozi wateule walio apishwa leo Septemba 13, 2021 kuhakiksha kuwa wanakwenda kufanya kazi kwa bidii ikiwa...

READ MORE

Sofa Kali, Bei Chee

Umeziona na kuzipenda furnitures zetu??? Basi usingoje mpaka umtembelee rafiki yako ndo uzikute furnitures zetu bali kuwa wa kwanza kununua...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Machinga Kuondolewa Mbele ya Maduka – Video

Leo September 13 Jijini Dodoma, Rais Samia ameagiza Wakuu wa Mikoa kuanza kuwapanga upya wafanyabishara wadogo maarufu kwa jina la...

READ MORE

Rais Samia: Walinichukulia Poa, Nitafoka kwa Maneno – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa katika kipindi cha miezi 6 ambacho amekua Rais, kuna mengi amejifunza kutoka kwa viongozi...

READ MORE

Rais Samia: Nimevunja Mwiko Wizara ya Ulinzi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ameamua kuvunja mwiko wa kwamba Wizara ya Ulinzi lazima...

READ MORE

Straika Mkongo: Nitafunga Sana

BAADA ya kuanza vizuri maisha yake mapya ndani ya kikosi cha Azam kwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao...

READ MORE

Nafasi za Masomo Itulahumba Sec School

Itulahumba Sekondari School inawatangazia nafasi za Masomo kwa kidato cha kwanza (form 1) 2022. Tumekuwa na Matokeo Mazuri kidato cha...

READ MORE

Rais Samia: Nimefanya Mabadiliko ya Kimuundo – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassana amesema ameamua kufanya mabadiliko ya kimuundo katika wizara mbili...

READ MORE

Mwili wa Hans Pope Waagwa – Video

MWILI wa Aliyekuwa mjumbe wa kamati ya haki na sheria za wachezaji (TFF) na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi (Simba...

READ MORE

Molinga Atamba Kuwamaliza Yanga

MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, David Molinga ‘Falcao’ ametamba kuwa amejipanga kufanya vizuri katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara hususani...

READ MORE