×

TMA Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia leo...

READ MORE

Zifahamu Rekodi Kali Alizovunja Rapa DMX

Rapa DMX alikuwa miongoni mwa nyota waliofanikiwa sana nchini Marekani mwishoni mwa miaka ya 1990 mpaka miaka ya 2000, na...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Tatu iCAP, Inventory and Asset Assistant 

Inventory and Asset Assistant      Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Dar es Salam Categories: Finance/Administration ICAP at...

READ MORE

Rc Telack: Shinyanga Haina Mauaji ya Vikongwe

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amesema Mkoa wa Shinyanga hauna tena mauaji ya vikongwe kutokana na juhudi...

READ MORE

Iran Yadai Kituo Chake cha Nyuklia Kimepigwa na ‘Shambulio la Hujuma’

Kiwanda cha nyuklia nchini Iran kilipigwa na “hujuma ” siku moja baada ya kufichua kifaa kipya cha urutubishaji wa madini...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 12, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 12, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Lwandamina: Yanga Wametushikia Nafasi Yetu

BAADA ya Azam FC, kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa na kukaa nafasi ya pili, kocha mkuu...

READ MORE

Mbowe Amlilia Hayati Magufuli

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, Leo Aprili 11,2021 amelezea alivyosikitishwa na msiba wa aliyekuwa Rais...

READ MORE

Miezi Hii 18 Haitasahaulika Tanzania!

LICHA ya kwamba kila mwanadamu ataonja umauti kama maandiko ya vitabu vya dini yanavyoeleza, lakini katika kipindi cha mwaka 2019...

READ MORE

Rais Samia Afunguka Faida za Mradi wa Bomba la Mafuta (EACOP) -Video

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 11, 2021 amesema mradi wa ujenzi wa Bomba la kusafirisha mafuta ghafi...

READ MORE

Zitto Amuomba Radhi CAG Kichere

KiONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe  leo Aprili 11, amemuomba radhi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali...

READ MORE

Rais Samia Akaribishwa Na Rais Museveni Wa Uganda Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekaribishwa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe....

READ MORE

Rais Samia Awasili Uganda Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Moja (Picha +Video)

    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Uganda leo tarehe 11 Aprili, 2021...

READ MORE

Kajala Arejesha Mali Za Harmo

UKIMZINGUA anakuzingua kwelikweli! Huyo ndiye Kajala Masanja, staa wa Bongo Muvi ambaye anadaiwa kumrudishia vitu vyote staa wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Nchini Kwenda Uganda Leo

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo tarehe 11 Aprili, 2021 kwenda nchini...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Tatu ICAP , Mobile Pharmacy Providers

Mobile Pharmacy Providers 3 posts   Job no: 495047 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Kagera, Tanzania – Mwanza,...

READ MORE

Namungo Kulipa Kisasi Kwa Nkana

NAMUNGO wamejinasibu kuwa, wamejipanga vizuri kulipa kisasi kwa kuhakikisha wanaibuka na ushindi katika mchezo wa leo Jumapili wa Kombe la...

READ MORE

Mwambusi Aanza na Sare Yanga

BAO la David Bryson dakika ya 28, jana liliishtua Yanga wakati ikikabiliana na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara...

READ MORE