×

Headlines za Magazeti ya Leo Agosti 5, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 5, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

DC Ludigija Apokea Msaada Vifaa Vya Shule Kutoka Nmb, Wasioona Wakumbukwa

  Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Ng’wilabuzu Ludigija amepokea msaada wa viti na meza za walimu kutoka kwa Meneja...

READ MORE

Simba Yavuta Kinara wa Kagera Sugar

KINARA wa mabao wa Kagera Sugar, Yusuf Mhilu ni miongoni mwa nyota watakao vaa jezi za Simba msimu ujao baada...

READ MORE

Bastola ya DC Yakamatwa Ikitumika Kufanya Uhalifu Mbeya – Video

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashiklilia watu 5 kwa tuhuma za kukutwa na bastola moja na risasi 11, mali ya...

READ MORE

Dkt. Mpango Atoa Pole Msiba wa Kwandikwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiambatana na Mkewe Mama Mbonimpawe Mpango hii...

READ MORE

Sabaya Ashindwa Kufika Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha leo imeahirisha usikillizaji wa ushahidi wa shahidi namba saba upande wa Jamhuri wa kesi ya...

READ MORE

Marobota ya Nguo Yakwamisha ‘Guta’ Kupinduka Eneo la Machinga Complex

    Baiskeli la miguu mitatu maarufu kwa jina la ‘Guta’ limepinduka katika eneo la Wafanyabiashara maarufu Machinga Complex Ilala...

READ MORE

Manara: Senzo Alipewa Kazi ya Kunifukuza, Barbara Amewafukuza Wote

ALIYEKUWA msemaji wa Simba, Haji Manara  leo Agosti 4, 2021 amedai kuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Babara ndiye amekuwa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Aanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Sabaya

MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Wilaya ya Arusha, ASP Gwakisa Minga ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi...

READ MORE

Video: Kajala Ajirudi Kwa Harmonize, Vita Ya Aunt, Ruby, Yachukua Sura Mpya | Hotpot

Kajala ajirudi kwa Harmonize, vita ya Aunt, Ruby, yachukua sura mpya hotpot   

READ MORE

Diamond Amuandikia Manara Waraka Mzito

  STAA wa Bongofleva nchini, Naseeb Abdul alimaarufu kama ‘Diamond Platnumz’ ameshusha waraka mzito kuelezea ushawishi wa msemaji wa zamani...

READ MORE

Lusinde Amjibu Mnyika “Akae Kimya”

MJUMBE wa Halmashauri kuu Taifa CCM (MNEC) na Mbunge wa Jimbo la Mvumi Mhe.Livingstone Lusinde amemtaka Katibu Mkuu wa Chama...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 2 TANESCO SACCOS, Call Attendants

    TANESCO Savings and Credit Co-operative Society was established In 1968 and registered un­der the Co-operative Societies Act No...

READ MORE

Haji Manara Afunguka Mazito Baada ya Kuondoka Simba – Video

ALIYEKUWA msemaji wa Simba, Haji Manara  leo Agosti 4, 2021 amedai kuwa ilimladhimu kulala kwenye kochi wakati kikosi cha timu...

READ MORE

Mbunge Ridhiwani Kikwete Atembelea Ujenzi Bwawa la Maji, Wananchi Kuondokana na Kero ya Maji

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete ametembelea eneo la Ujenzi wa Mradi wa Bwawa Kubwa la Maji litakalogharimu Shilingi...

READ MORE

Azam Yasajili Kipa Mpya wa KMKM ya Zanzibar

 KLABU ya Azam FC jana jioni imefanikiwa kumsajili kipa namba moja wa klabu ya KMKM ya Zanzibar, Ahmed Ali Suleiman...

READ MORE

Banda Mali ya Simba, Kashatua

UMAFIA!!! Ndivyo utakavyoweza kusema ni baada ya mabosi wa Simba kufanikisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Big Bullets ya nchini...

READ MORE

EWURA Yasitisha Bei za Gesi Kupanda

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imesitisha upandaji wa bei za gesi za kupikia zilizopanda maradufu...

READ MORE