×

Mchungaji Msigwa: Nitamkumbuka Magufuli kwa Mambo Haya

Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema atamkumbuka Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Magufuli...

READ MORE

TEC: Tutashirikiana na Rais Samia – Video

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemuahidi ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan katika kutekeleza majukumu ya kuliongoza Taifa.    ...

READ MORE

Askofu Nkwande: Bungeni Sio Pa Kuzunguzia Utoaji Mimba, Uzazi wa Mpango

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza, Renatus Nkwande amesema bungeni ni mahali patakatifu na si pa kwenda kufanya mzaha...

READ MORE

Diamond, Zuchu Watua Chato Kumzika Magufuli – Video

WANAMUZIKI wanaounda kundi la ‘Tanzania All Stars’ walioimba wimbo wa ‘LALA SALAMA’ wamefika wilayani Chato mkoani Geita kwa ajili ya...

READ MORE

Lwandamina Ashtukia Mchongo Azam FC, Afanya Maamuzi

KOCHA Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina ameshtukia mchongo, hii ni baada ya kuahirisha mapumziko ya wiki mbili ya kikosi...

READ MORE

Kajala, Mobetto, Harmo, Manara Watua Chato Kumzika Magufuli – Video

MWILI wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, unatarajiwa kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele,...

READ MORE

Halima Mdee: Magufuli Ana Mazuri Yake, Tumuamini Samia – Video

MBUNGE wa Viti Maalum (Chadema) Halima Mdee, amefika wilayani Chato mkoani Geita kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Magufuli.

READ MORE

Mdee, Matiko Wahudhuria Mazishi ya Magufuli Chato – Video

WABUNGE wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee pamoja na swahiba wake, Esther Matiko wamefika...

READ MORE

Uongozi wa NMB Washiriki Ibada ya Mazishi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli-Chato

Akiwakilisha Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Benki ya NMB, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna na baadhi ya viongozi...

READ MORE

New Zealand Yaruhusu Mapumziko kwa Wanaopoteza Watoto

Bunge la New Zealand limepitisha Sheria inayowapa Wanawake pamoja na wenza wao Haki ya kupewa mapumziko yenye malipo pale ujauzito...

READ MORE

Urusi: Wasiwasi Waibuka Afya ya Mpinzani wa Rais Putin Gerezani

Lithuania, Latvia na Estonia ambazo ni Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimeitaka Urusi kuruhusu kutolewa kwa huduma za Afya...

READ MORE

Mke wa Tatu wa Mfalme Zwelithini Achaguliwa Kuwa Kiongozi wa Wazulu

Familia ya Kifalme ya Zulu nchini Afrika Kusini imemteua Mke wa tatu wa Mfalme Goodwill Zwelithini kushikilia nafasi ya Uongozi...

READ MORE

Dar: Jela Miaka 30 kwa Kuiba Simu

Mahakama ya Wilaya ya Temeke imewahukumu Hemed Salum na Musa Musuni kifungo cha miaka 30 jela kutokana na kosa la...

READ MORE

Kauli ya Rais Samia Saa Chache Kabla ya Maziko ya Hayati Magufuli

Leo tunapompumzisha mpendwa wetu Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwenye nyumba yake ya milele, kwa niaba yangu binafsi...

READ MORE

Nafasi za Kazi Saba Junction Tanzania – Administrative Officers

Administrative Officers (7 Positions) – Employer:Job Junction Tanzania -Location:Dar Es Salaam Details Number of Positions 7 Years of Experience 1...

READ MORE

Hayati Magufuli Azikwa Chato, Vilio Vyatawala – Video

 BURIANI MAGUFULI: Hapa ndipo itakapofanyika ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli. Ni Kanisa la...

READ MORE

Equatorial Yaifungashia Virago Stars Afcon

KUPOTEZA kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu Afcon mbele ya Equatorial Guinea...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Machi 26, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 26, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Wanne Wakamatwa Wakisherehekea Kifo cha Magufuli

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukejeli kifo cha Hayati Dkt. John Magufuli kwa kupika...

READ MORE