×

Diamond na Tanasha Waonyesha Mahaba Stejini -( Picha +Video)

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ pamoja na mama mtoto wake, Tanasha Donna Oketch usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Zahera: Simba Itaifunga AS Vita Nje Ndani

LIYEKUWA Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo, amefi chua kuwa Simba wana nafasi kubwa ya kushinda mechi...

READ MORE

Nafasi za Kazi Abel & Fernandes, Graphic Design Intern

Graphic Design Intern Abel & Fernandes Communications Dar es Salaam, Tanzania Abel & Fernandes is an integrated marketing agency specialising...

READ MORE

Kesi Dhidi ya Trump Kuanza Februari 8

Kesi ya Rais wa zamani wa Marekani itaanza wiki ya pili ya Februari katika Bunge la Seneti, baada ya kuwasilishwa...

READ MORE

Alikiba Afunguka Baba Diamond ni ‘Baba Yangu’

MAMBO ni mengi muda mchache! Wakati sakata la baba halisi wa msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ likiendelea kujadiliwa mitandaoni, mapya...

READ MORE

Mtv Mama…Modi, Harmo, Zuchu, Rostam Kimewaka Huko

KIMEWAKA huko! Ndivyo unavyoweza kusema kuelekea mwezi mmoja wa lala salama huko kwenye kinyang’anyiro cha tuzo kubwa za muziki wa...

READ MORE

Taifa Stars Yaichapa Namibia, Yafufua Matumaini CHAN

TAIFA Stars jana imefanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za...

READ MORE

Uwoya Atamba Bado Ana Muda Kula Ujana

LICHA ya kwamba ni mama mwenye mtoto mkubwa tu, Krish Ndikumana, staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya, eti ametamba kwamba,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazeti la...

READ MORE

Simba SC Wampambania Chikwende CAF

MABOSI wa Simba wameanza taratibu za kumuombea kibali kiungo wao mshambuliaji Mzimbabwe Perfect Chikwende katika Shirikisho la Soka Afrika (Caf)...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 24, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 24, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Orodha ya Klabu 20 Bora Afrika, Tanzania Imo

KLABU Bora Afrika kwa sasa,viwango vinatokana na matokeo ya timu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la...

READ MORE

Wapishi, Wapambaji, Ma-MC, Wapiga Picha, Watakiwa Kulipa Ada

WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru....

READ MORE

Muuguzi Aliyempiga Mjamzito Afutwa Kwenye Baraza la Wauguzi na Wakunga

  BARAZA la Uuguzi na Ukunga Tanzania, limemwondoa kwenye orodha ya wauguzi na wakunga Tanzania, Valentine Kinyanga wa kituo cha...

READ MORE

Wanadiplomasia Kushirikiana na Tanzania Kuvutia Wawekezaji

UMOJA wa Ulaya (EU) umeahidi kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Tanzania katika jitihada za kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji...

READ MORE

Shigongo Anaendelea Kugawa Vifaa vya Shule kwa Wanafunzi

OFISI ya Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, imeendelea na zoezi la kugawa sare na madaftari kwa wanafunzi...

READ MORE

Breaking News: Larry King Afariki Dunia

MTANGAZAJI na mwandishi wa habari mkongwe wa kituo cha runinga cha CNN cha nchini Marekani, Lawrence Harvey (87), almaarufu Larry...

READ MORE

DC Aingilia Kati Walinzi Kumpiga Aliyekuwa Akimuuguza Mama’ke

Sakata la Daudi Lefi aliyekuwa anamuuguza mama wake hospitali ya rufaa Mkoa wa Shinyanga kupigwa na walinzi wa Suma JKT...

READ MORE

Video: Junior Lokosa wa Simba Atua Bongo

Mchezaji Mpya wa Simba Mnigeria Straika Junior Lokosa ametua katika uwanja wa Ndege wa Kimatifa Jumamosi ya January 23, 2021...

READ MORE

Murray Aambukizwa Covid-19 Huenda Asiende Australia

ANDY MURRAY nyota wa mchezo wa tenis duniani (Mwingereza) amegundulika kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 kabla ya kusafiri kwenda Melbourne (Australia)...

READ MORE